12/11/2024
At OCODE, we’re committed to empowering young people to shape their own futures. Through the Bonga (Back-to-School) project, our goal is to support 700 out-of-school adolescents in and by 2027, giving them a second chance at education.
Join us on this journey to create lasting, positive change in our communities.
…………………………………………………………………………………………..
OCODE tunaamini katika kuwawezesha vijana kujenga maisha yao ya baadaye. Kupitia mradi wa Bonga (Back-to-School), tunalenga kuwasaidia vijana 700 waliokosa fursa ya elimu ifikapo mwaka 2027, katika wilaya ya Bagamoyo na Manispaa ya Kinondoni. Jiunge nasi katika safari hii ya kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii zetu.