24/09/2025
Today we were grateful to host some visitors from the Controller and Auditor General (CAG) under the National Audit Office (NAO) of Tanzania. The primary objective of their visit was to audit the efficacy and effectiveness of legal aid services we provide under the Legal Aid Act (2017). Our organization, Himiza Social Justice, is one of the few organizations registered as a countrywide legal aid provider in Tanzania and was picked among the few for this exercise.
We had fruitful deliberations on how to improve the provision of legal aid services to the public and the implementation of the Legal Aid Act. Likewise, as registered legal aid providers to see how paralegals registered by the Registrar of Legal Aid Providers in Tanzania discharge their duties and responsibilities within the ethical standards laid down by the law—and also looking at the better way of monitoring them not to exceed the limits of their mandate.
Leo tumepata wasaa wa kutembelewa na maafisa kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ambao wanafuatilia utendaji na ufanisi wa utoaji msaada wa kisheria chini ya Sheria ya Msaada wa Kisheria (2017). Mazungumzo yetu yalijikita kuona namna ya kuboresha huduma hiyo hasa kwa mashirika yaliyosajiliwa kutoa msaada wa kisheria nchini k**a shirika letu la Himiza Social Justice. Mbali na hayo, pia tuliangazia namna ya kuwasimamia wasaidizi wa kisheria (paralegals) ili waweze kufanya shughuli zao kwa mujibu wa maadili na mipaka ya kazi zao.