27/01/2025
Ukweli Kuhusu Tangazo Hili!
imefanya uchunguzi kuhusu tangazo linalosambazwa mtandaoni likidai kuwa kampuni ya mabasi ya imetangaza nafasi 50 za ajira. Baada ya mawasiliano na kampuni hiyo, imethibitishwa kuwa tangazo hilo ni la upotoshaji, na kampuni haina uhusiano wowote nalo.
Tahadhari kwa Wananchi
1. Epuka Kuwasiliana na akaunti zisizorasmi zinazodai kuwakilisha kampuni flani.
2.Ripoti Ulaghai: Matukio k**a haya yanapaswa kuripotiwa kwa vyombo vya usalama au mamlaka husika.
Soma zaidi kupitia linki kwenye bio