25/12/2025
Kwa niaba ya uongozi wa Chama cha Skauti Tanzania nawatakia Skauti wote, walezi,viongozi na wazazi,heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya 2026.
Tunapoadhimisha Sikukuu ya Krismasi na kuukaribisha Mwaka Mpya tunawatakia amani,afya njema na mafanikio.
Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu endelevu katika malezi na maendeleo ya Skauti wote Tanzania.