Femina Hip

Femina Hip We work with Tanzanian youth to promote healthy lifestyles, economic empowerment and citizen engagement.

Femina Hip is a multimedia platform and a civil society initiative working with youth, communities and strategic partners across Tanzania. Since 1999, our aim has been to promote healthy lifestyles, sexual health, HIV prevention, gender equality and citizen engagement. We now also promote active learning through outreach activities and multimedia products focusing on entrepreneurship, financial literacy and secure livelihoods.

Tumetoka Kagera na sasa tupo mkoani Kigoma! Timu ya uzalishaji wa jarida la Fema tumewasili rasmi!!!Lengo ni kuhakikisha...
04/05/2026

Tumetoka Kagera na sasa tupo mkoani Kigoma! Timu ya uzalishaji wa jarida la Fema tumewasili rasmi!!!

Lengo ni kuhakikisha lile jarida lenu pendwa linapata ladha halisi ya vijana - sauti zenu, vibe zenu, na stories zinazowakilisha maisha ya kila siku kwa uhalisia na ubunifu wa hali ya juu.

TUPO KIGOMA!!!



Tunawatakia Wafanyakazi wote, maadhimisho mema ya siku ya wafanyakazi duniani.
01/05/2026

Tunawatakia Wafanyakazi wote, maadhimisho mema ya siku ya wafanyakazi duniani.

Fema club za Kagera ni 🔥🔥🔥🔥!Twende mkoa gani tukimalizana na Kagera?Shukrani za dhati kwa walimu walezi wa mkoa wa Kager...
30/04/2026

Fema club za Kagera ni 🔥🔥🔥🔥!

Twende mkoa gani tukimalizana na Kagera?

Shukrani za dhati kwa walimu walezi wa mkoa wa Kagera kwa kuendelea kulea vijana wetu🔥🔥🔥🔥

# FemaMentors

Uzazi wa mpango ni hatua muhimu ya kupanga maisha yako na kulinda afya yako. Fanya maamuzi sahihi leo Kwa maelezo zaidi ...
28/04/2026

Uzazi wa mpango ni hatua muhimu ya kupanga maisha yako na kulinda afya yako. Fanya maamuzi sahihi leo

Kwa maelezo zaidi na ushauri wa kitaalamu, tembelea kituo cha huduma za afya kilicho karibu nawe au tuma ujumbe mfupi kwenda 0753003001 anza na NENO UZAZI WA MPANGO

Today we were happy to welcome our partners from the Royal Norwegian Embassy, led by H.E. Tone Tinnes, the Ambassador of...
24/04/2026

Today we were happy to welcome our partners from the Royal Norwegian Embassy, led by H.E. Tone Tinnes, the Ambassador of Norway to Tanzania, into our space at Femina Hip, and into the stories we carry.

With young people from Fema Clubs at the centre of it all we spoke about young people, the weight they hold, and the futures they are still reaching for.

From health and science to football and design. From fear of public speaking to courage and more, we shared what is working, what is hard, and what is possible, because change does not come from one voice, it grows where voices meet. What a moment it was!



Timu ya Femina Hip ndani ya mkoa wa Kagera tumefika!!Tuzungumze michongo iliyopo,Tuzungumze ujasiriamali,Tuzungumze elim...
23/04/2026

Timu ya Femina Hip ndani ya mkoa wa Kagera tumefika!!

Tuzungumze michongo iliyopo,
Tuzungumze ujasiriamali,
Tuzungumze elimu ya uraia,
Tuzungumze elimu ya afya uzazi kwa pamoja.

Ni UVUMI kusema kuwa uzazi wa mpango husababisha ugumba! Njia hizi ni salama, na unaweza kupata mimba baada ya kuacha. U...
21/04/2026

Ni UVUMI kusema kuwa uzazi wa mpango husababisha ugumba! Njia hizi ni salama, na unaweza kupata mimba baada ya kuacha. Usiogope kupanga maisha yako - Elimu sahihi ni kinga!

Kwa maelezo zaidi na ushauri wa kitaalamu, tembelea kituo cha huduma za afya kilicho karibu nawe au tuma ujumbe mfupi kwenda 0753003001 anza na NENO UZAZI WA MPANGO

Timu ya Femina Hip imewasili mkoani Kagera! Tupo tayari kutembelea Club za Fema mashuleni, kufungua Club mpya na kuzungu...
20/04/2026

Timu ya Femina Hip imewasili mkoani Kagera! Tupo tayari kutembelea Club za Fema mashuleni, kufungua Club mpya na kuzungumza na wanufaika wetu, na kushirikiana na viongozi wa mkoa kuimarisha kazi zetu kwa vijana na jamii.

Elimu ya uzazi wa mpango ni muhimu kwa vijana na watu wazima wote. Wanandoa na wasio wanandoa wanapaswa kuifahamu ili ku...
17/04/2026

Elimu ya uzazi wa mpango ni muhimu kwa vijana na watu wazima wote. Wanandoa na wasio wanandoa wanapaswa kuifahamu ili kufanya maamuzi sahihi kuhusu afya yao ya uzazi.

Kwa maelezo zaidi na ushauri wa kitaalamu, tembelea kituo cha huduma za afya kilicho karibu nawe au piga simu 0753003001

Kuzungumza kuhusu afya ya uzazi ni hatua ya kwanza ya kujilinda. Je, wewe ungeweza?
15/04/2026

Kuzungumza kuhusu afya ya uzazi ni hatua ya kwanza ya kujilinda. Je, wewe ungeweza?

Je, ulijua kuwa kondomu siyo njia pekee ya uzazi wa mpango? Kuna njia mbalimbali salama na zenye usalama zinazoweza kuki...
13/04/2026

Je, ulijua kuwa kondomu siyo njia pekee ya uzazi wa mpango? Kuna njia mbalimbali salama na zenye usalama zinazoweza kukidhi mahitaji tofauti ya watu binafsi na familia.

Ni njia ipi nyingine ya uzazi wa mpango unaifahamu ambayo haijatajwa hapa?

Kwa maelezo zaidi na ushauri wa kitaalamu, tembelea kituo cha huduma za afya kilicho karibu nawe au piga simu 199.

Address

23 Migombani Street, Mikocheni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255222700742

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Femina Hip posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Femina Hip:

Share