23/02/2026
✝️ KWARESIMA YA HURUMA
Katika kipindi hiki kitakatifu, tuungane kuleta tumaini kwa watoto wengi wenye mazingira magumu.
Kwa niaba yako, pale ambapo huwezi kuwafikia wengi, sisi tunasimama k**a wasimamizi wa kusaidia kufikia wengi wenye uhitaji hasa kipindi hiki kitakatifu.
Mchango wako, hata k**a ni kidogo unagawanywa kwa watoto wengi, kila mmoja akishiriki sehemu ya kile ulichotoa, na hivyo kuleta tumaini na faraja.
Tunawahudumia wote kwa upendo, bila ubaguzi Wakristo na Waislam.
Tuma mchango wako kupitia:
CRDB Account No: 015C758984700
Jina: Upskill Tanzania
Ikiwa una mashaka, ni jambo la kawaida; kila mmoja anawajibika mbele ya Mungu wake.
Lakini anayetoa kwa moyo wa imani na upendo, hakika atapokea baraka tele. 🙏