Freemason Tanzania,District Grand Lodge Of East Africa

Freemason Tanzania,District Grand Lodge Of East Africa Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Freemason Tanzania,District Grand Lodge Of East Africa, Community Organization, Dar es Salaam.

INA MAANISHA NINI KUWA MASON?Katika historia yote, Freemasonry imekuwa ikitoa njia kwa wanaume ulimwenguni kote kuishi m...
30/11/2025

INA MAANISHA NINI KUWA MASON?

Katika historia yote, Freemasonry imekuwa ikitoa njia kwa wanaume ulimwenguni kote kuishi maisha yao katika uwezo wao kamili kwa kushirikiana na wanaume wengine wenye nia na madhumini k**a yao. Uzingativu huo katika maendeleo ya kielimu, kijamii, maadili pamoja na ustawi wa mtu binafsi ni mambo ya kipekee katika mashirika mengi ya kisasa hivi leo. Lodge ya Freemasons imekuwa sehemu iliyo zinduliwa ili kupata elimu ya kimasoniki, kujifunza maadili na zana zinazohitajika katika kujiboresha, kupata ufahamu, na kuishi kwa kufuata kusudi kuu.

Kupitia ibada, majadiliano, na kufanya kazi katika jamii, masons hulenga kujiboresha kuwa bora zaidi, na wenye umuhimu , na kuwasaidia ndugu (masons) wenzao kufanya vivyo hivyo.

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA {DGLEA}

UNDER THE UNITED GRAND LODGE OF ENGLAND [UGLE].

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Whereby:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

KUHANI MKUU - DISTRICT GRAND MASTER;

SIR SELEMAN N. SAID.

ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA:-

Whats' APP : +255757567678.

Foolow US Instagram by clicking the Link belowπŸ‘‡

https://www.instagram.com/tv/Cwa2869AeGA/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ=

Hello brothers
29/11/2025

Hello brothers

NGUZO MBILI ZINAZO LINDA HEKALU LA MFALME SULEMAN.πŸ‘‰πŸΏUlimwengu wa ajabu wa mafumbo wa Freemasonry umejikita zaidi katika ...
29/11/2025

NGUZO MBILI ZINAZO LINDA HEKALU LA MFALME SULEMAN.

πŸ‘‰πŸΏUlimwengu wa ajabu wa mafumbo wa Freemasonry umejikita zaidi katika ishara na mafumbo, huku tabaka nyingi za maana kuhusu alama hizo zikisubiri kugunduliwa na wanachama wake. Miongoni mwa alama nyingi ambazo zimeteka akili za Freemasons katika historia ni alama ya Nguzo mbili zinazo linda hekalu la Mfalme Suleman ambazo zimebeba nafasi ya kipekee na ya kuvutia katika Freemasonry.

Lakini vipi kuhusu alama hii ya ajabu yenye muundo mkubwa ambayo imeweza kuk**ata mawazo ya waashi tangu karne nyingi zilizo pita? Kwanini alama hiyo maarufu inashikilia nafasi kubwa katika mafundisho na desturi za Freemasons?

Tunaanza safari yetu kufunua siri na mafumbo yanayo izunguka alama hiyo ya nguzo mbili ( nguzo ya boaz na yakini), kwa kuchunguza asili yake ya kihistoria, uhusiano wake wa kimafumbo na mbunifu mkuu Hiram Abiff, pamoja na tafsiri nyingi mbalimbali kuhusiana na umuhimu wa alama hiyo ndani ya Ulimwengu wa kuvutia wa Freemasonry.

Jiandae kuelimika kadri tutakavyo chunguza undani ulio fichwa wa alama hii ya kuvutia ya kimasoniki, na kufichua maarifa ya kina yaliyo ndani yake.

NGUZO YA BOAZI NA YAKINI.

Kiini cha hadithi kuhusu ujenzi wa Hekalu la Mfalme Suleman, nguzo mbili za Boaz na Yakini zina nafasi kubwa na muhimu katika alama za Kimasoniki. Kwa mujibu wa Biblia nguzo hizo kuu mbili zilijengwa kwa shaba na zilisimama wazi mbele ya ukumbi wa Hekalu la Mfalme Suleman huko Yerusalemu. Zikiwa zimejengwa kwa ustadi wa hali ya juu, nguzo hizo hazikuwakilisha tu ubunifu wa ajabu pia zilikuwa zimebeba maana kubwa ya kiroho.

Biblia inahusisha ujenzi wa nguzo hizo na Fundi stadi aitwaye Hiram, ambaye ni mtu muhimu sana katika mafundisho ya kimasoniki. Hiram huyo si mwingine bali ni Hiram Abiff, mbunifu mkuu mwenye kuheshimiwa wa Hekalu la Mfalme Suleman. Msomi mroma wa kiyahudi aitwaye Josephus alieleza kwamba nguzo ya Boaz ilisimama upande wa kushoto kwenye maingilio ya ndani ya Hekalu, na nguzo ya Yakini ilisimama upande wa kulia.

Boaz na Yakin hazikuwa nguzo za kawaida, kwasababu vipimo vyake vilikuwa ni vyenye kustaajabisha kwelikweli. Biblia inaeleza kwamba unene wake nguzo hizo ulikuwa karibia futi sita na urefu wake ulikuwa futi 27. Kwa bahati mbaya nguzo hizo nzuri zenye kuvutia hazikupona ziliharibiwa wakati wa vita iliyo pelekea uharibifu wa Hekalu la kwanza na hakuna kumbukumbu zinazo onesha ya kwamba ziliwahi kubadilishwa au kujengwa upya wakati wa Hekalu la pili lilipo jengwa.

Majina ya nguzo hzo mbili, Boaz na yakini, yana maana kubwa pia. Jina Boazi linatafsiriwa kumaanisha "in him is stregth" yaani ndani yake kuna nguvu, wakati huohuo jina Yakini hutafsiriwa "He will establish" yaani Ataimarisha. Yanapo unganishwa kwa pamoja, majina hayo yanachukuliwa k**a ukumbusho kwamba Mungu angesimamisha Hekalu na ibada ya jina lake kwa nguvu. Kupitia kazi ya Hiram Abiff, nguzo za Boaz na Yakini zilikuja kuashiria nguvu na uthabiti wa ahadi za Mungu na kuonyesha Ufundi wa ajabu wa mtu huyu mkuu (Hiram Abiff) wa Freemasonry.

HIRAM ABIFF NA UJENZI WA HEKALU LA MFALME SULEMAN.

Hadithi ya ujenzi wa Hekalu la Mfalme Suleman inakuwa haijakamilika bila kutajwa kwa mbunifu wake mkuu, Hiram Abiff. Hiram Abiff anatambulishwa katika Biblia k**a mfanyakazi stadi wa shaba aliyeletwa kwa Mfalme Suleman kutoka Tiro. Alikuwa ni mwana wa mjane wa kabila la Naftali, na Baba yake alikuwa mtu wa Tiro (Wafalme wa Kwanza 7:13-15). Hiram Abiff alijaaliwa Hekima, Ufahamu na Ustadi wa kipekee katika kazi za shaba, mambo ambayo yalimfanya kuwa mtu wa thamani katika ujenzi wa Hekalu..

Hadithi ya kutisha kuhusu mauaji ya Hiram Abiff ni sehemu muhimu katika mafundisho ya Freemasonry. Aliuawa kikatili ndani ya Hekalu alilo buni mwenyewe kupitia mikono ya majambazi watatu, ambao walitaka kupewa password za siri za mwalimu mkuu wa masons. Kupitia uaminifu wake usio yumba wa Hiram Abiff na azimio lake la kulinda siri za ufundi huo, ilisababisha kifo chake, lakini matendo yake yaliacha athari na alama ya kudumu kwa Freemason.

UMUHIMU WA MAJINA NGUZO (BOAZI NA YAKINI) NA UWAKILISHI WAKE

Majina ya nguzo hizo mbili Boaz na Yakini, yamebeba maana ya kina na ni muhimu sana katika kuelewa uwakilishi wake kwenye mafundisho ya Kimasoniki., k**a nilivyo eleza hapo awali Jina Boaz lina maanisha "Ndani yake mna nguvu", huku jina Yakin lina maanisha " ataimarisha" . Majina hayo mawili yanapo zingatiwa kwa pamoja yanaashilia wazo la kwamba Mungu angesimamisha Hekalu na ibada ya jina lake kwa nguvu.

Pia inaelezwa ya kwamba, nguzo hizo zinawakilisha nguvu na uthabiti wa ahadi za Mungu, zikitumika k**a ukumbusho kuhusu ufundi wa kipekee ulio fanywa na Hiram Abiff. Nguzo hizo sio tu sehemu ya ushuhuda kuhusu ufundi wa kipekee alio kuwa nao Hiram Abiff, pia nguzo hizo zina maana ya kina ya kiroho na katika alama na ishara ndani ya jumuiya ya Freemasonry.

Freemasons wanachukulia nguzo mbili za Boaz na yakini k**a uwakilishi wa jozi zinazo kinzana ama nguvu mbili kinzani (nuru na giza), mara nyingi katika Freemasonry nguzo hizo zinahusishwa na falsafa za mashariki (Yin na Yang). Inaelezwa ya kwamba dhana hii kuhusu nguzo mbili inawafundisha waashi (Freemasons) kusawazisha nguvu zao kinzani za asili ndani yao wenyewe kupitia kuoanisha mawazo, hisia na matendo yao na mpango mkuu - The Great Work. Nguzo hizo pia zinawakilisha mgawanyiko wa Nuru na Giza au maisha na kifo, inaelezwa ya kwamba kifo wakati mwingine ni muhimu ili kuondoa kitu cha zamani na kuzuia ili kutengeneza njia kwa upya na yenye ustawi.

Tafsiri mbalimbali juu ya alama hii ya nguzo mbili zinaonyesha umuhimu wake katika mambo mbalimbali mengi ndani ya mafundisho ya Freemasonry. Ingawa maana zake halisi hutofautiana baina ya wanachama wa Freemasonry binafsi lakini maana yake kuu ni uwakilishi wa Uwili (asili ya uwili - duality) na nik**a ushuhuda juu ya Fundi stadi katika Freemasons mwenye kuheshimika HIRAM ABIFF na hizo ndio maana mbili ambazo zinabaki kuwa thabiti. Hatimaye, nguzo za Boaz na Yakin zinatumika k**a alama ya kudumu katika Freemasonry, zikisimama k**a ukumbusho juu ya nguvu za maadili na masomo yanayo tokana ma hadithi za Hekalu la Mfalme Suleman na mbunifu wake mkuu, Hiram Abiff.

Freemasonry ni dhana inayo eleza juu ya mafundisho na mazoea kuhusu mpangilio wa kindugu wa Waashi huru walio kubalika. ...
29/11/2025

Freemasonry ni dhana inayo eleza juu ya mafundisho na mazoea kuhusu mpangilio wa kindugu wa Waashi huru walio kubalika. Hivi sasa Freemasonry ni miongoni mwa jumuiya kubwa ulimwenguni, Hesabu au idadi ya wanachama wake tangu kuanzishwa kwake mahali popote ni kati ya wanachama milioni mbili na zaidi ya milioni sita kwa hivi sasa.

πŸ‘‰πŸΏUtamaduni wa Freemasonry ulienea kutokana na ukuaji wa dola ya uingereza katika karne za hivi karibuni. Hata hivi leo, bado ni muundo maarufu sana katika sehemu za visiwa vya uingereza na nchi zingine ambazo zina ushirika na Taifa la Uingereza.

4830 – TANGA FRATERNITY LODGE

P.O. Box 22, Tanga.
Consecrated 28th September, 1926
by R.W. Bro. Sir P. Colville-Smith
FM Hall, TANGA
3rd Fri 2-4-6-8-10, Inst-2.

Where by;-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall"

INST - Indicates "Months Of installation meeying"

DISTRICT GRAND MASTER

SELEMAN N. SAID

Whats'APP US, +255757567678.

Whats'APP: +255753694384.

FOLLOW US ON INSTAGRAM:

MASWALI YANAYO ULIZWA MARA KWA MARA.1. JE, HIRAM ABIFF NI NANI KATIKA MAPOKEO YA FREEMASONRY?πŸ‘‰Hiramu Abiff ni mhusika mk...
12/08/2025

MASWALI YANAYO ULIZWA MARA KWA MARA.

1. JE, HIRAM ABIFF NI NANI KATIKA MAPOKEO YA FREEMASONRY?

πŸ‘‰Hiramu Abiff ni mhusika mkuu katika hekaya za Freemasonry, anayechukuliwa k**a mbunifu mkuu wa Hekalu la Mfalme Sulemani. Hadithi yake katika freemasonry ni alama na ishara kuwakilisha uadilifu, na uthabiti katika nyakati za shida. Yeye ndiye mhusika mkuu katika shahada ya tatu ya Freemasonry, ambayo mara nyingi hujulikana k**a Shahada ya Uashi (Master Mason Degree).

2.JE, KUNA UHUSIANO GANI KATI YA HEKALU LA MFALME SULEMAN NA FREEMASONRY?

πŸ‘‰Uhusiano kati ya Hekalu la Mfalme Sulemani na Freemasonry upo katika umuhimu wa kiishara na alama za Hekalu katika mafundisho ya Freemasonry. Freemasonry wanalichukulia Hekalu k**a mfano au kielelezo kuwakilisha mwili wa mwanadamu na safari ya kiroho katika maisha.Ni alama inayo ashiria na kuwakilisha jitihada na juhudi za kila mtu katika kutafuta Nuru., uboreshwaji wa maisha na maadili na kujenga "Hekalu" lao wenyewe la hekima, ujuzi na wema.

3. JE, MWANA WA MJANE, INAMAANISHA NINI KATIKA FREEMASONRY.

πŸ‘‰"Mwana wa mjane" widow's son" ni neno linalotumika sana katika Freemasonry. Ni neno linalotumika kumrejelea Hiram Abiff, ambaye ni mhusika mkuu katika shahada ya tatu ya Uashi (Master Mason Degree), kwa mujibu wa mapokeo ya Freemasonry Hiram alikuwa Mwana wa mjane (mjane kutoka kabila la Naftali) na fundi stadi kutoka kabila la Tiro. Neno "mwana wa mjane", linatumika kusisitiza asili yake ya unyenyekevu, uvumilivu na kutafuta maarifa na wema katika Freemason.

9534 – INSTALLED MASTERS’ LODGE OF TANZANIA

P.O. Box 14339, Dar es Salaam.
Consecrated 29th January, 1994
by RW Bro J K Chande
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
1st. Sat. 3-5-9-11, Inst.-11.

Where by:

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

DISTRICT GRAND MASTER

KUHANI MKUU DR SELEMAN N. SAID

Whats'APP Us: +255757567678.

"Imani yako ndiyo mafanikio yako".

Freemasonry huongozwa na kanuni kadhaa za msingi, ambazo ni: Upendo wa kindugu, Unafuu, na ukweli.Kanuni hizo sio maoni ...
12/08/2025

Freemasonry huongozwa na kanuni kadhaa za msingi, ambazo ni: Upendo wa kindugu, Unafuu, na ukweli.

Kanuni hizo sio maoni ya kufikilika bali hufundishwa kikamilifu katika mafundisho na mazoea ya Freemasonry, kwa lengo la kuwafanya wanachama kuwa wanaume waadilifu na wenye kusaidia jamii ya wanadamu.

UCHAMBUZI KWA UFUPI JUU YA KANUNI HIZI ZA FREEMASONRY.

Upendo wa kindugu;-

Kanuni hii inasisitiza juu ya umuhimu wa kuwatendea watu kwa heshima, Fadili na uelewa, si tu kwa wanachama wenzake bali kwa watu wote ili kujumuisha hali ya jumla ya huruma na nia njema kwa wote.

MSAADA/HISANI

Freemasons wanahimizwa kufanya misaada na kutoa misaada kwa wale wanao hitaji, kuanzia kwa wale walio ndani ya jamii ya kimasoniki na pia katika ulimwengu wote mpana. Hilo linaweza likawa ni pamoja na misaada ya kifedha, michango ya hisani, na vitendo vya huduma kwa wengine.

UKWELI

Freemasons hujitahidi kuwa Wakweli wa viwango vya juu vya maadili katika maisha yao na katika vitendo vyao. Freemasons wanatakiwa kuwa waaminifu, wenye maadili na wanao jitolea kwa uadilifu

UKIACHANA NA KANUNI HIZO ZA MSINGI: FREEMASONRY HUFUNDISHA KANUNI ZINGINE MUHIMU ZA ZIADA:-

UADILIFU

Freemasona wanahimizwa na kufundishwa kuwa watu wenye uadilifu, wenye kutenda kwa heshima na wenye kuwajibika katika juhudi zao zote.

URAFIKI.

Freemasonry hutoa mfumo wa kujenga urafiki wenye nguvu wa kudumu kulingana na maadili na uzoefu wako katika maisha.

HESHIMA:

Freemasonry inawataka wanachama wake kuonyesha heshima/kuheshimu maoni na imani za wengine, hata k**a maoni na imani za wengine zinatofautiana na za kwao.

MSAADA:

Freemasonry inahusika sana katika shughuli za uhisani, ndani na nje kitaifa, kupitia ufadhili na juhudi za kujitolea.

KUJENGA WATU WAZURI/WEMA.

Kusudi la msingi la Freemasonry ni kusaidia wanachama wake kukuza utu wao kuwa watu bora kwa kutoa muundo na muongozo.

KUJENGA KWA PAMOJA.

Freemasonry hukuza hali ya umoja na hali ya kuwa na kusudi la pamoja kati ya wanachama wake, na kuwahimiza kufanya kazi kwa pamoja kwa faida za kawaida.

IMANI:

Freemasons wanahimizwa kuwa na imani katika Mtu Mkuu au Kiumbe mkuu (The Supreme being) Lakini hakuna dini wala dhehebu maalumu linalo baguliwa.

UPENDO:

Freemasonry hukuza upendo na huruma kwa binadamu wote, kwa kuwatia moyo wanachama wake kutenda kwa fadili na uelewa.

5111 - KILIMANJARO LODGE

P.O. Box 60, Moshi.
Consecrated 12th August, 1929
by R.W. Bro. Sir J.W. Barth
FM Hall, MOSHI
2nd Tue 1-2-3-4-5-6, 2nd Sat 9, 2nd Tue 10-11-12,
Inst-9.

Where by; -

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall"

INST - Indicates "Months Of Installation Neeting".

FREEMASONS' HALL DAR EA SALAAM POSTA.

District Grand Master

SELEMAN N. SAID

Whats'App us : + 0757 567 678

Follow us Instagram via link below

https://www.instagram.com/p/DAIXVu_t4aD/?igsh=cmZxdnNwN25oaTg5

ASILI NA USHAWISHI WA FREEMASONRY.DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA (DGLEA).UASHI au Masonry (pia inajulikana k**a Fre...
26/06/2025

ASILI NA USHAWISHI WA FREEMASONRY.

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA (DGLEA).

UASHI au Masonry (pia inajulikana k**a Freemasonry au "The Lodge") ni mfumo na utaratibu wa kindugu wenye nguvu duniani, na wa kale ambao ulianza katika karne ya kumi na nane. Kwa mujibu wa mamlaka nyingi katika Uashi, Uashi ama Freemason ya kisasa (pia inayo julikana k**a "Speculative masonry") ambayo mwanzo wake ni baada ya kuanzishwa kwa Grand lodge ya kwanza huko Uingereza mnamo mwaka 1717. Pia Lodge ni jamii ya siri. Kwa mujibu wa kamusi elekezi ya B'ntanica imeainisha Freemason k**a jumuiya ya Siri kubwa zaidi duniani. Ili kudumisha siri zake, Freemasonry hutumia Ishara, viapo vya siri na mila za siri, kuwafundisha wanachama wapya wanao itwa "The initiates" yaani "waanzilishi/Walio anzisgwa"

Kila mwanachama mpya anaapa na kula kiapo wakati wa ibada hizi za tambiko au sherehe hizi za siri kubaki mwaminifu katika jumuiya na lodge na katika Mafundisho yake.

Mafundisho hayo ndani ya Freemasonry ambayo mwanachama mpya anaelekezwa kuyafuata - yanaelekeza na kufundisha kila mtahiniwa namna ya maisha na jinsi anavyo paswa kudumu katika chama na thawabu anazotakiwa kuzitarajia baada ya kuwa mwaminifu katika jumuiya.

Freemasonry huona utume wake maishani kwamba ni wenye kusaidia kuleta Imani za watu wote kwenye upatano au umoja kwa kutegemea hasa mafundisho ya freemasonry pamoja na kanuni za maadili:

Mawili kati ya mafundisho hayo ndani ya Freemasonry yameunda na kujenga msingi wa Chama cha Freemasonry kwa wanachama wote:

Fundisho la kwanza ni Imani yetu katika Ubaba wa Ulimwengu wote wa Mungu na udugu wa mwanadamu. Kutokana na hili Freemasons tunafundisha kwamba wanaume wote- Waislamu, wayahudi, wahindu, Wamormoni, wabuddha na Wakristo bila kujali tofauti zao na maoni yao binafsi ya kidini, (wote) ni wana wa kiroho wa Mungu - sote ni watoto wa Baba mmoja wa Ulimwengu.

Fundisho la pili la msingi katika Freemasonry ni kwamba, tunafundisha wanachama wapya kurekebisha tabia zao binafsi, na kufanya kazi vizuri na kwa bidii itapelekea kupata kibali cha Mungu. Kwa maneno mengine, Masonic Lodge inafundisha kwa uwazi kwamba tabia nzuri na kufanya kazi nzuri zitamletea mwanachama nafasi katika "Celestial Lodge juu" yaa mbinguni. Atapata nafasi baada umauti kukutana na Mason wenziye mbinguni katika Lodge iliyopo ulimwengu mwingine - mbinguni.

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA {DGLEA}

UNDER THE UNITED GRAND LODGE OF ENGLAND [UGLE].

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Whereby:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

KUHANI MKUU - DISTRICT GRAND MASTER;

SIR SELEMAN N. SAID.

ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA:-

Whats' APP : +255757567678.

Foolow US Instagram by clicking the Link belowπŸ‘‡

https://www.instagram.com/tv/Cwa2869AeGA/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==

π——π—œπ—¦π—§π—₯π—œπ—–T π—šπ—₯𝗔𝗑𝗗 π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗒𝗙 π—˜π—”π—¦π—§ 𝗔𝗙π—₯π—œπ—–π—” (π——π—šπ—Ÿπ—˜π—”).𝗙π—₯π—˜π—˜ & π—”π—–π—–π—˜π—£π—§π—˜π—— 𝗠𝗔𝗦𝗒𝗑.𝗙 & 𝗔𝗠 π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗑𝗒.7518.Whats'App Number:+255757567678..πŸ•³...
26/06/2025

π——π—œπ—¦π—§π—₯π—œπ—–T π—šπ—₯𝗔𝗑𝗗 π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗒𝗙 π—˜π—”π—¦π—§ 𝗔𝗙π—₯π—œπ—–π—” (π——π—šπ—Ÿπ—˜π—”).

𝗙π—₯π—˜π—˜ & π—”π—–π—–π—˜π—£π—§π—˜π—— 𝗠𝗔𝗦𝗒𝗑.

𝗙 & 𝗔𝗠 π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗑𝗒.7518.

Whats'App Number:+255757567678..

πŸ•³οΈIBADA YA SABA

πŸ‘‰Ibada ya saba ni Ibada ya mwisho miongoni mwa ibada zote zinazofanywa na Binadamu hapa duniani.

πŸ‘‰Ibada ya Saba ni Ibada ya kumwabudu Mtukufu LUCIFER moja kwa moja ili kupata UTAJIRI na kutatua Tatizo lolote.

πŸ•³οΈCHANZO CHA IBADA YA SABA

Ni πŸ‘‰Mathayo 4:8,9 imeandikwa

"Kisha Ibilisi (LUSIFA) akamchukua (Yesu) mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha miliki zote za ulimwengu na Fahari zake zote; (LUSIFA) akamwambia (Yesu), 'Haya yote nitakupa Ukianguka na kunisujudia kwakuwa Vitu hivi vyote na ulimwengu wote ni mali yangu."

πŸ‘‰Yesu hakutaka kumsujudia Lucifer kwa kuwa yeye hakuhitaji UTAJIRI.

πŸ‘‰Kwahiyo mpaka hivi leo atakae kubali kumwabudu na kumsujudia kwa kufanya IBADA YA SABA na ya mwisho Atakupa Vyote vya Ulimwengu huu.

7518 – LODGE OF THE COAST
P.O. Box 82935, Mombasa.
Consecrated 28th October, 1957
by R.W. Bro. G. Rivers-Thomas
FM Hall, MOMBASA
2nd Mon 2-4-6-8-10, Last Sat-11, Inst-11.

Wherr by

INST - Indicates months of Installation meeting.

FM - Indicates Freemason's Hall

Email Address: [email protected]

WhatsApp Number:+255757567678.

π——π—œπ—¦π—§π—₯π—œπ—–π—§ π—šπ—₯𝗔𝗑𝗗 π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗒𝗙 π—˜π—”π—¦π—§ 𝗔𝗙π—₯π—œπ—–π—” [π——π—šπ—Ÿπ—˜π—”].FREEMASON NI NINI?Ni mojawapo ya mashirika ya zamani na ya kale zaidi ya kij...
12/06/2025

π——π—œπ—¦π—§π—₯π—œπ—–π—§ π—šπ—₯𝗔𝗑𝗗 π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗒𝗙 π—˜π—”π—¦π—§ 𝗔𝗙π—₯π—œπ—–π—” [π——π—šπ—Ÿπ—˜π—”].

FREEMASON NI NINI?

Ni mojawapo ya mashirika ya zamani na ya kale zaidi ya kijamii na ya kihisani Ulimwenguni, Mizizi na asili ya Freemasonry imejikita kutoka katika mila za kale za Waashi wa enzi za kati ambao walijenga makanisa makubwa yaani CATHEDRALS na majumba yetu makubwa (CASTLES) pamoja na MAPIRAMIDI.

Ni kutokea hapo kwamba idadi ya vipengele maarufu ndani ya Freemasonry vimetokea hapo. Katika enzi ya kati Waashi/Masons mara nyingi walizunguka huku na huko kutafuta kazi katika maeneo tofauti tofauti, walikuwa wapambanaji wenye kujituma. Ili kuonyesha na kuthibitisha kwa ulimwengu kiwango chao cha juu walicho fuzu katika ujenzi. Waashi/Masons walitumia alama za siri za kupeana mikono, Maneno ya siri (passwords), na alama au ishara ili kujitofautisha na wajenzi wasio na sifa.

Freemasonry hutumia mlinganisho na mifano kutoka kwenye majengo ili kuwafunza Wanachama wake jinsi ya kuishi maisha yenye tija na Utajiri ambayo yananufaisha jamii wanamoishi. Katika Enzi za kati waashi walivaa Aproni na Glovu ili kujikinga wakati wakifanya kazi ya kutengeneza vipande vikali au vidogo vya mawe, Lakini katika jamii ya Leo Freemasons wanakutana ili kujenga Urafiki katika jamii badala ya Makanisa na majumba.

Zipo kanuni za siri ambazo hutolewa kwa wanachama pekee walio fuzu, kanuni ambazo huongoza maisha yao hutolewa kiishara kwa alama za ujenzi na alama za mafumbo ya kale ya siri kutoka katika imani za siri (Mysticisms).

Kanuni hizo huweza kubadili Maisha ya mtu kabisa kutoka katika giza na kuwa mtu bora zaidi mwenye NURU.

5299 - GUIDING STAR LODGE

P.O. Box 316, Dar es Salaam.
Consecrated 27th November, 1931
by W. Bro. T. W. Williams
Suspended: October 1957.
Warrant Returned: June 1959
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
4th Mon 3-4-5-6-7-8-9-10, 4th Sat 11, Inst11.

Where by:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall"

INST - Indicates months of Installation meeting"

DISTRICT GRAND MASTER - THE HIGH -PRIEST

SIR SELEMAN N. SAID

Whats'App : +255757567678.

SISI NI NANI?Freemason ni mtu ambaye amebeba jukumu la kushikilia na kufuata kanuni zetu za maadili ambazo ni upendo wa ...
03/04/2025

SISI NI NANI?

Freemason ni mtu ambaye amebeba jukumu la kushikilia na kufuata kanuni zetu za maadili ambazo ni upendo wa kindugu usio na kikomo, Unafuu/utulivu na ukweli. Zaidi ya hayo kuwa Freemason kuna maanisha mengi zaidi. Freemason ni mtu ambaye amejitolea katika kuboresha maisha yake na jamii yake, hilo ni baada ya kuchukua na kufanya kiapo cha kuwasaidia na kuwashauri ndugu zake ndani ya Jumuiya kufanya vivyo hivyo. Freemason ni mtu anaye tamani kuwa sehemu ya kitu kikubwa kuliko yeye, na ni mtu anayetamani kupata heshima ya kihistoria, huruma moyoni mwake, na hamu ya kutengeneza na kujenga maisha bora ya baadaye.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255757567678

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Freemason Tanzania,District Grand Lodge Of East Africa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Freemason Tanzania,District Grand Lodge Of East Africa:

Share