SABE Helping Foundation

SABE Helping Foundation Kuwasaidia watu wote walioko katika mazingira magumu ya kiuchumi na KIJAMII kwa kuwapatia mahitaji muhimu ya kibinadamu (Basic human needs)
(1)

SABE HELPING FOUNDATION MissionTo facilitate the means to improve the living standard in the community by mobilizing fin...
25/03/2026

SABE HELPING FOUNDATION
Mission
To facilitate the means to improve the living standard in the community by mobilizing financial and material resources within and outside society, utilizing available natural resources and community participation for sustainable development.

Stop GBV

*Wapendwa Katika Bwana* . Ninapenda niwashukuru sana wote 1. Mliofika kwa kikao Cha leo na 2. Mliotoa taarifa ya kutofik...
16/12/2025

*Wapendwa Katika Bwana* .

Ninapenda niwashukuru sana wote
1. Mliofika kwa kikao Cha leo na
2. Mliotoa taarifa ya kutofika kwa sababu mbalimbali
Mambo yaliyojadiliwa ni:-
1. *Barua ya kuwaomba ufadhili wa vifaa*
🤝Wajumbe walipokea na kukubaliana na bajeti iliyoandaliwa na wakakubaliana kuwa *MAJINA YA WATU* watakaotusaidia kupata hivyo vifaa yawasilishwe kwa Mkurugenzi ili waandikiwe barua rasmi kuombwa kusaidia.
2. *Bajeti ya vifaa*
🌻Bajeti hii Wajumbe walikubaliana kuwa ndio iwe mwongozo kwa ajili ya kukusanya vifaa vya shule.
3. *Sherehe ya pamoja na watu wenye Ualbino*
🙏 Mkurugenzi aliwasilisha mada hii kwamba inahitajika bajeti ya chakula na nauli kwa watu wenye Ualbino Wilaya ya Iramba na kusema tayari amewasilisha ombi kwa Mkuu wa Mkoa la kuomba ufadhili wa bajeti hiyo.
4. *Vikao vya kawaida.*
👍Wajumbe waliomba tuwe na vikao, sio mpaka kusubiri matukio. Na kwa hili tumekubaliana kuwa tutakuwa na Kikao *Kila weekend ya mwisho ya mwezi*
5. *Uongozi wa Shirika*
Wajumbe waliuliza k**a Kuna Uongozi wa Shirika ama la. Mkurugenzi aliwahabarisha Wajumbe kuwa ni kweli Shirika Lina Uongozi.
Ambae ni:-
1. *Mkurugenzi Mkuu*
2. *Katibu Mkuu* na
3. *Mhasibu*
Ingawaje kiukweli kwenye kipengele Cha mhasibu tunatakiwa tufanye namna.

Pia Mkurugenzi aliwaomba Wajumbe kwamba wajiandae kwa uchaguzi kwani tunatakiwa tuwe na MWENYEKITI ambae yeye atahusika kusimamia na kuendesha vikao vyote vya shirika hata k**a Mkurugenzi hayupo. Hivyo tujiandae.
6. Kiingilio Cha Shirika
Wajumbe waliuliza namna ya kujiunga na shirika. Mkurugenzi aliwaeleza Wajumbe kuwa kwa kuwa hili ni Shirika la kusaidia wenye uhitaji na sio biashara, hivyo *HAKUNA KIINGILIO* . Sifa kuu ya mwanachama wa Shirika hili ni *MOYO WAKE WA KUJITOA NA KUJITOLEA* Kwa hiari yake. Na alisema " *Shirika hili si la Kidini, si la kisiasa Wala la kikabila* " Na tunafanye ama kuhudumia Tanzania Bara
7. Namna ya kushiriki kwenye bajeti hii.
Mkurugenzi aliwaeleza wajumbe kwa kuwa Kila mmoja aliyepo hapa ni mwanachama na aliingia hapa kwa moyo wake wa kupenda kusaidia Yatima basi *KILA MTU ATOE KADRI MUNGU ATAKAVYOMGUSA* .

Namna ya kuwasilisha mchango wako....

Kwa vitu wasiliana nami ama Katibu Miriam.

Kwa fedha tumia njia hii:-
1. LIPA namba M-PESA *37416286* Jina: SAMSON BENARD MPINGA
2. N.M.B A/C NO. *50610026325*
JINA: *SABE HELPING FOUNDATION*

MUNGU ibariki TANZANIA
MUNGU ibariki SAHEFO

MUNGU atubariki Sisi sote amen...

Ndimi,
*EV. Samson B Mpinga*
MKURUGENZI WA SHIRIKA

Samson Benard Mpinga Agnes Jacob Janeth Tullo Tuseme Ukweli Juu Ya Mambo Yote Evangelist Samson Ugula

Mkurugenzi wa Shirika la SABE HELPING FOUNDATION akiwa kwenye kikao Cha Mkuu wa Wilaya ya Iramba. Mashirika binafsi yana...
13/12/2025

Mkurugenzi wa Shirika la SABE HELPING FOUNDATION akiwa kwenye kikao Cha Mkuu wa Wilaya ya Iramba.

Mashirika binafsi yanamchango mkubwa sana Katika kuchagiza maendeleo ya Taifa

05/12/2025
Mikutano ya kijamii ikiendelea kuwaelimisha wananchi umuhimu wa kuwasaidia WATOTO YATIMA na wale wanaoishi mazingira mag...
05/12/2025

Mikutano ya kijamii ikiendelea kuwaelimisha wananchi umuhimu wa kuwasaidia WATOTO YATIMA na wale wanaoishi mazingira magumu kufikia ndoto zao za kupata Elimu

Mkurugenzi wa Shirika la SABE HELPING FOUNDATION akiendelea na majukumu yake ya ofisi ya Kila siku kuhakikisha kuwa ni S...
05/12/2025

Mkurugenzi wa Shirika la SABE HELPING FOUNDATION akiendelea na majukumu yake ya ofisi ya Kila siku kuhakikisha kuwa ni SAUTI YA WASIOSIKIKA..... Tuwasaidie watoto Yatima kufikia ndoto zao kwa kuwapa mahitaji ya shule...

Kwa msaada wa fedha ama vifaa vya shule wasiliana na Mkurugenzi wa Shirika kwa namba 0753216638

Wapendwa habari ya Wakati huu.Ni Imani yangu kuwa mko salama kabisa.Hapo juu ni 1. Barua ya kuomba ufadhili wa vifaa vya...
05/12/2025

Wapendwa habari ya Wakati huu.

Ni Imani yangu kuwa mko salama kabisa.

Hapo juu ni
1. Barua ya kuomba ufadhili wa vifaa vya shule na
2. Ni bajeti ya vifaa hivyo vya shule.
OMBI langu kwako ni:-
1. Kuandaa mchango wako wa fedha ama vifaa vya shule kadri Mungu atakavyokugusa kulingana na bajeti yetu.
2. Unisaidie kunipatia watu watatu ama zaidi ambao tutawaandikia barua ya kuwaomba ufadhili wa mradi huu.
Tafadhali sana wapendwa nawaombeni sanaaa hili mnipe ushirikiano kwa wewe mwenyewe kujiandaa na kunitafutia marafiki wadau wa SAHEFO.

MUNGU akubariki kwa sadaka Yako

Evair Vieira de Melo
24/11/2025

Evair Vieira de Melo

Siku ya Jumamosi tarehe 22/11/2025, mkurugenzi wa shirika la SABE Helping Foundation ndg EV. Samson Benard Mpinga akishi...
24/11/2025

Siku ya Jumamosi tarehe 22/11/2025, mkurugenzi wa shirika la SABE Helping Foundation ndg EV. Samson Benard Mpinga akishirikiana na viongozi wa kanisa la K.K.K.T Jimbo la Kati wamefanya tendo la Udiakonia kwa:-
1. Kuwaona WAFUNGWA Gereza la Wilaya Kiomboi
2. Kuwaona WAGONJWA Katika Wilaya ya Kiomboi na
3. Kuzifikia familia 6 zenye hali ngumu ya maisha.

Asanteni sana wote mnaoendelea kuguswa na kutoa mali na vitu vyenu kwa wahitaji.

Kwa kutoa msaada ama maulizo tafadhali wasiliana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika kwa namba 0753216638

20/11/2025

Address

Inala A
Kiomboi

Opening Hours

Monday 08:00 - 16:30
Tuesday 08:00 - 16:30
Wednesday 08:00 - 16:30
Thursday 08:00 - 16:30
Friday 08:00 - 16:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SABE Helping Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share