Tanzania Youth Coalition (TYC)

Tanzania Youth Coalition (TYC) TYC works on Policy Analysis, Capacity building and Awareness raising of you TYC inafanya kazi ya kuwajengea vijana uwezo na uelewa kuhusu maendeleo endelevu.

Tanzania Youth Coalition (TYC) is a consortium of 120 youth NGOs and CBOs, 249 Youth Enterprise Groups (YEGs) and hundreds of youth individuals in Tanzania Mainland and Zanzibar. IN ENGLISH
Tanzania Youth Coalition (TYC) is a consortium/union of 120 youth non-governmental organizations, 249 Youth Enterprise Groups (YEGs) and hundreds of youth individuals countrywide. TYC is working towards buildin

g the capacity and raising awareness of young people on Sustainable Development. TYC addresses four programme areas:

1) Youth Livelihood and Employment,
2) Environment and Youth Livelihood
3) Gender and Youth Health
4) Coalition Building and Networking

TYC is registered under the NGO Act of 2002 no. 00NGO/1382. The goal of the organization is to ensure that the voice of a young person is heard at all policy platforms at local, national and international levels. Tanzania Youth Coalition (TYC) does the work of facilitating information dissemination, sharing and exchange, Policy Analysis, youth capacity building, Lobbying and advocacy. Tanzania Youth Coalition (TYC) has a program to run youth platforms in 12 regions across the country, including Zanzibar. In this program TYC managed to reach over 6000 young people by providing different trainings, including entrepreneurship and establishment of SACCOS, project management, citizen journalism, financial management, leadership skills, life skills and working in teams and groups. VISION
Tanzania will have a well-informed and empowered, responsible youth population participating on national development productively, individually and from a strong and vibrant civil society at local, national and international levels to the benefit of the poor and vulnerable people of our nation (Constitution 2002). MISSION
The main purpose of Tanzania Youth Coalition is to raise awareness and build the capacity of youth (primarily the coalescing partners) on sustainable development focusing on policy issues, information, lobbying and advocacy and ensure that the voice of a young person is heard across decision making platforms (Constitution 2002). IN SWAHILI

Tanzania Youth Coalition (TYC) ni muungano wa mashirika 120 yasiyo ya kiserikali na vikundi 249 vya uzalishaji mali vinavyofanya kazi na vijana nchini. Shirika la TYC linafanya kazi katika maeneo manne (4) ya kiprogramu ambayo ni:

1. Kuwawezesha vijana kupata ajira na kipato
2. Upatikanaji wa kipato kwa vijana kutoka rasilimali za kimazingira
3. Afya ya kijana na ujinsia
4. Kujenga muungano wa vijana na mtandao. Shirika la TYC limesajiliwa chini ya sheria ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO Act of 2002) kwa nambari 00NGO/1382. Lengo kuu la shirika ni kuhakikisha kwamba sauti ya kijana inasikika katika nyanja za utoaji maamuzi na sera katika ngazi ya kata, wilaya, taifa na kimataifa. Shirika la TYC linafanya kazi ya kuwezesha upatikanaji wa habari, kushirikiana na kubadilishana, Uchambuzi wa Sera, kuwajengea vijana uwezo, Ushawishi na utetezi. Tanzania Youth Coalition (TYC) inayo programu ya kuendesha majukwaa ya vijana katika mikoa 12 nchi nzima ikiwemo Zanzibar. Katika programu hii TYC imeweza kufikia zaidi ya vijana 6000 kwa kuwapatia mafunzo mbalimbali ikiwemo ujasiriamali na uanzishaji wa SACCOS, usimamizii wa miradi, uandishi wa habari, utunzaji wa hesabu za fedha, uongozi, stadi za maisha pamoja na ufanyaji kazi katika timu na vikundi. DIRA
Tanzania itakuwa na vijana wenye kupata na taarifa na waliowezeshwa , Kuwa na vijana wengi wanao wajibika , na Kushiriki katika uzalishaji kwa maendeleo ya kitaifa, eidha kwa Mtu mmoja mmoja kutoka katika asasi za kiraia zenye nguvu na mahiri katika ngazi ya mitaa,kitaifa na kimataifa kwa manufaa ya watu maskini na wanaoishi katika mazingira magumu ya taifa letu (Katiba 2002 ). DHAMIRA
Lengo kuu la Tanzania Coalition (TYC) ni kuongeza ufahamu na kujenga uwezo wa vijana (hasa washirika coalescing) juu ya maendeleo endelevu ya kuelekeza katika masuala ya kisera, taarifa, ushawishi na utetezi na kuhakikisha kuwa sauti ya kijana imesikiwa katika majukwaa ya maamuzi (Katiba 2002).

Eid Mubarak!Wishing you peace, happiness, and blessings this Eid El Adha.
27/05/2026

Eid Mubarak!
Wishing you peace, happiness, and blessings this Eid El Adha.

Katika kuendelea kufuatilia maendeleo ya vijana wanufaika wa mradi wa Boresha Maisha ya Vijana, tumemtembelea Dada Veron...
21/05/2026

Katika kuendelea kufuatilia maendeleo ya vijana wanufaika wa mradi wa Boresha Maisha ya Vijana, tumemtembelea Dada Veronica Lema kutoka Kata ya Nronga, Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro.

Dada Veronica ni mjasiriamali anayejishughulisha na usindikaji wa maziwa, ufugaji wa nyuki pamoja na utengenezaji wa viungo vya chakula na chai. Kupitia ubunifu, juhudi na maarifa aliyoyapata, ameendelea kujiongezea kipato na kuchangia maendeleo ya jamii inayomzunguka.

Tunajivunia kuona vijana na wanawake wakitumia fursa za ujasiriamali kujenga maisha bora na endelevu.

Today we honor the women who shape lives with love and care.  ♥️
10/05/2026

Today we honor the women who shape lives with love and care.
♥️

Maonyesho ya Biashara ya kimataifa Dar es salaam Saba Saba 2026. Unakaribishwa kutuma Maombi ya Ushiriki kwenye Maonesho...
02/05/2026

Maonyesho ya Biashara ya kimataifa Dar es salaam Saba Saba 2026. Unakaribishwa kutuma Maombi ya Ushiriki kwenye Maonesho Makubwa ya Biashara Tanzania.
Namna ya kutuma maombi tafadhali bonyeza kiungo (link) hapo chini au tembelea kwenye Bio yetu

https://forms.gle/vByGKrTsGKirMehx5

At Tanzania Youth Coalition, we recognize and appreciate the commitment and professionalism that power success across ev...
01/05/2026

At Tanzania Youth Coalition, we recognize and appreciate the commitment and professionalism that power success across every industry.
Wishing all workers a meaningful and inspiring Labour Day.

From Zanzibar (the Islands) to Mainland Tanganyika, we remain one nation Tanzania. Happy Union Day.          Unity Pamoj...
26/04/2026

From Zanzibar (the Islands) to Mainland Tanganyika, we remain one nation Tanzania. Happy Union Day.

Unity Pamoja

Happy Karume Day
07/04/2026

Happy Karume Day

Tanzania Youth Coalition wishes you a joyful and blessed Easter filled with peace and happiness
04/04/2026

Tanzania Youth Coalition wishes you a joyful and blessed Easter filled with peace and happiness

Ijumaa Kuu ni kumbusho la upendo usio na mipaka na sadaka ya kweli. Tunawatakia kheri ya Ijumaa Kuu.
03/04/2026

Ijumaa Kuu ni kumbusho la upendo usio na mipaka na sadaka ya kweli.
Tunawatakia kheri ya Ijumaa Kuu.

Vijana wa kutoka Wilaya ya Mbozi Katika mkoa wa Songwe wamepata mafunzo ya matumizi ya mbegu bora, teknolojia za kisasa ...
29/03/2026

Vijana wa kutoka Wilaya ya Mbozi Katika mkoa wa Songwe wamepata mafunzo ya matumizi ya mbegu bora, teknolojia za kisasa za kilimo, pamoja na namna ya kutumia mitandao ya kijamii kutafuta masoko na kuongeza thamani ya mazao yao.
Lengo ni kuwajengea uelewa na uwezo wa kufanya kilimo chenye tija na faida.

Ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa mradi wa YEFFA-KILIMO SAUTI


Address

Akachube Road, House No. 17, Kijitonyama. Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

+255222701095

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Youth Coalition (TYC) posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Tanzania Youth Coalition (TYC):

Share