Media Council of Tanzania

Media Council of Tanzania It began operations in 1997 when it was officially registered under the Societies Ordinance of 1954.

It was started by the media fraternity as an independent, voluntary, non-statutory regulatory body in June 30, 1995 during the journalists and stakeholders Convention held in Dar es Salaam Established due to the dictates of transformation to liberal policies in early 90s which induced the proliferation of media outlets, the Media Council of Tanzania (MCT) is committed to promoting freedom of the m

edia and ensuring the highest professional standards and accountability. It was started by the media fraternity as an independent, voluntary, non-statutory regulatory body in June 30, 1995 during the journalists and stakeholders Convention held in Dar es Salaam. Initially the Council focused on checking ethical lapses in the media. Through its Ethics Committee, it mediated complaints raised by the public against the media. Gradually its activities increased to include training on ethics and professionalism to fill the yawning gap of trained practitioners in the bloated media industry. It is important to note the proliferation of media outlets did not match with the qualified practitioners available.

04/06/2026
04/06/2026
03/06/2026

Waandishi wa habari wakongwe nchini, Dkt. Maurice Samwilu Mwaffisi na Simon Martha Mkina wa gazeti la mtandaoni la Pamba...
30/05/2026

Waandishi wa habari wakongwe nchini, Dkt. Maurice Samwilu Mwaffisi na Simon Martha Mkina wa gazeti la mtandaoni la Pambazuko, wameandika historia mpya baada ya kutwaa tuzo mbili za juu zaidi katika Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT), mashindano yanayotambuliwa kuwa yenye hadhi kubwa zaidi katika taaluma ya uandishi wa habari nchini.

Dkt. Mwaffisi, ambaye ni mwandishi, mwalimu na kiongozi mwenye uzoefu wa muda mrefu katika tasnia ya habari, alitangazwa mshindi wa Tuzo ya Mafanikio ya Maisha katika Uandishi wa Habari (Lifetime Achievement in Journalism Award - LAJA) 2025. Tuzo hiyo hutolewa kwa wanahabari waliotoa mchango mkubwa na wa kudumu katika maendeleo ya taaluma, ikiwemo kufundisha waandishi, kuandika vitabu vya taaluma ya habari, kulea waandishi wachanga, kuongoza vyumba vya habari, kutetea uhuru wa vyombo vya habari na kuimarisha misingi ya taaluma nchini.

Kwa upande wake, Simon Mkina alitangazwa Mwandishi Bora wa Mwaka 2025, baada ya kuwashinda Sanula Athanas wa gazeti la Nipashe na Abdallah K***a wa ITV, ambao pia walikuwa wamefika hatua ya mwisho ya kinyang’anyiro hicho.

Mkina alijizolea ushindi huo kutokana na ubora wa kazi zake za uandishi zilizokuwa na athari kubwa kwa jamii, kuzingatia viwango vya juu vya taaluma na maadili ya uandishi wa habari, pamoja na kuonyesha ubunifu na mchango wa kipekee katika mwaka 2025.

Washindi hao wawili walikabidhiwa hundi za mfano zenye thamani ya shilingi milioni tatu kila mmoja k**a sehemu ya kutambua mchango wao katika taaluma ya habari.

Kilele cha Tuzo za EJAT 2025 kilifanyika Mei 29, 2026, katika ukumbi wa Hoteli ya Four Points by Sheraton (New Africa), jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya habari na kurushwa mubashara kupitia Azam TV pamoja na majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii.

MATUKIO YA KILELE CHA EJAT:Mwandishi wa Habari mkongwe, Edda Sanga (kushoto) akijadiliana jambo na  Profesa Issa Shivji ...
30/05/2026

MATUKIO YA KILELE CHA EJAT:
Mwandishi wa Habari mkongwe, Edda Sanga (kushoto) akijadiliana jambo na Profesa Issa Shivji (kulia). Anaeonekana katikati ni mwenyekiti wa k**ati ya maadili ya MCT, Jaji Robert Mkaramba. Anaeonekana nyuma ya Edda Sanga ni Jaji Thomas Mihayo, aliewahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi na Rais wa MCT

Mwenyekiti wa jopo la majaji wa EJAT, Jesse Kwayu (kushoto) akiwa na Katibu wa jopo hilo, Mwanzo Millinga wakiteta jambo...
30/05/2026

Mwenyekiti wa jopo la majaji wa EJAT, Jesse Kwayu (kushoto) akiwa na Katibu wa jopo hilo, Mwanzo Millinga wakiteta jambo katika kilele cha tuzo hizo hapo jana.

Rais wa MCT na Mwenyekiti wa Bodi, Mhe. Jaji Mstaafu Benard Luanda akitoa Tafakuri fupi katika kilele cha Tuzo za EJAT.
30/05/2026

Rais wa MCT na Mwenyekiti wa Bodi, Mhe. Jaji Mstaafu Benard Luanda akitoa Tafakuri fupi katika kilele cha Tuzo za EJAT.

Waandishi wa habari waliotinga hatua ya mwisho katika kinyang’anyiro cha Mwandishi Bora wa Mwaka 2025 wakielezea mbele y...
30/05/2026

Waandishi wa habari waliotinga hatua ya mwisho katika kinyang’anyiro cha Mwandishi Bora wa Mwaka 2025 wakielezea mbele ya hadhira athari (impact) za kazi zao za uandishi zilizofanikiwa kuingia katika mchuano huo. Tukio hili lilifanyika kabla ya kutangazwa kwa mshindi wa tuzo hiyo. Kutoka kulia ni Sanula Athanas wa Gazeti la Nipashe, katikati ni Abdallah K***a wa ITV, na kushoto ni Simon Mkina wa Pambazuko Online.

Mgeni Rasmi, Mhe. Jaji Nestory Kayobera, Rais wa Mahak**a ya Afrika Mashariki (EACJ) akitoa neno la ufunguzi na hotuba y...
30/05/2026

Mgeni Rasmi, Mhe. Jaji Nestory Kayobera, Rais wa Mahak**a ya Afrika Mashariki (EACJ) akitoa neno la ufunguzi na hotuba ya kilele cha Tuzo za EJAT

Address

Dar Es Salaam
RG11BN

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255719494640

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Media Council of Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Media Council of Tanzania:

Share