Vipamaru-Rukwa

Vipamaru-Rukwa Youth intervention, Advocacy and Lobbying

🧠 Je, unaelewa umuhimu wa miaka ya kwanza ya mtoto? Ukuaji wa ubongo ndio msingi wa maisha yake yote! Hili ni swali muhi...
20/07/2026

🧠 Je, unaelewa umuhimu wa miaka ya kwanza ya mtoto? Ukuaji wa ubongo ndio msingi wa maisha yake yote! Hili ni swali muhimu sana kwako k**a mzazi, mlezi, au hata mtu yeyote anayependa maendeleo ya mtoto.

β€‹πŸ‘‡ Hebu tujipime kidogo! Ni kipindi gani kati ya hivi unadhani kina kasi zaidi ya ukuaji wa ubongo? Weka herufi ya jibu lako kwenye maoni na tueleze kwanini umechagua hivyo!

​A, B, C, au D? Tupe maoni yako sasa! Let's educate each other! Let's discuss!

β€‹πŸ’‘ Uelewa sahihi leo, maisha bora kesho! πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

​

Exciting News! πŸŽ‰VIPAMARU are excited to share as one of the 12 Community-Based Organizations (CBOs) implementing the Tea...
26/06/2026

Exciting News! πŸŽ‰

VIPAMARU are excited to share as one of the 12 Community-Based Organizations (CBOs) implementing the Teachers Motivation Initiative in Tanzania, funded by TENMET.

This incredible opportunity will enable us to strengthen teacher motivation and improve learning outcomes in Rukwa Region, specifically in Sumbawanga District Council and Nkasi District Council.

On 22nd and 23rd June, our team participated in an inception and alignment meeting in Dar es Salaam, where we engaged with fellow implementing partners to align on the project's goals, strategies, and implementation approaches to ensure sustainable impact in our communities.

At VIPAMARU, we are committed to making a lasting difference in Rukwa and contributing to the improvement of Tanzania's education sector by empowering teachers and creating better learning opportunities for every child.

πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Rukwa SumbawangaDC NkasiDC QualityEducation CommunityDevelopment

πŸŒ±πŸ“’ This month, VIPAMARU successfully handed over the Solar-Powered Greenhouse Project to Lukangao Secondary School. The ...
23/06/2026

πŸŒ±πŸ“’ This month, VIPAMARU successfully handed over the Solar-Powered Greenhouse Project to Lukangao Secondary School. The project aims to improve student nutrition, strengthen practical learning opportunities, and promote the use of modern agricultural technologies within the school environment.

VIPAMARU remains committed to working with different stakeholders to create sustainable solutions that improve education and empower young people in our communities.

YouthDevelopment EducationForDevelopment CommunityImpact

Happy Father's Day! πŸ’™VIPAMARU celebrates all fathers and father figures whose love, guidance, sacrifice, and commitment ...
21/06/2026

Happy Father's Day! πŸ’™

VIPAMARU celebrates all fathers and father figures whose love, guidance, sacrifice, and commitment help build strong families and a brighter future for every child. Thank you for being a source of strength and inspiration.

🌍 KUELEKEA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA – 16 JUNILeo tukiwa katika kuelekea maadhimisho haya, tunakumbushwa kuwa kila mtoto a...
15/06/2026

🌍 KUELEKEA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA – 16 JUNI

Leo tukiwa katika kuelekea maadhimisho haya, tunakumbushwa kuwa kila mtoto ana haki ya:
βœ” Elimu bora
βœ” Ulinzi na usalama
βœ” Kusikilizwa
βœ” Kuishi katika mazingira salama na yenye upendo

πŸ’¬ Mtoto wa leo ni kiongozi wa kesho. Tusikilize sauti zao, tulinde haki zao.

On 12th–13th June 2026, VIPAMARU successfully conducted a two-day training under the UPLIFT Poultry Project in Sumbawang...
15/06/2026

On 12th–13th June 2026, VIPAMARU successfully conducted a two-day training under the UPLIFT Poultry Project in Sumbawanga Municipality. Participants gained practical skills in modern poultry farming, including poultry management, feeding, and disease prevention. The training aimed to strengthen youth capacity for sustainable livelihoods and economic empowerment through poultry farming

Sumbawanga

KUELEKEA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA – JUNI 16Je, unafahamu chimbuko la Siku ya Mtoto wa Afrika?Kila mwaka tarehe 16 Juni, A...
11/06/2026

KUELEKEA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA – JUNI 16

Je, unafahamu chimbuko la Siku ya Mtoto wa Afrika?

Kila mwaka tarehe 16 Juni, Afrika huadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika kwa kumbukumbu ya watoto wa Soweto, Afrika Kusini, ambao mwaka 1976 waliinuka kwa ujasiri kudai haki yao ya kupata elimu bora, yenye usawa na inayoheshimu utu wao. Katika maandamano hayo, watoto wengi walipoteza maisha na wengine kujeruhiwa kutokana na ukandamizaji wa utawala wa kibaguzi wa Apartheid.

Kwa kutambua mchango na sadaka ya watoto hao, mwaka 1991, Umoja wa Afrika (wakati huo OAU) ulitenga tarehe 16 Juni kuwa siku maalum ya kuhamasisha ulinzi, ushiriki, maendeleo na haki za watoto wote barani Afrika.

Siku ya Mtoto wa Afrika ni zaidi ya kumbukumbu; ni wito kwa serikali, jamii, wazazi, walezi na wadau wote kuhakikisha kila mtoto anapata haki zake za msingi, ikiwemo elimu bora, afya, ulinzi na fursa sawa za maendeleo.

Tuungane kusikiliza sauti za watoto, kulinda haki zao na kujenga Afrika bora kwa kizazi cha sasa na kijacho.

"Mtoto wa leo ni kiongozi wa kesho; tusikilize sauti yake, tulinde haki zake."






SautiYaKijana
Juni16

KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA – JUNI 16VIPAMARU inapenda kuwakumbusha wadau wote wa maendeleo, wazazi,...
10/06/2026

KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA – JUNI 16

VIPAMARU inapenda kuwakumbusha wadau wote wa maendeleo, wazazi, walezi, walimu na jamii kwa ujumla kuwa tunakaribia kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika tarehe 16 Juni. Maadhimisho haya ni fursa muhimu ya kutafakari hali ya watoto wetu, kusikiliza sauti zao, na kuimarisha jitihada za kulinda na kutetea haki zao katika nyanja za elimu, afya, ulinzi na maendeleo.

Tunatoa wito kwa kila mmoja kushiriki katika kujenga mazingira salama na rafiki kwa watoto ili waweze kukua, kujifunza na kufikia ndoto zao. Tukiwekeza kwa mtoto wa leo, tunajenga taifa imara la kesho.

Mtoto ana haki ya kusikilizwa, kulindwa na kushirikishwa. Tuungane kuhakikisha sauti za watoto zinasikika na haki zao zinaheshimiwa.






MtotoKwanza
ChildRightsForAllChildren

πŸ“šπŸŒ± Mafunzo elekezi kwa walimu kuhusu matumizi ya greenhouse yanaendelea katika Shule ya Sekondari Lukangao kupitia VIPAM...
09/06/2026

πŸ“šπŸŒ± Mafunzo elekezi kwa walimu kuhusu matumizi ya greenhouse yanaendelea katika Shule ya Sekondari Lukangao kupitia VIPAMARU. Mafunzo haya yanalenga kuwajengea uwezo walimu katika kusimamia, kutumia na kufundisha kwa vitendo ndani ya greenhouse k**a sehemu ya kujifunza kilimo cha kisasa na lishe bora kwa wanafunzi.

SchoolNutrition SustainableAgriculture EducationForDevelopment

Address

P. O Box 748, Sumbawanga-Rukwa
Sumbawanga

Opening Hours

Monday 02:00 - 18:00
Tuesday 02:00 - 18:00
Wednesday 02:00 - 18:00
Thursday 02:00 - 18:00
Friday 02:00 - 18:00

Telephone

+255757337632

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vipamaru-Rukwa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share