ASILI YETU

ASILI YETU HII PAGE NI MAHUSUSI KWA MAMBO YA KALE AMBAPO UTAPATA HISTORIA YA MAKABILA YOTE TANZANIA PAMOJA NA PICHA ZAO ZA ASILI KARIBUN SANA

https://youtu.be/Abfq84jSuiw?si=id4gXX8z1YT_1HZ1ACP Richard Mwaisemba, Afisa Polisi Jamii Mkoa wa Singida, amewataka wan...
22/08/2025

https://youtu.be/Abfq84jSuiw?si=id4gXX8z1YT_1HZ1
ACP Richard Mwaisemba, Afisa Polisi Jamii Mkoa wa Singida, amewataka wananchi wa Kata ya Makanda, Wilaya ya Manyoni, kuzitii sheria na kanuni za uchaguzi mkuu 2025 bila kushurutishwa ili kulinda amani na usalama katika maeneo yao.

Akihitimisha mafunzo ya Polisi Jamii kwa vijana 32 wa kijiji cha Magasai, ACP Mwaisemba amesisitiza umuhimu wa uadilifu, nidhamu na kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuzuia uhalifu.

Viongozi wa jamii wamepongeza mafunzo hayo na kuomba yaendelezwe kwa kuwahusisha vijana zaidi. Taarifa na Sylvester Richard.

ACP Richard Mwaisemba, Afisa Polisi Jamii Mkoa wa Singida, amewataka wananchi wa Kata ya Makanda, Wilaya ya Manyoni, kuzitii sheria na kanuni za uchaguzi mku...

Address

Singida

Telephone

+255757056462

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ASILI YETU posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share