Tumaini Hopes.

Tumaini Hopes. Helping disable and orphans

21/12/2025

SAMAKI AINA YA SEA STAR (Starfish)

AMEBEBA VIRUTUBISHO VYA KUTOSHA:

1. PROTINI KWA WINGI.

2. MAFUTA AINA YA Omega-3 Fatty Acids

3. MADINI AINA YA Zinc, Magnesium, and Potassium ambayo ni muhimu kwa ajili ya kuongeza kinga za mwili na Ukak**avu wa misuli.

4. HUTOA VIRUTUBISHO VINGI ZAIDI KWA AJILI YA NGOZI.

21/12/2025

Samaki aina ya *SEA STAR (Starfish)*

Amebeba VIRUTUBISHO VYA KUTOSHA:

1. PROTINI KWA WINGI.
2. MAFUTA AINA YA Omega-3 Fatty Acids
3. MADINI AINA YA Zinc, Magnesium, and Potassium ambayo ni muhimu kwa ajili ya kuongeza kinga za mwili na Ukak**avu wa misuli.
4. HUTOA VIRUTUBISHO VINGI ZAIDI KWA AJILI YA NGOZI.

21/12/2025

JUST SORRY CAN HEAL AND CHANGE EVERYTHING.

TABIA 18 ZINAZOKUUA POLEPOLE: 1. Kulala kidogo sana au kupitiliza kiasi. 2. Kuzidisha matumizi ya dawa. 3. Kutoanza au k...
13/12/2025

TABIA 18 ZINAZOKUUA POLEPOLE:

1. Kulala kidogo sana au kupitiliza kiasi.
2. Kuzidisha matumizi ya dawa.
3. Kutoanza au kuacha kufanya mazoezi.
4. Kula chakula kupita kiasi.
5. Kutoshiriki katika shughuli za kijamii.
6. Kutumia muda mwingi kwenye simu au runinga (skrini).
7. Kutumia sukari au chumvi nyingi kupita kiasi.
8. Kufanya kazi kupita kiasi (kujichosha).
9. Kukosa muda wa kupumzika.
10. Kuendelea kubaki kwenye mahusiano yenye sumu (yasiyo na afya).
11. Kukosa mwanga wa jua.
12. Kuwa na mawazo hasi kila wakati.
13. Kukaa kitako kwa saa nyingi mfululizo.
14. Mkao mbaya wa mwili (wakati wa kukaa au kusimama).
15. Kutumia pesa kabla ya kuzipata.
16. Unywaji wa pombe uliokithiri.
17. Kuishi maisha bila malengo (kufuata mkumbo tu).
18. Kuwa na tabia ya ukali au hasira kila wakati.

05/11/2025

*Always "Power has Knowledge"*

07/10/2025

โœ๏ธ MLAGHAI hatari zaidi si yule anayekudanganya waziwazi.
โœ๏ธ NI YULE ANAYEKUAMBIA UKWELI ULIOPOTOSHWA KIDOGO TU.
โœ๏ธHivyo Basi, walaghai wa kweli hawabishani; bali wanakubali taratibu. Wanatikisa kichwa unapoongena, wanaiga sauti yako.
โœ๏ธWanakufanya ujisikie umeleweka. Na wakati huo unapoacha kuwa makini, wanapandikiza mbeguโ€”wazo ambalo unahisi k**a limetoka kwako.
โœ๏ธ Hawakudhibiti kwa nguvu.
โœ๏ธ Wanakudhibiti kwa kupendekeza.
โœ๏ธ Hawabadili akili yako; wanakuelekeza. Unafikiri umefanya chaguo sahihi, hiyo ndiyo siri.

WALAGHAI WAKUBWA ZAIDI HAWAKUSHAWISHI WANAKURUHUSU UJISHAWISHI MWENYEWE.

Week hii tutaendelea na session 2 ya masomo yetu.Napenda kuwapongeza mpaka sasa Kuna ambao wameshafikisha CPD Points 6.T...
25/08/2025

Week hii tutaendelea na session 2 ya masomo yetu.
Napenda kuwapongeza mpaka sasa Kuna ambao wameshafikisha CPD Points 6.
Tutumie vizuri Opportunity hii hasa kuwa bora katika utoaji wa huduma na urahisi wa kuhuisha lesseni zetu kwa Wataalam wa afya.

Mafunzo kwa watumishi wa Temeke RRH. Jinsi ya Kushughulikia Msongo wa mawazo Utokanao na KAZI, MAHUSIANO NA FAMILIA.๐Ÿ’๐Ÿ’๐ŸŒผ๐ŸŒบ...
06/08/2025

Mafunzo kwa watumishi wa Temeke RRH. Jinsi ya Kushughulikia Msongo wa mawazo Utokanao na KAZI, MAHUSIANO NA FAMILIA.
๐Ÿ’๐Ÿ’๐ŸŒผ๐ŸŒบ๐Ÿ•Š๏ธ๐Ÿ•Š๏ธ๐Ÿ’ฎ๐ŸŒฒ๐ŸŒฒ

ILIKUWA WIKI YA VIJANA TUKIZUNGUMZA KUHUSU.1. AFYA YANGU MTAJI WANGU NA,2. ATHARI ZA USAGAJI NA USHOGA )JULY 07 2025 SEH...
02/08/2025

ILIKUWA WIKI YA VIJANA TUKIZUNGUMZA KUHUSU.
1. AFYA YANGU MTAJI WANGU NA,
2. ATHARI ZA USAGAJI NA USHOGA )

JULY 07 2025 SEHEM YA 2

Address

Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Dar Es Salaam
255

Telephone

+255769108108

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tumaini Hopes. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Tumaini Hopes.:

Share