28/11/2023
ZIMEBAKI SIKU 3
Jina la Bwana yesu libarikiwe sana mtu wa Mungu. Tunayo furahaa juu ya ibada nzuri ya mkesha wa TUFURAHI KATIKA BWANA ya siku ya ijumaa hii.
Nimaombi yetu kusiwe na Neno litakalo inuka kuzuia kuwepo kwenye ibada hii. Tuna muamini Mungu kwa ajili ya kutulinda na kutusaidia kututia Nguvu sisi tumpendeo kwa Maana Furahaa ya Bwana ni Nguvu zetu . Karibu sana.