08/03/2026
Heri ya siku ya Wanawake Duniani 🥳🥳🥳💃💃
CDI pamoja na wakina mama ambao ni wanfufaika wa mradi wa Mwanamke jasiri wameungana na wakinamama wote wa jiji la Mwanza katika Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Nanenane Nyamongolo Mwanza.
Mgeni rasmi wa maadhimisho haya ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu Said Mtanda. Katika maadhimisho yenye kauli mbiu "HAKI NA USAWA KWA WANAWAKE NA WASICHANA: MSINGI JUMUISHI KUFIKIA DIRA 2050"