09/12/2025
Ni miaka 64 sasa tangu nchi yetu ipate uhuru,uhuru huu una maana kubwa sana kwetu k**a wananchi
Katika Jitihada Za Kimaendeleo tunaadhimisha siku hii maalumu kwetu Kwa kuendelea kutoa elimu na hamasa juu ya mapambano dhidi ya ukatili Kwa watoto na wanawake.
Uhuru bila haki na usawa wa Kijinsia bado sio uhuru, hivyo tuitumie siku hii Kwa kuendelea kupambana na kupinga vitendo vya ukatili katika jamii.
Salama Bila Rushwa Ya Ngono kwa wasichana na wanafunzi inawezekana,ni jukumu letu kuhakikisha watoto wanapata haki sawa bila ubaguzi na vikwazo vyovyote.
Bila Ukatili Inawezekana
Salama Bila Rushwa Ya Ngono Inawezekana.