04/05/2026
Tumetoka Kagera na sasa tupo mkoani Kigoma! Timu ya uzalishaji wa jarida la Fema tumewasili rasmi!!!
Lengo ni kuhakikisha lile jarida lenu pendwa linapata ladha halisi ya vijana - sauti zenu, vibe zenu, na stories zinazowakilisha maisha ya kila siku kwa uhalisia na ubunifu wa hali ya juu.
TUPO KIGOMA!!!