03/10/2025
JE BADO UNASUBIRI KUJISAJILI CHUO MWAKA HUU❓
⏰ Hii ndiyo FURSA YA MWISHO ya Udahili!
�Dirisha la usajili liko wazi !
Wahi sasa usichelewe na kukosa nafasi ya UFADHILI katika mwaka wa 3 wa Masomo katika chuo chetu!
🎓 Kwa nini uchague Mizpah Health Institute?
�✅ Ada nafuu sana:
Jumla Ada pamoja na michango ni 2,090,400 tu kwa mwaka na ina lipwa kwa awamu 4.
✅ Hosteli na godoro BURE
�✅ Nafasi Maalum za Ufadhili ZINAPATIKANA katika mwaka wa 3 - ufadhili ada kamili wa Tsh 1,500,000 kwa wanafunzi wetu wote!
✅ Waalimu bora wenye uzoefu
�✅ Maabara, computer na vitendea kazi vya kutosha!
⚡ Nafasi vimekaribia KUJAA. WAHI SASA
👉 Usichelewe tena. Jisajili SASA na uhakikishe nafasi yako katika taaluma ya afya.
📞 Mkuu wa chuo: +255 762 746 319
Tutumie meseji whatsapp : bonyeza kitufe
Chuo kinapatikana Misungwi, Mwanza.