Floresta Tanzania

Floresta Tanzania Lengo letu kuu ni kuboresha maisha ya jamii masikini vijijini kwa kuongeza uzalishaji, kipato, kubore

Leo tunawatambua na kuwapongeza wafanyakazi wote kwa juhudi, ubunifu na mchango wao katika kujenga jamii bora na maendel...
01/05/2026

Leo tunawatambua na kuwapongeza wafanyakazi wote kwa juhudi, ubunifu na mchango wao katika kujenga jamii bora na maendeleo endelevu.

Kupitia kazi zenu, tunaendelea kuona matumaini yakikua, mazingira yakihifadhiwa na maisha ya jamii kubadilika.
Floresta Tanzania inawatakia Heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.

Mhubiri 11:6 "Panda mbegu asubuhi na jioni usiache kupanda , maana hujui zipi zitaota; za asubuhi, za jioni, au zote zit...
26/04/2026

Mhubiri 11:6 "Panda mbegu asubuhi na jioni usiache kupanda , maana hujui zipi zitaota; za asubuhi, za jioni, au zote zitakua nzuri".

Kutana na kikundi cha Safina kutoka kata ya Ivaeny wilaya ya Siha ambacho kimepata mafanikio makubwa kupitia elimu ya ku...
24/04/2026

Kutana na kikundi cha Safina kutoka kata ya Ivaeny wilaya ya Siha ambacho kimepata mafanikio makubwa kupitia elimu ya kuweka na kukopa.

Wanachama wa kikundi cha Safina wanafurahia mafanikio makubwa waliopata kupitia kikundi ikiwemo kujenga nyumba, kupeleka watoto shule, kuanzisha miradi mbalimbali k**a vile ufungaji wa kuku na ng'ombe. "Weka Akiba ikusaidie baadae".

Zulpa Elphayo mwanamke mjasiriamali kutoka kikundi cha Myombo kilichopo wilaya ya Same. Kupitia elimu ya ujasiriamali al...
23/04/2026

Zulpa Elphayo mwanamke mjasiriamali kutoka kikundi cha Myombo kilichopo wilaya ya Same. Kupitia elimu ya ujasiriamali aliyopata kutoka kwenye kikundi chake ameweza kuanzisha biashara sokoni ambayo imemuwezesha kuongeza kipato na kupata mahitaji muhimu ya familia yake pamoja na kujiwekea akiba.

Kupunguza umasikini miongoni mwa watu ni moja kati ya kazi kubwa inayofanywa na shirika la hasa vijijini ili kuona jamii za vijijini zinaboreka kimaisha pamoja na mahusiano yao na uumbaji wa Mungu.

Uzalishaji wa bidhaa za kilimo hai kwa ajili ya lishe bora na kilimo biashara ni moja kati ya elimu zitolewazo kwenye vi...
22/04/2026

Uzalishaji wa bidhaa za kilimo hai kwa ajili ya lishe bora na kilimo biashara ni moja kati ya elimu zitolewazo kwenye vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za kifedha pamoja na ujasiriamali katika kuongeza vipato vya wanachama pamoja na kusisitiza umuhimu wa kula mchanganyiko wa matunda na mboga mboga hasa za kilimo hai ambazo ni muhimu kwa mwili na akili zetu.

Ufugaji ni kati ya shughuli kubwa sana hususani vijijini, ufugaji wa kuku umesaidia sana wanachama wa kikundi cha kijami...
21/04/2026

Ufugaji ni kati ya shughuli kubwa sana hususani vijijini, ufugaji wa kuku umesaidia sana wanachama wa kikundi cha kijamii cha huduma ndogo za kifedha ambapo wanachama wameweza kujipatia chakula na kipato, kwa kuuza mayai na kuku kwa kuzingatia elimu mbali mbali za ufugaji ambazo wamekuwa wakipatiwa kutoka kwenye shirika la .

Tuiponye ardhi na watu wake kwa kupanda miti. Miti huleta hewa safi na kuzuia mmomonyoko wa ardhi.                      ...
20/04/2026

Tuiponye ardhi na watu wake kwa kupanda miti. Miti huleta hewa safi na kuzuia mmomonyoko wa ardhi.

Upandaji wa miti ni moja kati ya zoezi muhimu sana kwenye jamii hasa katika maeneo yanayozunguka makazi ya watu ambapo u...
17/04/2026

Upandaji wa miti ni moja kati ya zoezi muhimu sana kwenye jamii hasa katika maeneo yanayozunguka makazi ya watu ambapo utunzaji wa mazingira ni muhimu sana. Miti uleta hewa safi na kivuli kizuri.

We are is seeking a qualified consultant to conduct a Community Readiness Assessment across six sub-watersheds in the Ar...
16/04/2026

We are is seeking a qualified consultant to conduct a Community Readiness Assessment across six sub-watersheds in the Arusha Region. 🌱
 
If you have experience in community assessments and participatory approaches, we invite you to apply.
 
📩 [email protected]
🗓 Deadline: 17 April 2026
 
Send the full proposal (technical + financial) electronically in PDF format.


economicdevelopment ruralfarming kilimanjaro marangu tanzania modernfarming moshi farmers modernfarmer agriculture PlantingForChange SustainableTomorrow floresta2026

Je wajua faida za mti wa mkuyu?Huota au kupandwa kwenye eneo la vyanzo vya maji ili kuhifadhi maji. Pia unapoota kwenye ...
16/04/2026

Je wajua faida za mti wa mkuyu?

Huota au kupandwa kwenye eneo la vyanzo vya maji ili kuhifadhi maji. Pia unapoota kwenye maeneo ya nyikani huaminika kuwa umapochimba kisima kwenye eneo hilo maji huwa karibu sana.

Licha ya hivyo, unapochuma jani la mti wa mkuyu hutoa maji ya maziwa ambayo yanaweza kutumika k**a dawa kwa mtu mwenye maumivu ya jino kwa kudondoshea maji hayo kwenye jino linalouma.

Kutana na kikundi cha Alpha kutoka kata ya Masama kati wilaya ya Hai wa kifurahia na kushangilia ujio wa wageni kutoka  ...
15/04/2026

Kutana na kikundi cha Alpha kutoka kata ya Masama kati wilaya ya Hai wa kifurahia na kushangilia ujio wa wageni kutoka katika kutazama na nakuona namna ambavyo kikundi kimefanikiwa kupata elimu kutoka kwenye shirika na ambavyo elimu hiyo imesaidia wanachama katika kupata maendeleo mbali mbali kwenye jamii yao.

Address

P. O. Box 7764
Moshi

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Floresta Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Floresta Tanzania:

Share