08/28/2026
Sote tuna jukumu la kukomesha uenezaji wa taarifa za uongo mtandaoni, ambazo zinaweza kuwa na athari mbaya katika maisha.
Kabla ya kusambaza taarifa, tafakari:
Ni NANI aliyeiandaa?
NINI asili yake?
ilitoka WAPI?
KWA NINI unasambaza?
Ilichapishwa LINI?