Tanzania Raod Safety Initiative

Tanzania Raod Safety Initiative We work on capacity building raising awareness of road safety inTanzania.

26/05/2026

We wish all muslims around the world Eid Al adh-haa

25/05/2026

Bajeti ya wizara ya mambo ya ndani 2026/2027

TARSI tumefanikiwa kuendesha mafunzo maalum ya usalama barabarani kwa walemavu wa macho na viziwi, kwa lengo la kuongeza...
22/05/2026

TARSI tumefanikiwa kuendesha mafunzo maalum ya usalama barabarani kwa walemavu wa macho na viziwi, kwa lengo la kuongeza uelewa, usalama na ushirikishwaji wao katika matumizi salama ya barabara.

Tunaamini jamii salama inaanza kwa kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma katika elimu ya usalama barabarani. 💛

Tanzania

22/05/2026

Kila mtu anahaki ya kupatiwa elimu ya usalama barabarani

21/05/2026

Kila mtu anahaki ya kupata elimu ya usalama barabarani

Wanafunzi kutoka katika chuo cha ufundi na marekebisho kilichopo Yombo Dar es salaam,  ambao pia ni viziwi na walemavu w...
21/05/2026

Wanafunzi kutoka katika chuo cha ufundi na marekebisho kilichopo Yombo Dar es salaam, ambao pia ni viziwi na walemavu wa macho, wakifatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika mafunzo ya usalama barabarani kwa makundi hayo maalumu

Tunashukuru sana  na   kwa udhamini huu mkubwa lakini pia kwa kuthamini maisha na utu wa watu wenye uhitaji maalumu, hak...
21/05/2026

Tunashukuru sana na kwa udhamini huu mkubwa lakini pia kwa kuthamini maisha na utu wa watu wenye uhitaji maalumu, hakika usalama barabarani ni jukumu letu sote

Washiriki mbalimbali wakiuliza maswali na kuchangia mada, wakati wa mafunzo ya usalama Barabarani kwa watu wenye ulemavu...
21/05/2026

Washiriki mbalimbali wakiuliza maswali na kuchangia mada, wakati wa mafunzo ya usalama Barabarani kwa watu wenye ulemavu wa macho na viziwi

Mafunzo haya yameandaliwa kwa lengo la kuwajengea uwezo kundi hili maalumu ili kupunguza hatari zulizopo barabarani kwa kutambua wajibu na haki zao
tanzania

ASP. Vaileth Njilla akiwasilisha mada ya " Ulinzi na Usalama wa Watu Wenye Ulemavu dhidi ya Ukatili na Unyanyasaji Wakiw...
21/05/2026

ASP. Vaileth Njilla akiwasilisha mada ya " Ulinzi na Usalama wa Watu Wenye Ulemavu dhidi ya Ukatili na Unyanyasaji Wakiwa Barabarani" wakati wa mafunzo ya usalama barabarani kwa watu wenye ulemavu wa macho na viziwi. Lengo ni kuwajengea uwezo kwanza kujua haki zao lakini pia kutambua wajibu ili kujiepusha na hatari zilizopo barabarani
tanzania

ASP. Mbunja, mkuu wa dawati la elimu kutoka Traffic makao makuu, akiwasilisha mada ya  "Uzingatiaji wa Sheria na Kanuni ...
21/05/2026

ASP. Mbunja, mkuu wa dawati la elimu kutoka Traffic makao makuu, akiwasilisha mada ya "Uzingatiaji wa Sheria na Kanuni za Usalama Barabarani kwa Watu Wenye Ulemavu wa Macho na Viziwi" wakati wa mafunzo ya usalama barabarani kwa watu wenye ulemavu wa macho na viziwi kwa lengo la kuwajegea uwezo wa usalama Barabarani ili kujilinda na hatari zinazoweza kuwakabili wawapo barabarani.
tanzania

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 00:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 00:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Raod Safety Initiative posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share