Kijana inuka-Tanzania

Kijana inuka-Tanzania *KUSUDI.*
1. Kufanya tafiti za kijamii, kuhamasisha shughuri kwa vijana, kuwekeza miradi kwa vijana,

Kongamano la Wiki ya vijana , WILAYA ya Ilemela tulipewa NAFASI ya kutoa elimu ya AFYA YA AKILI Kwa vijana.
19/10/2024

Kongamano la Wiki ya vijana , WILAYA ya Ilemela tulipewa NAFASI ya kutoa elimu ya AFYA YA AKILI Kwa vijana.

T shirt zetu zilizotumika Kwenye Kongamano la Wiki ya vijana kitaifa, tukiwa k**a wadau nambari Moja.
19/10/2024

T shirt zetu zilizotumika Kwenye Kongamano la Wiki ya vijana kitaifa, tukiwa k**a wadau nambari Moja.

Shirika letu la KHO lilishiriki kwenye Kongamano hili lililofanyika kitaifa mkoani Mwanza viwanja vya FURAHISHA.
19/10/2024

Shirika letu la KHO lilishiriki kwenye Kongamano hili lililofanyika kitaifa mkoani Mwanza viwanja vya FURAHISHA.

Vijana wote tukutane siku yetu imewadia hiyoooooooo, utakosaje sawaaa.
08/07/2024

Vijana wote tukutane siku yetu imewadia hiyoooooooo, utakosaje sawaaa.

Watu wengi wanauliza kufika katika tukio letu,Sasa ukiwa k**a kijana USINIANGUSHE, MWANZA KUMENOGA, VIJANA TUTALISAKATA....
02/07/2024

Watu wengi wanauliza kufika katika tukio letu,
Sasa ukiwa k**a kijana USINIANGUSHE, MWANZA KUMENOGA, VIJANA TUTALISAKATA.

Wasiliana na Uongozi 0754672341.

Mch. Obeid Ilibisa amesema atahudhuria wewe je?Karibu Kwa mtu yeyote ambaye anataka kuungana na sisi AIDHA Kwa kufika am...
02/07/2024

Mch. Obeid Ilibisa amesema atahudhuria wewe je?

Karibu Kwa mtu yeyote ambaye anataka kuungana na sisi AIDHA Kwa kufika ama Kwa michango.

Wasiliana na uongozi 0754672341
TUNAPOKEA KIASI CHOCHOTE UTAKACHOJALIWA

This is special to our Chief executive officer (C.E.O) after being nominated by the Ministry of Education science and te...
30/06/2024

This is special to our Chief executive officer (C.E.O) after being nominated by the Ministry of Education science and technology of Tanzania. He got ana award in 31/05/2024 fro Hom Kasim Majaliwa

Kijana Hub Organization tumekuandalia jambo zuri Sanaa,  tukutane vijana tarehe 12/08/2024 katika Maadhimisho ya Siku ya...
30/06/2024

Kijana Hub Organization tumekuandalia jambo zuri Sanaa, tukutane vijana tarehe 12/08/2024 katika Maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya Vijana ndani ya Jiji la Mwanza.

Hongera Sanaa Mkurugenzi mtendaji wetu  , tunafurahia mafanikio Yako K**a kijana Hub Organization tunajivunia ushindi mk...
24/06/2024

Hongera Sanaa Mkurugenzi mtendaji wetu , tunafurahia mafanikio Yako
K**a kijana Hub Organization tunajivunia ushindi mkubwa namba hii Kwa kijana mwenzetu.

Ilikuwa Tarehe 31 Mei 2024, Daktari na Mkurugenzi Mtendaji Paul Shadrack Ntemi, Wa Shirika la Kijana Hub organization (K...
24/06/2024

Ilikuwa Tarehe 31 Mei 2024, Daktari na Mkurugenzi Mtendaji Paul Shadrack Ntemi, Wa Shirika la Kijana Hub organization (KHO) akipewa tuzo miongoni mwa washindi 47 Tanzania ya watafiti waliochapisha matokeo Yao katika majarida ya hadhi ya juu Kimataifa. Tunampongeza sana Kwa ushindi huo.
Tunakutakia mafanikio mema.

All glory to be unti the Lord.I'm humbled, more grace more blessings.
30/05/2024

All glory to be unti the Lord.
I'm humbled, more grace more blessings.

Ilikuwa tarehe 28 Mei 2024, tulikutana wanachama wa taasisi ya Kijana Hub Organization (KHO) na wadau wetu mbalimbali pa...
30/05/2024

Ilikuwa tarehe 28 Mei 2024, tulikutana wanachama wa taasisi ya Kijana Hub Organization (KHO) na wadau wetu mbalimbali pale GOLD CREST HOTEL MWANZA, Tukijadili ukamilishaji wa siku yetu ya Vijana Duniani 12/08/2024 mkoani Mwanza. Tulijadili Kwa mapana na tunaelekea pazuri. Nipende kuwakaribisha watu waliotayari kushiriki nasi katika tukio hili aidha uwe Mwanza au nje ya Mwanza karibu Sanaa.
Pia tunawakaribisha wadhamini mbalimbali wa tukio letu, tutawatangazia shughuri zenu mzifanyazo.

===========================================

Address

Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kijana inuka-Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share