IDC TZ

IDC TZ Inclusive Development for Citizens is a formal registered NGO with directed efforts towards active i

Tuko kwenye nyakati za mwisho kuelekea ukombozi. Muhimu ni kila mtu kuwa na taarifa sahihi na muhimu wakati wa maandaman...
22/10/2025

Tuko kwenye nyakati za mwisho kuelekea ukombozi. Muhimu ni kila mtu kuwa na taarifa sahihi na muhimu wakati wa maandamano. Timu hizo hapo juu zimejitolea kusaidia wananchi kupata taarifa muhimu na sahihi. Jiunge na chaneli hizo hapo juu.
Usiri umezingatiwa; wanachama kwenye chaneli hawawezi kujuana mmoja na mwingine aliyejiunga na channel haya ADMIN awezi jua nani yuko kwenye channel.
Kumbuka Ni taarifa muhimu tu ndio zitahifadhiwa au zitawekwa na timu kwenye hizo chaneli. Scan hizo bar code kujiunga. Ni muhimu kujiunga na chaneli zote kwa sasa. Timu zinafanyakazi kwa kujitegemea ili kuongeza usalama.

Askofu Shoo  : Tulipofikia k**a Nchi sio pazuri, watu wanapotea lakini hakuna juhudi zozote kukomesha hii tabia, binafsi...
16/10/2025

Askofu Shoo : Tulipofikia k**a Nchi sio pazuri, watu wanapotea lakini hakuna juhudi zozote kukomesha hii tabia, binafsi nimejitahidi kuongea sana viongozi kuhusu kilio cha watu kuhusu utekaji, ni dharau kwa Jeshi na mamlaka watu kuendelea kutekwa namna hii na ikaendeela tu
Nimeuliza hata baadhi ya viongozi, inawezekana vipi watu wakatekwa hivi na mmekaa kimya?

TOPIC : Kuelekea Oktoba 29 - Tunatokaje?

LIVE TWITTER https://bit.ly/3JhpGb5
LIVE TIKTOK MARIASPACES https://bit.ly/48tEdux
LIVE YOUTUBE https://bit.ly/46USAa5

Maria Sarungi Tsehai’s Space · 624 listening · Where live audio conversations happen

10/10/2025

Leo kwa Mwalimu NYERERE BUTIAMA mtotot Mkubwa wa Nyerere alitekwa na kufungiwa ndani

Hii imefanyika hili kuhusu Samia afike kwenye Kaburi la Mwalimu Nyerere

Andrew aliweka msimamo na kusema Samia asifike Butiama sababu amekiuka kanuni na misingi ya mambo yote ambayo Nyerere aliamini na kusimamia ikiwemo suala la SIASA YA VYAMA MBADALA
Andrew alisema mtu k**a huyu asikanyage kwenye kaburi la Mwalimu Nyerere maana ni k**a unafiki tu

Kilichotokea Andrew alifungiwa kwenye chumba na wakawekwa walinzi, haikuwa inajulikana walitaka kumfanya nini , lakini mwisho alifanikiwa kutoroka na ku record hii video

Moja ya kitu kimefanya Samia ameumiza sana watu nchini ni kumkataa
-- Chaula alimkataa akachoma picha akapotea
-- Job Ndugai alikataa mambo yake ya mikopo akafukuzwa uspika baadaye akafa mazingira tata
-- Soka alikosoa bandari akapotea
-- Mdude amekosoa sana mambo ya serikali yake amepotea
-- Lissu amekataa kulamba asali akaanza zungumzia mambo ya siasa za ufisadi zinazoendelea, amefungwa amepewa kesi ya uhaini ili auwawa
-- Polepole ametekwa kwa kumkosa

Leo wamefika kwenye familia ya Nyerere walitaka fanya yao kwa Andrew bahati amewatoroka,

🇹🇿MAANDAMANO DIASPORASave The DateFriday, October 17, 2025 Washington, DC. 10:00AMLocation: IMF HQ21900 Pennsylvania Ave...
09/10/2025

🇹🇿MAANDAMANO DIASPORA

Save The Date

Friday, October 17, 2025 Washington, DC. 10:00AM

Location: IMF HQ2
1900 Pennsylvania Avenue NW,
Washington, DC 20006

1.⁠ ⁠
2.⁠ ⁠
3.⁠ ⁠Utekaji
4.⁠ ⁠Uvunjwaji wa haki za binadamu na Demokrasia

06/10/2025

LIVE MJADALA : Kuelekea Oktoba 29 - tukiuziwa woga tutaununua?

Maria Sarungi Tsehai’s Space · 1K listening · Where live audio conversations happen

  : Wakati wa KARUME kuna watu walitanjwa k**a wahaini kina Hanga wakapotea tuSamia anamuona Lissu k**a kina Hanga, alit...
26/09/2025

: Wakati wa KARUME kuna watu walitanjwa k**a wahaini kina Hanga wakapotea tu
Samia anamuona Lissu k**a kina Hanga, alitegemea anaposema hawa ni wahaini basi wapotee tu k**a zamani huko Zanzibar

Kwa Samia aaona k**a Tundu Lissu amekufa tu, Zanzibar toka wa KARUME imekuwa ni giza tu, alichokuwa anasema KARUME ndio kinafanyika aliwahi sema uchaguzi utafanyika baada ya miaka 60

Kwa hiyo Tanganyika kumekuwa na sheria kwa muda mrefu sana , Nyerere kulipotokea kesi ya uhaini sisi Wanafunzi wa chuo kikuu tulikuwa tunakwenda pale mahak**ani na kusikiliza kesi, tunapewa mahali na kukaa kujifunza nini kinaendeelea, hii ni kutokana na kwamba kihistory Tanganyika imekuwa na common law kwa muda mrefu na Nyerere alikuwa anataka mahak**a itoe majibu kuhusu wahaini na aliamini kwamba ushahidi utaletwa na watahukumiwa kutokana na vigezo vya kisheria ndio maana mahak**a ilikuwa wazi

Lakini history hiyo hiyo Zanzibar kule Karume alikuwa anafanya mambo anayotaka, na watu waliotuhumiwa kwamba ni wahaini walipotezwa mpaka leo haijulikani walifanywa nini na hakuna anayeuliza

Wakati huo Samia alikuwa mdogo, amekulia kwenye mazingira hayo ambayo Rais akiongea wewe mhaini unakufa, hakuzoea haya mambo ya mahak**a kundeshwa na kufanya mambo kwa uwazi au kwenda tofauti na mtazamo wa Rais

Yeye alitegemea Lisu awe amekufa mpaka sasa baada ya kusemwa ni mhaini

LIVE :

’s Space · 214 listening · Where live audio conversations happen

Katiba bora yenye haki itadhibiti rushwa kwa kuweka masharti ya uwajibikaji wa viongozi. Kwa kuweka misingi ya uwazi wa ...
26/09/2025

Katiba bora yenye haki itadhibiti rushwa kwa kuweka masharti ya uwajibikaji wa viongozi. Kwa kuweka misingi ya uwazi wa mali za viongozi na nidhamu ya uwajibikaji, itaondoa mianya ya ufisadi serikalini.
Katiba bora yenye haki itahakikisha usawa wa kimaeneo kwenye ugawaji wa rasilimali. inaweza kuzuia ukandamizaji wa maeneo fulani kwa kuhakikisha kila mkoa au wilaya inapata mgao wa rasilimali kwa uwiano wa haki.
Katiba bora yenye haki itaimarisha nafasi ya serikali za mitaa katika maendeleo. Kwa kuzipa mamlaka ya kikatiba, itawezesha serikali za mitaa kuwajibika moja kwa moja kwa wananchi na kuongeza uwazi

Kuvunjika kwa Muundo wa Jamii  : Uhamishaji wa jamii umeathiri muundo wa kijamii na tamaduni zao.Ukosefu wa Huduma Msing...
18/09/2025

Kuvunjika kwa Muundo wa Jamii : Uhamishaji wa jamii umeathiri muundo wa kijamii na tamaduni zao.
Ukosefu wa Huduma Msingi : Maeneo mapya ya makazi hayana huduma muhimu k**a maji safi, shule, na vituo vya afya.
Kuongezeka kwa Umaskini : Kupoteza vyanzo vya riziki kumewafanya watu wengi kuwa maskini zaidi.
Kukosekana kwa Ajira : Miradi ya mafuta haijatoa ajira za kutosha kwa jamii zinazozunguka miradi hiyo sio k**a walivyoahidi

Mfumo wa serikali tatu huleta uwajibikaji mkubwa kwa kila serikali kwa wananchi wake. Serikali zinapotenganishwa kwa maj...
18/09/2025

Mfumo wa serikali tatu huleta uwajibikaji mkubwa kwa kila serikali kwa wananchi wake. Serikali zinapotenganishwa kwa majukumu, ni rahisi kufuatilia utendaji na kuwawajibisha viongozi kwa mujibu wa Katiba na sheria.
Serikali tatu ni njia ya kulinda Muungano kwa kuondoa manung’uniko yaliyodumu kwa miongo kadhaa. Badala ya kuvunja Muungano, Serikali Tatu huimarisha mshik**ano kwa misingi ya haki, usawa na maridhiano ya pande mbili.
Serikali tatu ni chaguo la wananchi wengi katika mchakato wa Katiba Mpya, hivyo ni sauti halali ya kidemokrasia. K**a msingi wa ni sauti ya wananchi, basi kuzingatia maoni yao ya Serikali Tatu ni kuheshimu demokrasia na matakwa yao ya kikatiba

Je, unaona katiba ya sasa ina mapungufu makubwa kiasi cha kuhitaji katiba mpya?shiriki kwenye hivi poll mbili hapa chini...
01/09/2025

Je, unaona katiba ya sasa ina mapungufu makubwa kiasi cha kuhitaji katiba mpya?

shiriki kwenye hivi poll mbili hapa chini kwa kupiga kura na kutoa maoni

Twitter https://bit.ly/4mAxovk

Telegram https://bit.ly/41x2UC4

UHARIBIFU WA ARDHI YA KILIMO. Kuvuja kwa mafuta katika bomba la Keystone mwaka 2022 ilichafua ardhi ya kilimo huko Kansa...
01/09/2025

UHARIBIFU WA ARDHI YA KILIMO. Kuvuja kwa mafuta katika bomba la Keystone mwaka 2022 ilichafua ardhi ya kilimo huko Kansas, Marekani, na kuifanya isiweze kutumika tena kwa kilimo kutokana na sumu ya mafuta.
Katika Delta ya Niger, Nigeria, ujenzi wa mabomba umesababisha uharibifu mkubwa wa misitu ya mikoko, ambayo ni makazi muhimu kwa viumbe wa majini

Maoni ya wananchi huonyesha matarajio halisi ya Muungano na kusaidia kutatua migongano ya kimfumo. Kupitia mchakato shir...
01/09/2025

Maoni ya wananchi huonyesha matarajio halisi ya Muungano na kusaidia kutatua migongano ya kimfumo. Kupitia mchakato shirikishi, matatizo k**a ya muundo wa serikali mbili au tatu yanaweza kupata majibu ya kimaoni kutoka kwa wananchi wenyewe .
Wananchi wakiwa na sauti katika Muungano huongeza uwajibikaji wa viongozi wa pande zote mbili. Sauti ya wananchi huleta uwiano wa nguvu na kuzuia ukiritimba wa madaraka unaoweza kuhatarisha misingi ya Muungano.
Muungano unaozingatia matakwa ya wananchi huongeza mshik**ano wa kitaifa. Wananchi wanapojitambulisha k**a sehemu ya muungano kwa hiari yao, hujenga mshik**ano wa kweli unaotegemea mapenzi ya watu, si mamlaka ya serikali - Boniface Mwabukusi

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:00
Tuesday 08:30 - 17:00
Wednesday 08:30 - 17:00
Thursday 08:30 - 17:00
Friday 08:30 - 17:00
Saturday 09:00 - 14:00

Telephone

+255222198073

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IDC TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to IDC TZ:

Share