15/05/2026
Katika kipindi hiki muhimu kuelekea katika mkutano mkuu wa wafanyakazi # ambao hufanyika kila mwaka mwezi wa sita, mwaka huu agenda kubwa inayojadiliwa ni kutengenezwa kwa sheria ya kuwatambua wafanyakazi wa majukwaa(mitandao) wakiwemo wale wanaotumia bolt na uber ambao n madereva…kwetu chama k**a watoa huduma kwa wafanyakazi wa Usafiri hili n tukio kubwa na la ukombozi..majadiliano mbali mbali yanaendelea kuwaleta pamoja wafanyakazi na wawakilishi wa wafanyakazi wa majukwaa( platform workers ) kujiandaa kea namna ya kupeleka mahitaji yao katika mkataba unaopendekezwa..pichani ni Afisa elimu Msaidizi wa chama akiwa jijini nairobi nchini Kenya akiwa n muwakilishi pekee wa Tanzania bi Nice Amon ,katika mkutano unaowakutanisha nchi zaidi ya 40 kuleta pamoja mapendekezo yao kabla ya mkutano mkuu mwezi wa sita **ati_ya_vijana_tucta .tanzania