17/05/2026
Ratiba yetu ya kliniki za uchunguzi wa saratani ya ngozi kwa watu wenye 'albinism' Mkoa wa Dar Es Salaam imeanza leo.
Tafadhali usikose ratiba hii.
MAISHA BILA SARATANI YA NGOZI KWA WATU WENYE 'ALBINISM' TANZANIA YANAWEZEKANA