African Association For Creativity and Innovation

African Association For Creativity and Innovation Fostering and leverage creativity, innovation and entrepreneurship in Africa [www.aaciconnect.com]. Welcome to our Facebook community!

30/10/2014

The app provides people with free access to basic internet services so they can browse useful health, education, finance, employment, communication and local information and services without data charges.

AACI is committed to helps individuals, businesses, institutions and organizations to build creative culture, solve thei...
09/04/2014

AACI is committed to helps individuals, businesses, institutions and organizations to build creative culture, solve their problems and succeed in the current global knowledge based economy..www.aaciconnect.com..join us now!

AACI was established in 2012 to foster and leverage creativity, innovation and entrepreneurship. We connect individuals, businesses and organisations to ?

01/04/2014

"The best way forward is to give more people everywhere greater power to build their own destinies." Richard Branson

top 10 innovative companies in Africa, come from South Africa and Kenya...AACI Tanzania is committed to help individuals...
25/03/2014

top 10 innovative companies in Africa, come from South Africa and Kenya...AACI Tanzania is committed to help individuals, businesses, institutions and organizations to be CREATIVE, INNOVATE and succeed in the current global knowledge based economy..Join us now!..

AACI Tanzania is recruiting suitable candidates and if you are interested contact us now at [info@aaciconnect.com]
24/03/2014

AACI Tanzania is recruiting suitable candidates and if you are interested contact us now at [[email protected]]

The United Nations International Labour Organization (UNILO) Employment and internship oppotunities

We are bringing together all the pieces necessary for a technology ecosystem. Tanzania's tech industry must GROW! ..kwa ...
30/01/2014

We are bringing together all the pieces necessary for a technology ecosystem. Tanzania's tech industry must GROW! ..kwa WADAU wote wa ICT tanzania (tech gurus, programmers, researchers, hackers, designers, bloggers etc.) walioajiriwa, wanaotafuta ajira, wajasiriamali na wanafunzi, SASA unaweza kuungana na wenzako kufanya kazi pamoja POPOTE ulipo! work more earn more! Register in our IT expert database now! Send us [[email protected]] a brief description of what you do, your sample works and contact info.

it is your turn to change
29/01/2014

it is your turn to change

"Easy is not a option..No days off..Never Quit..Be Fearless..Talent you have Naturally..Skill is only developed by hours...
29/01/2014

"Easy is not a option..No days off..Never Quit..Be Fearless..Talent you have Naturally..Skill is only developed by hours and hours of Work" - Usain Bolt

http://www.juliusnyerere.info
28/01/2014

http://www.juliusnyerere.info

Julius Kambarage Nyerere (13 April 1922 - 14 October 1999) was a Tanzanian politician who served as the first President of Tanzania and previously Tanganyika, from the country's founding in 1961 until his retirement in 1985.

28/01/2014

TAMKO LA SERIKALI KUHUSU KUSITISHA UTARATIBU WA KUKODISHA WAFANYAKAZI UNAOFANYWA NA BAADHI YA WAKALA BINAFSI WA HUDUMA ZA AJIRA

1. Wizara ya Kazi na Ajira imekua ikipokea malalamiko toka kwa wadau mbalimbali kuhusu utaratibu wa udalali wa kukodisha wafanyakazi katika makampuni unaofanywa na baadhi ya Wakala Binafsi wa Huduma za Ajira nchini.

2. Wizara imefanya uchunguzi wa kina kuhusu suala hili na kubaini kuwa utaratibu wa kukodisha wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya Wakala Binafsi wa Huduma za Ajira ni kinyume cha Sheria ya Huduma za Ajira Na. 9 ya Mwaka
1999 [Sura 243 k**a ilivyorejewa Mwaka 2002]. Kwa mujibu wa Kifungu 4 cha Sheria hii, majukumu ya msingi ya Wakala wa Huduma za Ajira ni kuwaandaa na kuwaunganisha Watafuta Kazi na Waajiri kwa kutoa mafunzo na ushauri elekezi kwa watafuta kazi, kutafuta fursa za ajira na kutoa taarifa za soko la ajira. Hivyo, Mawakala hawapaswi kuwa waajiri wa wafanyakazi waliowatafutia kazi kwa niaba ya Waajiri wengine.

3. Aidha, uchunguzi umebaini kwamba utaratibu huu ni ujanja unaotumiwa na baadhi ya Waajiri na Mawakala kwa lengo la kukwepa kodi na kujipatia faida kwa kukwepa kutoa haki za msingi za wafanyakazi kwa mujibu wa Sheria za Kazi. Baadhi ya makampuni yanayokodisha wafanyakazi yamefanyiwa uhakiki na TRA na kubainika kukwepa kodi ya mapato ya ajira (PAYE) na na kodi ya mapato ya kampuni kinyume na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Kodi ya Mapato ya Mwaka 2004 [Sura 332 k**a ilivyorejewa Mwaka 2008].

4.Uchunguzi huu umebaini athari mbalimbali kwa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa utaratibu huu. Athari hizo ni pamoja na:

Wafanyakazi kukosa haki ya hifadhi ya jamii k**a vile likizo ya uzazi na matibabu kinyume na Sheria mbalimbali za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii;

Uwepo wa ubaguzi katika malipo ya mishahara kwa kazi ya aina moja kinyume na kifungu cha 7(10) cha Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini Na.6 ya mwaka 2004 ambacho kinamtaka mwajiri kuchukua hatua stahiki kwa kuhakikisha kuwa wafanyakazi bila kujali jinsia zao wanalipwa mishahara linganifu na ya haki kwa kazi yenye uzito na thamani sawa;

Kukosa fursa za kujiendeleza kielimu na mafunzo;

Kukosekana kwa usalama na uhakika wa ajira ;

Wafanyakazi kulipwa mishahara ya kima cha chini kinyume na sekta wanayofanyia kazi.

5. Kwa taarifa hii, Wizara ya Kazi na Ajira imeamua kusitisha mara moja utaratibu wa Mawakala kuwaajiri wafanyakazi wanaowatafutia kazi. Aidha, Mawakala na Kampuni husika waliopo katika utaratibu huu kwa sasa wanapaswa kuwahamisha wafanyakazi waliokodishwa kutoka kwa Wakala kwenda kwa Kampuni husika. Waajiri na Wakala wanatakiwa kukamilisha zoezi hili ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na kuwasilisha taarifa za utekelezaji kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Kazi na Ajira kabla au ifikapo tarehe 28/02/2014.

6. Uchunguzi zaidi unaendelea kubaini k**a kuna wafanyakazi wa Kigeni wanaohusishwa katika utaratibu wa kukodishwa ili hatua zinazotahili ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwataka waombe vibali vya ajira kwa mujibu wa Sheria ya Uhamiaji Na.7 ya mwaka 1995 na Sheria ya Huduma za Ajira Na.9 ya mwaka 1999. Wageni watakao kidhi vigezo wataajiriwa na kampuni walipokodishwa; ambazo kwa wakati huo zitakua ndiyo mwajiri wao.

7. Wizara ya Kazi na Ajira inawaelekeza Wakala wa Huduma za Ajira nchini kwamba, kwa utaratibu wa sasa watapaswa kuwasilisha barua za maombi ya usajili wa Uwakala kwa KAMISHNA WA KAZI kwa mujibu wa Sheria ya Huduma za Ajira Na. 9 ya mwaka 1999 [Sura 243 k**a ilivyorejewa Mwaka 2002] ili waweze kufanya shughuli za Uwakala wa Huduma za Ajira kisheria. Maombi haya yawasilishwe ndani ya kipindi cha mwezi mmoja tangu kutolewa kwa tangazo hili. Baada ya muda huo Wakala asiye na kibali cha Kamishna wa Kazi hatoruhusiwa kuendesha shuguli za huduma za ajira nchini. Aidha, Mawakala watakaopata leseni ya Kamishna wa Kazi yatakua yakitangazwa ili yatambuliwe na Umma.

8. Nasisitiza, maelekezo haya yatatolewa kwa Makampuni na Wakala waliohusishwa katika uchunguzi kwa ajili ya utekelezaji.

IMETOLEWA NA

GAUDENTIA MUGOSI KABAKA (MB)

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA
27/01/2014

All companies today want innovation and entrepreneurial thinking; the question is how to achieve it...
28/01/2014

All companies today want innovation and entrepreneurial thinking; the question is how to achieve it...

Address

Off Sinza Mori Road, P. O. Box 1381
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when African Association For Creativity and Innovation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share