29/04/2026
Shirika la DDS CDO likitoa mafunzo maalum kwa wakulima viongozi kuhusu ukusanyaji wa data vijijini kwa kutumia programu ya KoboCollect, yanayofanyika katika Manispaa ya Morogoro chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa shirika Rev Can Dan Deuli, yakiwa na lengo la kuwajengea uwezo washiriki (wakulima wadogo) kutumia teknolojia ya kisasa katika kukusanya, kusimamia na kuchambua taarifa muhimu za kilimo na maendeleo ya jamii, hivyo kuboresha ufanisi wa mipango na maamuzi katika maeneo yao.