Barnaba Benson Page

Barnaba Benson Page Usisahahu Kutabasamu

24/02/2026

Hatimaye hali ya sintofahamu iliyokuwepo kwa zaidi ya miezi mitatu katika Mtaa wa Afya Kata ya Ludete Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katoro mkoani Geita imefikia tamati, baada ya familia ya aliyekuwa balozi wa nyumba kumi Shina namba 18, Costantini Juakali, kusamehewa na kurejeshwa rasmi katika jamii iliyokuwa imemtenga.

Hatua hiyo imetokana na juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Geita, Hashim Komba, aliyechukua hatua ya kufika moja kwa moja mtaani hapo akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, kusikiliza hoja za pande zote na kusimamia upatikanaji wa suluhu.

02/01/2026

Ee Mungu wetu, tunakushukuru kwa kutuvusha salama na kutujalia kuiona mwaka mpya 2026. Asante kwa ulinzi, uzima, baraka na matumaini mapya. Tunaweka mwaka huu mikononi Mwako, utuongoze, utubariki na utujaze amani. Amina.
#2026

29/12/2025

Usiishi kwa makofi ya watu wala usivunjike kwa chuki yao.
Fanya bidii kwa sababu ya ndoto yako, si kwa ajili ya kuridhisha hisia za wengine.
Ukizidi, nyamaza, endelea kujifunza, na heshimu kila mtu.

28/12/2025

Like, Share, Comment 🙏

12/11/2025

"Nilikuwa natamanai at least aniombe namba" - Magreth Geddy

09/11/2025

wangu ni wa milele

04/10/2025

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ latoa taarifa kwa vyombo vya habari.

27/08/2025

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imebatilisha uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, ikisema haukufuata taratibu za chama hicho, hivyo hastahili kuwa mgombea wa nafasi hiyo.

Uamuzi huo, unakuja baada ya ofisi hiyo kuwakutanisha viongozi wa chama hicho na Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala aliyelalamikia kupitishwa kwa Mpina, akidai kulivunja kanuni.

Mpina amekutana na kigingi hicho siku moja kabla ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa wagombea udiwani, ubunge na urais watakaoshiri Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025.

Baada ya hatua hiyo, inafuata hatua ya kuweka mapingamizi dhidi ya mgombea urais, hatua inayoweza kuwekwa na mgombea mwingine yeyote, msajili wa vyama au Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwisho wa kuweka pingamizi kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi, ni hadi Agosti 28, saa 10:00 jioni, isipokuwa k**a aliyeliweka ni Msajili wa Vyama vya Siasa, ukomo wake ni ndani ya siku 14 baada ya siku ya uteuzi.

Mpina na mgombea mwenza wa urais wake, Fatma Fereji walikwishachukua fomu na INEC za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi hiyo na wanatarajia kesho Agosti 27 kuzirejesha kwa ajili ya uteuzi.

Address

Geita

Telephone

+255627101399

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Barnaba Benson Page posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Barnaba Benson Page:

Share