20/12/2025
Follow Maahad Shamsil Maarif Islamiyya,Madrassa,Misikiti&Yatima's WhatsApp channel. KARIBU katika Channel yetu ya Kusaidia kuumarisha/kuboresha MISIKITI,MADRASSA na VYUO vya kiislam Tanzania
Tusaidiane kutatua changamoto zinazokabili maeneo haya yanayotoa Elimu ya dini ya KIISLAMU.
Tumeanza na chuo cha SHAMSUL MAARIF kilichopo DUGA Jijini TANGA.Kuna Changamoto ya ufinyu wa Malazi kwa wanachuo,mazingira duni ya Kusomea pamoja na changamoto ya Chakula kwa wanachuo.
Kila TSHS.moja utakayotoa Kusaidia vijana wetu wanaopigana jihadi ya kutafuta elimu ya kumjua Mwenyezi Mungu,HAKIKA utakuwa umeshiriki katika Jambo kubwa mno na ALLAH atakupa Ujira wako hapahapa duniani na kesho akhera BiidhiniAllah.. Get the latest updates directly on WhatsApp.