Zuia Trafficking Tanzania

Zuia Trafficking Tanzania We imagine communities free from abuse and human trafficking. Our integrated approach builds social and economic capacity.

Our life skills and entreprenuerial trainings help create a different story and bring change in the lives of the vulnerable.

01/06/2026

🛑 Elimu ni silaha muhimu katika mapambano dhidi ya biashara haramu ya binadamu.

Tuchukue hatua kwa kupata taarifa sahihi, kutambua viashiria vya biashara haramu ya binadamu, na kutoa taarifa kwa mamlaka husika tunaposhuku vitendo hivyo. Kwa pamoja tunaweza kulinda utu, haki, na usalama wa kila mwanajamii.


29/05/2026

sauti ya elimu dhidi ya biashara haramu ya binadamu.
Tuelimishe, tulinde, tuokoe maisha. ✊🏽

🎙️ Kupitia MUM FM Radio yenye masafa 91.1, tuliungana kuizungumza sauti ya matumaini na ulinzi wa jamii dhidi ya biashar...
28/05/2026

🎙️ Kupitia MUM FM Radio yenye masafa 91.1, tuliungana kuizungumza sauti ya matumaini na ulinzi wa jamii dhidi ya biashara haramu ya binadamu.

Kila elimu inayotolewa ni hatua moja ya kuokoa maisha, kulinda ndoto za vijana, na kujenga jamii salama zaidi.

Tuendelee kuwa sehemu ya kwa kusema hapana kwa biashara haramu ya binadamu. ✊🏽

🌙✨ Zuia Trafficking Tanzania inawatakia Waislamu wote Eid yenye amani, furaha na baraka tele. Katika kipindi hiki cha sh...
27/05/2026

🌙✨ Zuia Trafficking Tanzania inawatakia Waislamu wote Eid yenye amani, furaha na baraka tele.

Katika kipindi hiki cha sherehe, tuendelee kulinda watoto na vijana dhidi ya biashara haramu ya binadamu

Elimu ni silaha dhidi ya biashara haramu ya binadamu. Leo tumepata nafasi ya kutoa elimu na kuongeza uelewa kwa vijana k...
23/05/2026

Elimu ni silaha dhidi ya biashara haramu ya binadamu. Leo tumepata nafasi ya kutoa elimu na kuongeza uelewa kwa vijana katika Muslim University of Morogoro kuhusu madhara, viashiria na namna ya kujilinda dhidi ya biashara haramu ya binadamu. Pamoja tunaweza kuokoa maisha na kujenga jamii salama. ✨🤝


university of morogoro

Leo tumepata fursa ya kufanya mahojiano na Shilo FM yenye masafa 101.9 Morogoro tukizungumza kuhusu changamoto na madhar...
13/05/2026

Leo tumepata fursa ya kufanya mahojiano na Shilo FM yenye masafa 101.9 Morogoro tukizungumza kuhusu changamoto na madhara ya biashara haramu ya binadamu katika jamii.

Kupitia kipindi hiki, tumeendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu namna ya kutambua viashiria vya biashara haramu ya binadamu na hatua za kuchukua ili kujilinda na kuwalinda wengine.

Kwa pamoja tunaweza kuzuia biashara haramu ya binadamu.


Karibuni msome maendeleo ya Zuia katika kupambana na Biashara Haramu wa Binadamu na Unyanyasaji!
07/05/2026

Karibuni msome maendeleo ya Zuia katika kupambana na Biashara Haramu wa Binadamu na Unyanyasaji!

Chagua Vizuri. Jenga Uwezo.

Biashara haramu ya binadamu ni uhalifu unaonyang’anya watu uhuru, haki na utu wao.Watu wengi hushawishiwa kwa ahadi za a...
06/05/2026

Biashara haramu ya binadamu ni uhalifu unaonyang’anya watu uhuru, haki na utu wao.

Watu wengi hushawishiwa kwa ahadi za ajira, elimu au maisha bora, lakini huishia kutumikishwa kwa nguvu, kunyanyaswa na kunyimwa haki zao.

Tuchukue hatua leo kwa kujielimisha, kutoa taarifa na kulinda jamii yetu dhidi ya uhalifu huu.

Chagua vizuri. Jenga uwezo💪.
Zuia Biashara Haramu ya Binadamu.

05/05/2026

Mkurugezi wa Zuia Trafficking Tanzania akihutubia washiriki na wageni mbalimbali katika mahafali ya kuhitimisha mafunzo ya ufundi stadi yaliyoandaliwa na taasisi hiyo, akisisitiza umuhimu wa elimu, ujuzi na uhamasishaji wa jamii katika kupambana na biashara haramu ya binadamu.

Mafunzo haya yanalenga kuwawezesha vijana kujitegemea kiuchumi na kujikinga dhidi ya mazingira hatarishi yanayoweza kuchangia unyonyaji na usafirishaji haramu wa binadamu.

@

22/04/2026

Kupitia kipindi cha Hatua Kumi kinachorushwa na MSJ TV, Mratibu wa ZUIA amezungumzia kwa kina kuhusu changamoto na athari za biashara haramu ya binadamu.
ZUIA TRAFFICKING TANZANIA tunaamini elimu na uelewa ni msingi wa kuzuia biashara hii.
Tunatoa wito kwa jamii kushirikiana nasi kupaza sauti na kulinda utu wa binadamu.

📌 Tazama
📌 Jifunze
📌 Chukua hatua

Pamoja tunaweza kuzuia na kushinda vita dhidi ya usafirishaji haramu wa binadamu 🚫❌




-msjtv

Address

Mbuyuni Mazimbu Road
Morogoro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zuia Trafficking Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Zuia Trafficking Tanzania:

Share