Union of Tanzania Press Clubs

Union of Tanzania Press Clubs Union of Tanzania Press Clubs (UTPC), is an umbrella body for Press Clubs in Tanzania. The headquarters for UTPC is in Dodoma region.

It has 28 Press Clubs members all over Tanzania main land and Zanzibar (Unguja and Pemba).

Je, wewe ni mwandishi wa habari na ungependa kushiriki katika Fellowship ya miezi tisa kuhusu uandishi wa habari za masl...
30/04/2026

Je, wewe ni mwandishi wa habari na ungependa kushiriki katika Fellowship ya miezi tisa kuhusu uandishi wa habari za maslahi kwa umma (Public Interest Journalism - PIJ).
Jisajili sasa na ujaze fomu kupitia kiungo (link) hiki:
https://fellowship.utpc.or.tz/auth au scan kwenye QR Code.
Tafadhali soma maelekezo yote kwa makini kabla ya kuanza kujaza fomu.
Unaweza kuomba kushikiri Fellowship ya kipindi cha pili (Cohort 2) au Fellowship ya kipindi cha tatu (Cohort 3).
Programu hii ya *PIJ Fellowship* inaratibiwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na International Media Support (IMS) pamoja na JamiiAfrica.

Why does Public Interest Journalism matter now more than ever?Join us for a powerful conversation on the future of journ...
29/04/2026

Why does Public Interest Journalism matter now more than ever?
Join us for a powerful conversation on the future of journalism, truth, accountability, and stories that serve the public good.

Be part of the voices shaping media that informs, protects, and empowers communities.

📍 Room 2, Mount Meru Hotel
🗓️ April 29, 2026
⏰ 2:00 PM – 4:00 PM

24/02/2026

A powerful Community Seminar brought journalists face-to-face with citizens in Geita, creating space for real community voices to be heard and documented. Through the Empowering Journalists for Informed Communities project, the Union of Tanzania Press Clubs (UTPC) and Geita Press Club convened diverse groups including people with disabilities, small-scale miners, farmers, pastoralists, traders, and CSOs whose concerns are now shaping new fact-based Public Interest stories.

This engagement strengthens the media’s role as a bridge between communities and decision-makers, amplifying marginalized voices and promoting accountability.
The initiative is supported by the European Union and the Embassy of Switzerland in Tanzania in partnership with International Media Support (IMS).

On 17th February, the Union of Tanzania Press Clubs (UTPC), through the Empowering Journalists for Informed Communities ...
20/02/2026

On 17th February, the Union of Tanzania Press Clubs (UTPC), through the Empowering Journalists for Informed Communities project, convened a dynamic Community Seminar in Geita, coordinated by the Geita Press Club.
The platform brought together journalists and community members to openly discuss pressing local concerns.
The community seminar was participated by different community groups including, people with disabilities, small scale miners, famers, pastoralists, small scale traders and CSO’s that works direct with communities

In this session many Issues were raised which were concern to Geita community and these issues were captured by journalists who will now reach-out to their respective sources for story developing.

This engagement is a practical step in strengthening Public Interest Journalism where journalists listen directly to citizens and transform community concerns into fact-based, impactful stories. By acting as a bridge between the public and decision-makers, the media helps ensure accountability, amplify marginalised voices, and stimulate informed public dialogue. When communities speak and journalists respond with responsible reporting, trust grows and democratic participation is strengthened.

This initiative is funded by the European Union and the Embassy of Switzerland in Tanzania and is implemented in partnership between UTPC and International Media Support (IMS).

20/02/2026

Elections

TANZIA! TANZIA! TANZIA!KWA MASIKITIKO MAKUBWA UONGOZI WA UTPC UKIONGOZWA NA BODI YA WAKURUGENZI UNATOA POLE KWA VIONGOZI...
19/02/2026

TANZIA! TANZIA! TANZIA!

KWA MASIKITIKO MAKUBWA UONGOZI WA UTPC UKIONGOZWA NA BODI YA WAKURUGENZI UNATOA POLE KWA VIONGOZI NA WANACHAMA WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI NCHINI KWA MSIBA WA ALIYEKUWA RAIS WA PILI WA UMOJA WA KLABU ZA WAANDISHI WA TANZANIA, MAREHEMU ULIMBOKA MWAKILILI ALIYEFARIKI TAREHE 18/02/2026 KATIKA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA ALIPOKUWA AKIPATIWA MATIBABU.

Mazishi ya marehemu Ulimboka Mwakilili yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 21/02/2026 nyumbani kwake Igawilo Uyole Mbeya.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amina

Repost from •Vyombo huru vya habari = Jamii huruTukomeshe udhibiti wa habari.Tukomeshe kutishia waandishi wa habari.Tuko...
31/01/2026

Repost from

Vyombo huru vya habari = Jamii huru

Tukomeshe udhibiti wa habari.
Tukomeshe kutishia waandishi wa habari.
Tukomeshe mashambulizi dhidi ya waandishi wa habari.

Ungana nasi kupaza sauti.

Ni wakati wa ukweli.

Kusimamia ni kusimamia uhuru wako mwenyewe.

Today, Union of Tanzania Press Clubs (UTPC) was honoured to receive a courtesy visit from the Journalists Accreditation ...
20/01/2026

Today, Union of Tanzania Press Clubs (UTPC) was honoured to receive a courtesy visit from the Journalists Accreditation Board (JAB) at our offices in Dodoma.

According to JAB acting executive director, Patrick Kipangula, among its core responsibilities, JAB is mandated to promote ethics and professionalism in the media industry and build journalists’ capacity nationwide.

UTPC strongly welcomes this mandate, as it aligns directly with Pillar 7 of the UTPC 2026–2030 Strategic Plan, which focuses on ethics, professionalism, and continuous capacity development for journalists across Tanzania.

We reaffirm our position that professional accreditation must build credibility—not become gate-keeping that constrains civic space. Accreditation should elevate standards, strengthen public trust, and protect the public interest, while remaining inclusive of competent journalists serving communities at all levels.

UTPC executive director Kenneth Simbaya, expressed UTPC readiness to serve as a delivery partner, leveraging UTPC’s nationwide press club network as regional hubs for ethics reinforcement, professional development, and two-way feedback.

We also emphasised a shared principle: accreditation must come with duty of care, not just control. When regulation and the profession walk together, journalism becomes stronger, safer, and more trusted by the public it serves.

UTPC looks forward to a constructive collaboration with JAB in advancing ethical, professional, and public-interest journalism in Tanzania.

Repost from •🎙️ Alhamis hii usikose!Ungana nasi katika kipindi maalum tukijadili mada: “Umuhimu wa Chakula mashuleni kwa...
13/11/2025

Repost from

🎙️ Alhamis hii usikose!

Ungana nasi katika kipindi maalum tukijadili mada: “Umuhimu wa Chakula mashuleni kwa ukuaji wa kimwili na kiakili kwa wanafunzi chini ya miaka nane.”

Tutakuwa na wageni mbalimbali watakao toa elimu na kujibu maswali yako moja kwa moja.

📍 Novemba 13, 2025
🕕 Saa 10:00 - 11:00 AM
📻 KICORA Radio 98.9 MHz


TAARIFA KWA UMMA
08/11/2025

TAARIFA KWA UMMA

Address

Aboud Jumbe Road, Kazembo Street, Uzunguni, House No. 27
Dodoma
770

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255767115510

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Union of Tanzania Press Clubs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share