Organization for Community Development - OCODE

Organization for Community Development - OCODE It was established in 1999 and registered in 2003 under the Society Ordinance Act of 1954

Organization for Community Development (OCODE) is a grassroots national non-governmental organization that works to improve lives of less privileged Tanzanians.

At OCODE, we’re committed to empowering young people to shape their own futures. Through the Bonga (Back-to-School) proj...
12/11/2024

At OCODE, we’re committed to empowering young people to shape their own futures. Through the Bonga (Back-to-School) project, our goal is to support 700 out-of-school adolescents in and by 2027, giving them a second chance at education.

Join us on this journey to create lasting, positive change in our communities.

…………………………………………………………………………………………..

OCODE tunaamini katika kuwawezesha vijana kujenga maisha yao ya baadaye. Kupitia mradi wa Bonga (Back-to-School), tunalenga kuwasaidia vijana 700 waliokosa fursa ya elimu ifikapo mwaka 2027, katika wilaya ya Bagamoyo na Manispaa ya Kinondoni. Jiunge nasi katika safari hii ya kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii zetu.

Jana tulianza mafunzo kwa walimu wakuu, wasaidizi, walimu wa madarasa ya awali, na darasa la kwanza kutoka shule tatu za...
01/10/2024

Jana tulianza mafunzo kwa walimu wakuu, wasaidizi, walimu wa madarasa ya awali, na darasa la kwanza kutoka shule tatu za (Mbweni, Kawe, na Mtongani).

Lengo la mafunzo haya ni kuongeza uelewa wa walimu wetu juu ya elimu bora jumuishi ili kuwawezesha kuwasaidia watoto wetu wakati wa kujifunza. Mafunzo haya yataendelea katika wilaya ya , yakianza kesho, Jumatano tarehe 2 Oktoba.

Unadhani elimu jumuishi inaweza kubadilisha vipi shule zetu? Tuambie maoni yako!

…………………………….
Yesterday, we kicked off training for head teachers, assistants, pre-primary teachers, and grade one teachers from three schools in (Mbweni, Kawe, and Mtongani).

The aim of the training is to increase our teachers’ understanding of quality inclusive education, enabling them to better support our children in the learning process.

The next phase of 2 days training will take place in Bagamoyo, starting tomorrow, Wednesday, October 2.

How do you think inclusive education can transform our schools? Let us know in the comments!


Leo tumekutana na maafisa kutoka idara mbalimbali katika ngazi ya Manispaa na kata  , tukijadili maeneo muhimu ambayo OC...
15/08/2024

Leo tumekutana na maafisa kutoka idara mbalimbali katika ngazi ya Manispaa na kata , tukijadili maeneo muhimu ambayo OCODE imeyachagua kwa utekelezaji wa miradi yake kwa miaka 5 ijayo. Tumeainisha kwa kina shughuli za mwaka 2024 pamoja na gharama za utekelezaji wake. Ushirikiano wetu ni msingi wa kuhakikisha mafanikio endelevu na ustawi wa jamii zetu.




………………………………………………………..

Today, we met with officials from various departments at the Municipal and Ward levels within to discuss the key areas OCODE has identified for project implementation over the next 5 years. We also outlined the activities and costs for 2024. This collaboration is vital for ensuring sustainable success and the well-being of our communities.

Nusu ya dunia ni vijana chini ya miaka 30, na ifikapo 2030, itakuwa 57%. Kaulimbiu ya mwaka huu, ni wito wa kuchukua hat...
12/08/2024

Nusu ya dunia ni vijana chini ya miaka 30, na ifikapo 2030, itakuwa 57%. Kaulimbiu ya mwaka huu, ni wito wa kuchukua hatua kwa Vijana na matumizi ya fursa za kidigitali kwa maendeleo endelevu.

Je, unatumiaje njia za kidijitali kwa maendeleo endelevu?
Toa maoni yako hapa





………………………

Half the world is under 30, and by 2030, it’ll be 57%. This year’s theme, ‘From Clicks to Progress,’ is a call to action.

How are you using digital pathways for sustainable development?
Share your thoughts below!

🌾 Happy Nane Nane Day! 🌾Today, we celebrate National Farmers Day, honoring the dedication, hard work, and resilience of ...
08/08/2024

🌾 Happy Nane Nane Day! 🌾

Today, we celebrate National Farmers Day, honoring the dedication, hard work, and resilience of our farmers. They are the backbone of our community, nurturing the land to provide food and sustenance for us all.

Action for Life Skills and Values in East Africa (ALiVE) , in collaboration with the Tanzania Institute of Education , h...
19/07/2024

Action for Life Skills and Values in East Africa (ALiVE) , in collaboration with the Tanzania Institute of Education , hosted a transformative three-day workshop organized by OCODE. This event focused on understanding, integrating, and assessing essential life skills and values in Tanzania’s revised curriculum. Join us on this journey of nurturing the next generation!



Today, OCODE, in partnership with the  Bagamoyo District Council, embarks on an exciting four-day journey to gather prel...
18/07/2024

Today, OCODE, in partnership with the Bagamoyo District Council, embarks on an exciting four-day journey to gather preliminary information from ward offices, and primary and secondary schools. This dynamic mission aims to pinpoint key areas for transformative interventions in selected wards of Bagamoyo District, paving the way for meaningful and lasting positive change in our communities.

Empowering the youth socially and economically provides a strong foundation for our communities and nations. It's crucia...
15/07/2024

Empowering the youth socially and economically provides a strong foundation for our communities and nations. It's crucial to recognize the youth as partners in our development agenda and as leaders in driving socio-economic change.

15/05/2024

Address

House No. 11, Msonge Street, Mikocheni A, Kinondoni
Dar Es Salaam
+255

Opening Hours

Monday 08:00 - 16:00
Tuesday 08:00 - 16:00
Wednesday 08:00 - 16:00
Thursday 08:00 - 16:00
Friday 08:00 - 16:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Organization for Community Development - OCODE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Organization for Community Development - OCODE:

Share