02/06/2026
Tarehe 1 Juni 2026, Shirika la lilipata heshima ya kushiriki Bungeni katika kikao cha Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka wa fedha 2026/2027, likiwakilishwa na Mkurugenzi wetu, Salama Kikudo, pamoja na Meneja wa Programu, Mawi Zahor.
Ushiriki huu unaonesha dhamira yetu ya kuendelea kushirikiana na Serikali na wadau mbalimbali katika kuendeleza ustawi wa jamii, usawa wa kijinsia, uwezeshaji wa wanawake na ulinzi wa makundi maalum.
Pamoja tunaendelea kujenga Tanzania jumuishi, yenye fursa sawa na maendeleo endelevu kwa wote.