Southern Tanzania Elephant Program

Southern Tanzania Elephant Program Dedicated to creating a secure future for elephants in southern Tanzania, and beyond

Our mission is to secure a peaceful future for elephants in southern Tanzania. We support the protection efforts of rangers; work with farmers and the broader community to enhance coexistence with elephants; and advise on conservation of elephant corridors.

๐‡๐ž๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฒ๐š ๐“๐ž๐ฆ๐›๐จ ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข!Leo, tunaadhimisha mojawapo ya wanyamapori mashuhuri na wa kipekee barani Afrika โ€” tembo w...
12/08/2026

๐‡๐ž๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฒ๐š ๐“๐ž๐ฆ๐›๐จ ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข!

Leo, tunaadhimisha mojawapo ya wanyamapori mashuhuri na wa kipekee barani Afrika โ€” tembo wa savanna wa Afrika na kutafakari umuhimu wa kulinda mandhari wanayoishi.

Kwa STEP, uhifadhi wa tembo si kulinda tembo pekee; ni kulinda mifumo ya ikolojia na jamii kwa ajili ya vizazi vijavyo vinavyotegemea mandhari hii.

Tunafanya hivyo ๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ฆ๐š๐ค๐š๐ณ๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ญ๐ž๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐š๐ง๐๐ก๐š๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐‘๐ฎ๐š๐ก๐š-๐‘๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐”๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐š, ikiwemo kusaidia doria, pamoja na kuwajengea uwezo na kuwapatia vifaa askari wa wanyamapori na Askari wa Vijiji (VGS) ili kutekeleza majukumu yao kwa usalama na weledi.

๐‹๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฎ๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข ๐ฉ๐ข๐š ๐ฎ๐ง๐š๐ฆ๐š๐š๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ฎ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐š๐ฆ๐š๐ง๐ข ๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฒ๐š ๐›๐ข๐ง๐š๐๐š๐ฆ๐ฎ ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข. Kwa kushirikiana na wakulima na jamii, STEP inatafuta njia za vitendo za kulinda mazao dhidi ya tembo, kuimarisha usalama wa watu, na kuboresha maisha na ustahimilivu wa jamii.

Kulinda tembo kunahitaji ushirikiano imara, ushirikishwaji wa jamii, na ulinzi wa muda mrefu wa maeneo wanayoishi na kutegemea.

๐Š๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ก๐ข๐ข ๐ฒ๐š ๐“๐ž๐ฆ๐›๐จ ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข, tunawapongeza na kuwashukuru wote wanaofanya kazi kila siku kuhakikisha tembo wanaendelea kuwepo na kustawi katika mandhari za Tanzania.

๐Š๐ฐ๐š ๐ฉ๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ง๐ข ๐ฃ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฅ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ก๐š๐ค๐ข๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ญ๐ž๐ฆ๐›๐จ ๐ฐ๐š ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐ค๐ฎ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ž๐ฆ๐›๐ž๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐š๐ค๐š๐ณ๐ข ๐ฒ๐š๐จ

# UhifadhiWaVitendo

๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฒ๐š ๐Š๐ข๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ฒ๐š ๐€๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ”Leo tunawatambua na kuwapa heshima askari wa wanyamapori wanaolin...
31/07/2026

๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฒ๐š ๐Š๐ข๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ฒ๐š ๐€๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ”

Leo tunawatambua na kuwapa heshima askari wa wanyamapori wanaolinda wanyamapori, misitu na urithi wetu wa asili ambao sote tunautegemea. Wao ni walinzi walio katika mstari wa mbele katika kulinda bioanuwai na kuhakikisha rasilimali zetu zinaendelea kunufaisha vizazi vya sasa na vijavyo.

Kaulimbiu ya mwaka huu, โ€œ๐€๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข: ๐–๐š๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐’๐š๐ฒ๐š๐ซ๐ข ๐ˆ๐ง๐š๐ฒ๐จ๐›๐š๐๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐š,โ€ inaangazia nafasi muhimu ya askari wa wanyamapori katika kulinda misitu na wanyamapori, kuimarisha ustahimilivu wa mifumo ya ikolojia, kukuza uhusiano wa amani kati ya binadamu na wanyamapori, na kuhifadhi mifumo ya asili inayotegemewa na mazingira na jamii katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

Katika mandhari ya ikolojia ya Udzungwa na Ruahaโ€“Rungwa, ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฃ๐ข๐ฏ๐ฎ๐ง๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐š ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ก๐ž๐ซ๐ž๐ก๐ž๐ค๐ž๐š ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ญ๐จ๐ฅ๐ž๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐€๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐ข๐ฃ๐ข๐ฃ๐ข (๐•๐†๐’), ๐ฐ๐š๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐›๐ž ๐ฐ๐š ๐Š๐š๐ฆ๐š๐ญ๐ข ๐ณ๐š ๐Œ๐š๐ฅ๐ข๐š๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข ๐ณ๐š ๐•๐ข๐ฃ๐ข๐ฃ๐ข (๐•๐๐‘๐‚๐ฌ), ๐ฉ๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ง๐š ๐š๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š Tanzania National Parks, TAWA TANZANIA , ๐ง๐š Tanzania Forest ServicesAgency, ambao hufanya kazi bila kuchoka kulinda mojawapo ya maeneo muhimu zaidi ya bioanuwai nchini Tanzania na jamii zinazotegemea rasilimali zake.

๐Š๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐š๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐ญ๐ž ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐จโ€”๐š๐ฌ๐š๐ง๐ญ๐ž ๐ฌ๐š๐ง๐š. Kazi yenu si rahisi, na mara nyingi haitambuliwi kwa kiwango mnachostahili. Hata hivyo, kila doria mnayofanya, kila msitu mnaoulinda, kila spishi mnayoihifadhi, na kila jamii inayonufaika na kujitolea kwenu ni ushahidi wa mchango mkubwa mnaoutoa kila siku katika kulinda urithi wetu wa asili. Tunawapongeza na kuwashukuru kwa ujasiri, weledi na kujitolea kwenu katika kuhifadhi maliasili za Tanzania kwa manufaa ya kizazi cha sasa na vijavyo.

๐‡๐ž๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฒ๐š ๐Š๐ข๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ฒ๐š ๐€๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข!

๐“๐ž๐ฆ๐›๐จ ๐‚๐ฎ๐ฉ ๐ˆ๐ฆ๐ž๐ซ๐ž๐ฃ๐ž๐š!Muda umewadia! Tembo Cup inarejea tena Kizigo na Muhesi, ikileta pamoja jamii katika mashindano mengi...
06/07/2026

๐“๐ž๐ฆ๐›๐จ ๐‚๐ฎ๐ฉ ๐ˆ๐ฆ๐ž๐ซ๐ž๐ฃ๐ž๐š!

Muda umewadia! Tembo Cup inarejea tena Kizigo na Muhesi, ikileta pamoja jamii katika mashindano mengine ya kusisimua ya mpira wa miguu, mpira wa pete, michezo mingine mbalimbali na uhifadhi wa wanyamapori.

Tembo Cup imeandaliwa kwa ushirikiano na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA TANZANIA), Halmashauri za Wilaya husika Pamoja na washirika wengine wa STEP. Tembo Cup si mashindano ya michezo pekee bali ni jukwaa linalowaunganisha watu, kuibua na kuendeleza vipaji vya ndani, na kuhamasisha mahusiano ya amani kati ya binadamu na wanyamapori.

Katika kipindi chote cha mashindano, jamii zitashiriki katika elimu ya uhifadhi, michezo yenye ushindani wa kusisimua, na shughuli mbalimbali zinazokuza ushirikiano, kujifunza, na kujivunia jamii zao. Kupitia michezo na elimu ya uhifadhi, Tembo Cup inaendelea kuhamasisha uwajibikaji wa pamoja katika kulinda maisha ya watu na kuhifadhi wanyamapori.

๐Š๐ฐ๐š ๐ญ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐ข๐ง๐š๐ณ๐จ๐ฃ๐ข๐š๐ง๐๐š๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ข, ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ค๐ข๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฅ๐š ๐ก๐ž๐ซ๐ข. Chezeni kwa bidii, nidhamu, na uungwana, na tunawatakia mashindano yenye kumbukumbu nzuri ndani na nje ya uwanja.

Tunawashukuru Nawiri Foundation na Fondation Prince Albert II de Monaco kwa kutoa msaada wa kifedha uliofanikisha kufanyika kwa Tembo Cup kwa mwaka 2026.

๐Š๐ฎ๐ฎ๐ง๐ ๐š๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐’๐š๐ฒ๐š๐ง๐ฌ๐ข, ๐‰๐š๐ฆ๐ข๐ข ๐ง๐š ๐”๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ขNyuma ya juhudi za kuzuia na kudhibiti shughuli haramu pamoja na kuimarisha utawal...
15/06/2026

๐Š๐ฎ๐ฎ๐ง๐ ๐š๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐’๐š๐ฒ๐š๐ง๐ฌ๐ข, ๐‰๐š๐ฆ๐ข๐ข ๐ง๐š ๐”๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข

Nyuma ya juhudi za kuzuia na kudhibiti shughuli haramu pamoja na kuimarisha utawala bora katika Milima ya Udzungwa, kuna timu ya kipekee inayofanya kazi kwa bidii. ๐Š๐ฎ๐ญ๐š๐ง๐š ๐ง๐š ๐๐ž๐ญ๐ž๐ซ ๐Œ๐ค๐ข๐ฅ๐ข๐ง๐๐ข, ๐Œ๐ซ๐š๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ฐ๐š ๐”๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข ๐ฐ๐š ๐”๐‹๐’ ๐ฐ๐š ๐’๐“๐„๐.

Tangu ajiunge na STEP mwaka 2025, Peter amekuwa mstari wa mbele kushirikiana na TANAPA,TFS, na jamii zinazopakana na maeneo ya hifadhi. Kazi yake inalenga kuimarisha ulinzi endelevu katika maeneo matatu muhimu : Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa (UMNP), Hifadhi ya asili ya misitu ya Uzungwa (USNFR), na Hifadhi ya Asili ya Misitu ya Kilombero (KNFR). Jukumu lake linajikita katika kuimarisha ushirikiano imara, kuboresha matokeo ya uhifadhi, na kukuza uhifadhi shirikishi unaoongozwa na jamii.

Akiwa na uzoefu k**a Mratibu wa Utafiti, Fundi Sanifu wa Bayoanuai, na Msaidizi wa Mafunzo, Peter ana shauku ya kutumia teknolojia na takwimu kuboresha maamuzi ya uhifadhi. Anaamini kuwa mafanikio ya muda mrefu yanategemea ushiriki hai wa jamii za wenyeji katika kulinda mazingira

Nje ya majukumu ya kazi, Peter anapenda kusoma, kutembelea maeneo mapya, kufanya mazoezi, na kutafuta fursa za kujifunza na kujiendeleza. STEP inajivunia kuwa na Peter katika timu yake, ambapo anaendelea kutoa mchango muhimu katika kuimarisha juhudi za uhifadhi kila siku.

29/05/2026

๐‘๐ข๐ฉ๐จ๐ญ๐ข ๐ฒ๐š ๐’๐“๐„๐ ๐ฒ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ“.

Mwaka 2025 ulikuwa wa mafanikio makubwa kwa uhifadhi Kusini mwa Tanzania kupitia ushirikiano wa jamii, serikali na wadau wa uhifadhi.

๐‡๐š๐ญ๐ฎ๐š ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ซ๐š๐ฌ๐ฆ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฌ๐ก๐จ๐ซ๐จ๐›๐š ๐ฒ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐๐ฒ๐ž๐ซ๐ž๐ซ๐žโ€“๐”๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฌ๐ก๐จ๐ซ๐จ๐›๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š ๐ง๐œ๐ก๐ข๐ง๐ข ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐ž๐ซ๐ข๐š, hatua inayosaidia kulinda makazi ya wanyamapori na kuimarisha mahusiano kati ya binadamu na tembo.

Kwa kushirikiana na jamii, taasisi za serikali na wadau wa uhifadhi, STEP ilifanikiwa yafuatayo:

๐ŸŸข ๐Š๐ฎ๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฆ ๐Ÿ๐Ÿ–,๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ ๐ณ๐š ๐๐จ๐ซ๐ข๐š ๐ณ๐š ๐ฎ๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข
๐ŸŸข ๐Š๐ฎ๐จ๐ง๐๐จ๐š ๐ฆ๐ข๐ญ๐ž๐ ๐จ ๐Ÿ,๐Ÿ–๐Ÿ๐ŸŽ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐š ๐ค๐š๐ฆ๐›๐ข ๐Ÿ๐Ÿ“๐Ÿ ๐ณ๐š ๐ฐ๐š๐ฐ๐ข๐ง๐๐š๐ฃ๐ข ๐ก๐š๐ซ๐š๐ฆ๐ฎ
๐ŸŸข ๐Š๐ฎ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐•๐’๐‹๐€๐ฌ ๐Ÿ—๐Ÿ” ๐ณ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฐ๐š๐ง๐š๐œ๐ก๐š๐ฆ๐š ๐Ÿ‘,๐Ÿ—๐Ÿ๐ŸŽ
๐ŸŸข ๐Š๐ฎ๐ฐ๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฒ๐š ๐Ÿ๐ŸŽ,๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐š ๐ž๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ฎ๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข
๐ŸŸข ๐Š๐ฎ๐ซ๐ž๐ค๐จ๐๐ข ๐š๐ข๐ง๐š ๐Ÿ๐Ÿ” ๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐ฆ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐Š๐จ๐ซ๐ข๐๐จ ๐ฒ๐š ๐๐ฒ๐ž๐ซ๐ž๐ซ๐žโ€“๐”๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐š

Mafanikio haya yanaonyesha ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ญ๐จ๐ฅ๐ž๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ข, ๐š๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข, ๐€๐ฌ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐•๐ข๐ฃ๐ข๐ฃ๐ข, ๐ฐ๐š๐ญ๐š๐Ÿ๐ข๐ญ๐ข, ๐ฐ๐š๏ฟฝ

๐Š๐ฎ๐›๐จ๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐€๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ฒ๐š ๐Š๐ฎ๐ค๐ฎ, ๐ค๐ฎ๐ข๐ฆ๐š๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฆ๐š๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฒ๐š ๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ขAfya bora ya kuku huanza na maarifa sahihi. Kwa msaada wa  , STEP kwa ...
23/05/2026

๐Š๐ฎ๐›๐จ๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐€๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ฒ๐š ๐Š๐ฎ๐ค๐ฎ, ๐ค๐ฎ๐ข๐ฆ๐š๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฆ๐š๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฒ๐š ๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ข

Afya bora ya kuku huanza na maarifa sahihi. Kwa msaada wa , STEP kwa kushirikiana na wakufunzi kutoka ๐€๐ง๐ข๐ฆ๐š๐ฅ ๐“๐ซ๐ฎ๐ฌ๐ญ ๐‚๐จ๐ง๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐š๐ง๐ญ ๐š๐ง๐ ๐“๐ž๐œ๐ก๐ง๐จ๐ฅ๐จ๐ ๐ฒ ๐‚๐จ๐ฆ๐ฉ๐š๐ง๐ฒ iliendesha mafunzo ya afya ya kuku๐ค๐ฐ๐š ๐ฅ๐ž๐ง๐ ๐จ ๐ฅ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐ฐ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š๐๐จ๐ ๐จ ๐ค๐ฎ๐›๐จ๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐ฎ๐Ÿ๐ฎ๐ ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐š ๐ก๐š๐ฌ๐š๐ซ๐š ๐ณ๐ข๐ง๐š๐ณ๐จ๐ญ๐จ๐ค๐š๐ง๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š.

๐Œ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐จ ๐ก๐š๐ฒ๐จ ๐ฒ๐š๐ฅ๐ข๐ฐ๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฆ๐š ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ– ( ๐Ÿ”๐Ÿ% ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฐ๐š๐ค๐ž).Mafunzo ๐ฒ๐š๐ฅ๐ข๐ฃ๐ข๐ค๐ข๐ญ๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฆ๐š๐ฆ๐ข๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ, ๐ฎ๐ญ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š, ๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ง๐ณ๐š๐ฃ๐ข ๐ฌ๐š๐ก๐ข๐ก๐ข ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ, ๐ฉ๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐š๐ง๐ฃ๐จ ๐๐ก๐ข๐๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐Š๐ข๐๐ž๐ซ๐ข.

Kwa kuwapatia wafugaji maarifa na ujuzi, ๐’๐“๐„๐ ๐ข๐ง๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐›๐จ๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐ฎ๐ณ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ, ๐ค๐ฎ๐ข๐ฆ๐š๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฆ๐š๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ฒ๐š, ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ž๐ง๐ ๐š ๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ข ๐ณ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ฌ๐ญ๐š๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐ณ๐š๐ข๐๐ข.

๐Š๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐•๐ข๐ญ๐ž๐ง๐๐จ ๐ก๐š๐๐ข ๐€๐Ÿ๐ข๐ฌ๐š ๐”๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข: ๐’๐š๐Ÿ๐š๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐”๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข ๐ฒ๐š ๐„๐ฅ๐ข๐ณ๐š๐›๐ž๐ญ๐กUhifadhi wa maeneo ya Tanza...
16/05/2026

๐Š๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐•๐ข๐ญ๐ž๐ง๐๐จ ๐ก๐š๐๐ข ๐€๐Ÿ๐ข๐ฌ๐š ๐”๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข: ๐’๐š๐Ÿ๐š๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐”๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข ๐ฒ๐š ๐„๐ฅ๐ข๐ณ๐š๐›๐ž๐ญ๐ก

Uhifadhi wa maeneo ya Tanzania yenye bioanuwai kubwa hauhitaji mikakati pekee, bali pia unahitaji ujasiri, kujitolea, na watu wenye dhamira ya kweli ya kulinda hifadhi zetu. Kutana na Elizabeth Masatu โ€” mmoja wa mashujaa wanaoleta mabadiliko kila siku kupitia juhudi zake za dhati katika uhifadhi.

Eliza alijiunga na shirika la STEP mwaka 2022 k**a mwanafunzi wa mafunzo kwa vitendo , na baadaye akawa Afisa Ushoroba, akisaidia urejeshwaji wa Shoroba ya Wanyamapori ya Nyerereโ€“Udzungwa katika Bonde la Kilombero. Mwaka 2024, alihamia Idara ya Uhifadhi ya STEP, ambako sasa anahudumu k**a Afisa Uhifadhi

Katika nafasi yake ya sasa, Eliza huratibu doria za pamoja na , na Askari wa Wanyamapori wa Vijiji katika maeneo matatu muhimu ya hifadhi, akisaidia kuimarisha juhudi za uhifadhi katika mandhari ya Udzungwaโ€“Kilombero. Pia anaongoza shughuli za chumba chaufuatiliaji cha STEP (control room), akisimamia mfumo wa EarthRanger kufuatilia timu za uwandani na kusaidia maamuzi ya haraka kwa ufanisi zaidi wa uhifadhi wa uwandani.

Eliza pia ni mhitimu wa programu ya Grumeti Fundโ€™s Women in the Field. Akiwa nje ya kazi ya uhifadhi, Eliza hupendelea kusafiri, kutazama filamu, na kusikiliza muziki.

K**a spishi muhimu (keystone species) katika mfumo wa ikolojia, Eliza ana mchango mkubwa katika kuimarisha na kudumisha juhudi za uhifadhi ndani ya STEP. Tunajivunia kuwa naye katika timu yetu na kushirikiana naye katika safari hii ya uhifadhi yenye msukumo mkubwa.

๐„๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐๐จ๐ง๐๐ž ๐ฅ๐š ๐Š๐ข๐ฅ๐จ๐ฆ๐›๐ž๐ซ๐จKila mtoto mwenye ufahamu kuhusu wanyamapori leo, anachangia kujenga kesho salama zaidi k...
09/05/2026

๐„๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐๐จ๐ง๐๐ž ๐ฅ๐š ๐Š๐ข๐ฅ๐จ๐ฆ๐›๐ž๐ซ๐จ

Kila mtoto mwenye ufahamu kuhusu wanyamapori leo, anachangia kujenga kesho salama zaidi kwa watu na mazingira.

Kupitia programu yetu ya uhamasishaji shuleni, wanafunzi wanaoishi karibu na maeneo ya hifadhi wanajifunza:

โœ… Hatua za usalama wanapokutana na tembo
โœ… Tahadhari wakati wa kukutana na wanyamapori
โœ… Umuhimu wa kulinda mazingira na wanyamapori katika jamii zao

Hadi sasa, tumefundisha jumla ya masomo 6 katika shule 31, ikiwemo shule 8 za sekondari. Mwaka 2025 pekee, tumefundisha:

๐Ÿ“š Wanafunzi 4,907
๐Ÿ‘ง Wasichana 2,486
๐Ÿ‘ฆ Wavulana 2,421

Vipindi hivi vya mafunzo ya elimu vimetolewa na Mwezeshaji wetu wa idara ya Kuishi kwa Ushirikiano na Wanyamapori na Maisha Endelevu (Coexistence and Livelihoods), Beatrice Lihaku. Tunamshukuru kwa dhati Beatrice kwa kazi kubwa anayofanya katika kutoa mafunzo haya kote Bonde la Kilombero.

Hii ni zaidi ya elimu โ€” ni kujenga mustakabali ambapo watu na wanyamapori wanaweza kuishi pamoja kwa usalama na uendelevu.

๐Š๐ฎ๐ฃ๐ž๐ง๐ ๐š ๐”๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐’๐ž๐ซ๐ข๐ค๐š๐ฅ๐ข ๐ณ๐š ๐Œ๐ข๐ญ๐š๐š: ๐”๐š๐ง๐ณ๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐š๐ฆ๐š๐ญ๐ข ๐ฒ๐š ๐”๐ฌ๐ข๐ฆ๐š๐ฆ๐ข๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ฒ๐š ๐”๐ฌ๐ก๐จ๐ซ๐จ๐›๐š ๐ฐ๐š ๐๐ฒ๐ž๐ซ๐ž๐ซ๐žโ€“๐”๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐šTarehe...
02/05/2026

๐Š๐ฎ๐ฃ๐ž๐ง๐ ๐š ๐”๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐’๐ž๐ซ๐ข๐ค๐š๐ฅ๐ข ๐ณ๐š ๐Œ๐ข๐ญ๐š๐š: ๐”๐š๐ง๐ณ๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐š๐ฆ๐š๐ญ๐ข ๐ฒ๐š ๐”๐ฌ๐ข๐ฆ๐š๐ฆ๐ข๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ฒ๐š ๐”๐ฌ๐ก๐จ๐ซ๐จ๐›๐š ๐ฐ๐š ๐๐ฒ๐ž๐ซ๐ž๐ซ๐žโ€“๐”๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐š

Tarehe 10 Aprili 2026, hatua muhimu ilipatikana katika Ukanda wa Wanyamapori wa Nyerereโ€“Udzungwa (NUWC) kwa kuanzishwa rasmi kwa K**ati ya Usimamizi ya Pamoja- Joint Management Committee (JMC) chini ya Kanuni za Maeneo ya Njia za Wanyamapori (ushoroba) za 2018. Hii ni hatua ya kuimarisha utawala wa ndani na uendelevu wa ushoroba wa kwanza wa wanyamapori uliotambuliwa kisheria Tanzania.

JMC inahusisha viongozi wa vijiji vya Sole, Mangโ€™ula A, na Kanyenja, pamoja na mamlaka za serikali na taasisi za uhifadhi k**a , , , , na Ofisi ya Wakili wa Halmashauri ya Ifakara ()chini ya uratibu wa STEP.

Baada ya mchakato wa uwazi wa uchaguzi na uapisho, uongozi uliundwa k**a ifuatavyo:

>Mwenyekiti โ€“ Kijiji cha Sole
>Makamu Mwenyekiti โ€“ TAWA
>Katibu โ€“ Afisa Wanyamapori wa Wilaya (MNRT)

Uanzishwaji huu unaonesha wazi kuwa jamii ziko katikati ya maamuzi ya usimamizi wa ushoroba huu, zikishirikiana na serikali na wadau wa uhifadhi.

Kwa uratibu wa kwa kushirikiana na , JMC hii ni mfano wa uongozi wa kijamii unaolenga uhifadhi shirikishi na endelevu ambapo watu na wanyamapori wanaishi kwa pamoja kwa ustawi.


**atiYaUsimamiziYaPamoja

๐”๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐”๐ฌ๐ก๐จ๐ซ๐จ๐›๐š ๐ฐ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐๐ฒ๐ž๐ซ๐ž๐ซ๐žโ€“๐”๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐šUshoroba wa Wanyamapori wa Nyerereโ€“Udzungwa ni mfano muhimu wa...
18/04/2026

๐”๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐”๐ฌ๐ก๐จ๐ซ๐จ๐›๐š ๐ฐ๐š ๐–๐š๐ง๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ฉ๐จ๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐๐ฒ๐ž๐ซ๐ž๐ซ๐žโ€“๐”๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐š

Ushoroba wa Wanyamapori wa Nyerereโ€“Udzungwa ni mfano muhimu wa kujifunza jinsi urejeshaji wa ushoroba unavyoweza kusaidia muunganiko wa makazi ya wanyamapori na kuimarisha uhusiano chanya kati ya binadamu na wanyamapori katika maeneo yenye matumizi mchanganyiko ya ardhi.

Kwa sababu hiyo, STEP kwa kushirikiana na na Kituo cha Ufuatiliaji wa Ikolojia cha Udzungwa (.tanzania ), imekuwa ikifuatilia jinsi wanyamapori wanavyotumia ushoroba huu.

Kupitia matumizi ya kamera za kunasa picha (camera traps) na doria za ardhini za kila mwezi, tumerekodi aina 28 za mamalia katika eneo la ushoroba, wakiwemo tembo, nyati, mondo, na mbawala. Inatia moyo kuwa matokeo ya awali yanaonesha ongezeko la shughuli za tembo katika ushoroba tangu mwaka 2023.

Pia tunashirikiana na Wafuatiliaji wa Tembo wa Kijiji (Local Elephant Monitors) katika vijiji jirani kufuatilia uharibifu wa mazao unaosababishwa na tembo, ambapo matokeo ya awali yanaonesha kupungua kwa matukio hayo.

Kwa pamoja, ufuatiliaji huu wa muda mrefu unatoa uelewa muhimu kuhusu jinsi urejeshaji wa ushoroba unavyoweza kusaidia harakati za wanyamapori na kuimarisha uhusiano wa kuishi kwa pamoja kati ya binadamu na tembo.

Shukrani kwa msaada mkubwa na wa ukarimu kutoka kwa USAID, , , na , kazi hii inaendelea kutoa ushahidi muhimu unaosaidia kuongoza hatua za uhifadhi na kuimarisha uhusiano wa kuishi kwa pamoja kati ya binadamu na wanyamapori katika mandhari yote ya eneo hili.

uhifadhiafrika

Address

P. O. Box 2494
Iringa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Southern Tanzania Elephant Program posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Southern Tanzania Elephant Program:

Shortcuts

Share