08/03/2026
Mkurugenzi wa TAMWA-ZNZ, Nairat Abdulla Ali, akitoa salamu za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026.
Tunapoadhimisha siku hii muhimu, tunaendelea kusisitiza umuhimu wa usawa wa kijinsia, uongozi wa wanawake na ushiriki wao katika maendeleo ya jamii.