Tanzania Scout Association ,Musoma,mara

Tanzania Scout Association ,Musoma,mara Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tanzania Scout Association ,Musoma,mara, Youth Organization, Musoma.

SKAUTI VYUO VIKUU WATAKIWA KULIPA ADA KULINDA USTAWI WA CHAMADAR ES SALAAM:Kamishna Mkuu Msaidizi wa Chama cha Skauti Ta...
11/07/2026

SKAUTI VYUO VIKUU WATAKIWA KULIPA ADA KULINDA USTAWI WA CHAMA

DAR ES SALAAM:
Kamishna Mkuu Msaidizi wa Chama cha Skauti Tanzania anayeshughulikia Vyuo Vikuu, Zainab Mbetu, amewataka Skauti wote waliopo katika taasisi za elimu ya juu nchini kuhakikisha wanazingatia ulipaji wa ada zao za uanachama kwa wakati huku akisisitiza kuwa ukamilishaji wa michango hiyo ni nguzo muhimu itakayosaidia kuleta ustawi, kukuza ufanisi na kuendesha shughuli mbalimbali za chama hicho kwa mafanikio makubwa.

Wito huo umetolewa Julai 7, 2026, alipofanya ziara rasmi katika Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kigamboni, mkoani Dar es Salaam. Lengo kuu la ziara hiyo lilikuwa ni kuhamasisha, kuamsha ari na kuimarisha utendaji kazi wa skauti katika vyuo vikuu, ili vijana wasomi waendelee kuwa mstari wa mbele katika kutoa huduma kwa jamii na kujenga uzalendo.

Katika ziara hiyo, Kamishna Mbetu alifanya mazungumzo na viongozi pamoja na wanachama wa skauti wa chuoni hapo, ambapo alieleza mikakati ya chama hicho katika kuboresha mifumo ya vyuo vikuu. Alihitimisha kwa kuwakumbusha umuhimu wa nidhamu, maadili na uwajibikaji kuwa ni sehemu ya viapo na misingi ya Skauti duniani kote.

0712281674 piga cm kwa kupata fundi mwadilifu na mbobezi katika masuala ya ujenzi wa majengo aina zote
05/06/2026

0712281674 piga cm kwa kupata fundi mwadilifu na mbobezi katika masuala ya ujenzi wa majengo aina zote

Kwa niaba ya uongozi wa Chama cha Skauti Tanzania nawatakia Skauti wote, walezi,viongozi na wazazi,heri ya Sikukuu ya Kr...
25/12/2025

Kwa niaba ya uongozi wa Chama cha Skauti Tanzania nawatakia Skauti wote, walezi,viongozi na wazazi,heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya 2026.

Tunapoadhimisha Sikukuu ya Krismasi na kuukaribisha Mwaka Mpya tunawatakia amani,afya njema na mafanikio.

Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu endelevu katika malezi na maendeleo ya Skauti wote Tanzania.

ASP MSUKU
20/12/2025

ASP MSUKU

30/11/2025
we are online now,.......................
30/11/2025

we are online now,.......................

30/11/2025

baada ya miaka takribani mitano (5) sasa tumeludi tena katika page yetu ili kuendelea kupata habari zote zinazohusiana na scout katika mkoa wa mara kalibuni tena

Address

Musoma

Telephone

+255626757714

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Scout Association ,Musoma,mara posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Tanzania Scout Association ,Musoma,mara:

Shortcuts

Share