Women Fund Tanzania Trust, WFT Trust

Women Fund Tanzania Trust, WFT Trust Fuatilia tunavyosherehekea miaka 30+ ya Azimio la Beijing hapa:
https://www.youtube.com/watch?v=HYj Together, they form an innovative collaborative partnership.

WFT Trust was started by women who live and work within the women/feminist movements in Tanzania and beyond, back in 2007. They started WFT Trust because they realized the major challenges women's movements, organizations, groups and women in local communities face in accessing funding. This is despite good intentions and big amounts of aid money and philanthropic funding which comes to the countr

y but for various reasons never reaches them in a significant way. WFT-T's founders also realized that women‘s voices, visibility and contributions to achieve empowerment and social justice remain unseen and undervalued unless adequate funding reaches them. Registered in Tanzania in September 2008, WFT Trust also registered an international foundation in The Netherlands in November 2009 for the purpose of resource mobilization. As a women's rights fund, WFT Trust is timely as it is coming in when women's movement building in the country is revitalizing itself and is daring enough to move women's/feminist struggles to greater heights. In this way, WFT Trust taps into and strengthens women's potentials for feminist organizing and women's movement building through contributing to ongoing initiatives as well as becoming part of an active movement building in Tanzania. All along, since its start in 2007, WFT Trust has been actively seeking and receiving inputs and objective views from supportive and strategic actors within the women's movement in the country. Their contributions were key in assessing the feasibility of WFT Trust in Tanzania, next to sustaining and guiding the implementation of our vision, mission and goals.

26/11/2025

Join us for awareness during this



Mwakilishi wa wanaharakati vijana Walta Carlos atambua na kuheshimu maendeleo yanayotokana na Azimio la Beijing. Zaidi a...
16/04/2025

Mwakilishi wa wanaharakati vijana Walta Carlos atambua na kuheshimu maendeleo yanayotokana na Azimio la Beijing. Zaidi anawaalika viongozi, watunga sera, na jamii kuweka kipaumbele usawa wa kijinsia na kuwekeza katika mipango inayowawezesha wanawake vijana.

“Hatutapumzika hadi kila mwanamke aweze kupata elimu, huduma za afya, na fursa sawa za kiuchumi na ukngozi”.



16/04/2025
Kwenye hotuba yake, Mh. Hamad Chande alitambua umuhimu wa nafasi ya mwanamke kwenye jamii na kushukuru jinsi gani haraka...
16/04/2025

Kwenye hotuba yake, Mh. Hamad Chande alitambua umuhimu wa nafasi ya mwanamke kwenye jamii na kushukuru jinsi gani harakati za Beijing zilizozaa matunda kati ya wanaume pia.



Sisi wanawake wa pembezoni tumekuwa wanufaika wakubwa wa harakati za kumuwezesha mtoto wa k**e na hadi sasa tangu Azimio...
16/04/2025

Sisi wanawake wa pembezoni tumekuwa wanufaika wakubwa wa harakati za kumuwezesha mtoto wa k**e na hadi sasa tangu Azimio la Beijing tumeona mafanikio mengi ~ Zainab Ally, Mwanajamii.



Jambo la msingi linalokatiza maeneo yote - ufadhili kwa ajili ya usawa wa kijinsia ili kuhakikisha vipaumbele hivi vyote...
16/04/2025

Jambo la msingi linalokatiza maeneo yote - ufadhili kwa ajili ya usawa wa kijinsia ili kuhakikisha vipaumbele hivi vyote havibaki kuwa ndoto tu, bali vinaweza kutekelezwa kwa vitendo ~ Hodan Addou, UN Women



Reposted from Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono maazimio yaliyofikiwa kwenye m...
16/04/2025

Reposted from
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono maazimio yaliyofikiwa kwenye mkutano wa kimataifa wa Beijing -China (miaka 30 iliyopita) kwa lengo kuwawezesha wanawake na kuhakikisha wanaendelea kufanikiwa kupitia nyanja mbalimbali iwe za kiuchumi, kisiasa, kijamii nk

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Fedha Hamadi Chande alipozungumza k**a mgeni maalum kwenye hafla ya kusherehekea mafanikio ya Beijing 30+ hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam leo, Jumatano Aprili 16.2025

Akizungumza katika halfa hiyo, Chande amesema serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan mara zote imekuwa ikitafsri kwa vitendo maazimio ya mkutano huo kwani kupitia yeye (Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan) wanawake wamekuwa wakituliwa ndoo kichwani kupitia mpango wa serikali wa kuhakikisha maji safi na salama yanapatikana karibu na makazi ya wananchi

Kuimarishwa kwa miundombinu ya mawasiliano k**a vile barabara, kuimarisha huduma za afya katika jamii, kusimamia kidete suala la nishati safi nk ni sehemu ya masuala machache yanayoendelea kupewa mkazo mkubwa serikalini, ambapo kuimarishwa kwa sekta hizo kumesawadia wanawake kwa kiasi kikubwa kwani wao ndio waathirika wakubwa pindi huduma hizo zinapokosekana

Katika hatua nyingine, Chande amewaeleza wanaharakati wanawake waliohudhuria hafla hiyo kuwa wanawake kwa ujumla wake wanapaswa kutambua kuwa wana uwezo mkubwa wa kuvumbua vipaji, kwani hata yeye mwenyewe ni mama aliyemuambia kuwa unaweza kuingia kwenye siasa akafanya vizuri, jambo ambalo alilipokea na limempa manufaa

"Kazi yenu ni nzuri sana, na kazi yenu kwa kweli inahitaji motisha kwelikweli, na mimi niwahakikishieni tutakua pamoja, tutafanya yote yanayowezekana kushirikiana kuendeleza harakati hizi" -Chande

"Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi nendeni mkawaambie vijana wasikubali kushawishiwa kuvunja amani ya nchi yao, nendeni mkatoe elimu kwa watu wetu wakina mama na ikiwezekana hata akina baba, wanasema ukimuelimisha mwanamke mmoja basi dunia imeelimika" -Chande.
Reposted from

Pamoja na Mama Gertrude Mongella tulikusanya matakwa ya wanawake wote kuanzia ngazi za chini, za wilaya mpaka za mataifa...
16/04/2025

Pamoja na Mama Gertrude Mongella tulikusanya matakwa ya wanawake wote kuanzia ngazi za chini, za wilaya mpaka za mataifa. Hatukuweza kuzungumzia kila kitu hivyo tukaweka vifungu 12. - Prof. Penina Mlama



Viongozi vijana wapo! WanaBeijing wapo!Fuatilia live, link kwenye bio.
16/04/2025

Viongozi vijana wapo! WanaBeijing wapo!

Fuatilia live, link kwenye bio.



Tunafurahi kuungana na asasi za kiraia, viongozi vijana, wanachama wa Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uchaguzi, na Uongozi ...
16/04/2025

Tunafurahi kuungana na asasi za kiraia, viongozi vijana, wanachama wa Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uchaguzi, na Uongozi na wanaharakati wengine kwa ujumla kusherehekea miaka 30+ ya Azimio la Beijing.

Tuko live kwenye link in bio.



Tune into the Live as the Coalition Chair, Prof. Penina Mlama reflects on the immense work it took to realize the Beijin...
16/04/2025

Tune into the Live as the Coalition Chair, Prof. Penina Mlama reflects on the immense work it took to realize the Beijing 30+. She was among the women acitivists who represented Tanzania.



Address

17 Rufiji Street, Masaki
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:00
Tuesday 08:30 - 17:00
Wednesday 08:30 - 17:00
Thursday 08:30 - 15:30
Friday 08:30 - 15:30

Telephone

+255753912130

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Women Fund Tanzania Trust, WFT Trust posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Women Fund Tanzania Trust, WFT Trust:

Share