01/10/2024
GOHOCORF Tumeandaa Charity Event itakayofanyika Miono Chalinze, Mkoa wa Pwani katika Kituo Cha watoto walemavu (HOPES DISABILITIES CENTER) Kwa Mchango wa 50,000/ Au zaidi, Utakua umejilipia Nauli, Mchango wa Mahitaji na kula pamoja na watoto.
https://chat.whatsapp.com/Ba6ImeEIls9BnXbHhpARgz