26/09/2025
: Wakati wa KARUME kuna watu walitanjwa k**a wahaini kina Hanga wakapotea tu
Samia anamuona Lissu k**a kina Hanga, alitegemea anaposema hawa ni wahaini basi wapotee tu k**a zamani huko Zanzibar
Kwa Samia aaona k**a Tundu Lissu amekufa tu, Zanzibar toka wa KARUME imekuwa ni giza tu, alichokuwa anasema KARUME ndio kinafanyika aliwahi sema uchaguzi utafanyika baada ya miaka 60
Kwa hiyo Tanganyika kumekuwa na sheria kwa muda mrefu sana , Nyerere kulipotokea kesi ya uhaini sisi Wanafunzi wa chuo kikuu tulikuwa tunakwenda pale mahak**ani na kusikiliza kesi, tunapewa mahali na kukaa kujifunza nini kinaendeelea, hii ni kutokana na kwamba kihistory Tanganyika imekuwa na common law kwa muda mrefu na Nyerere alikuwa anataka mahak**a itoe majibu kuhusu wahaini na aliamini kwamba ushahidi utaletwa na watahukumiwa kutokana na vigezo vya kisheria ndio maana mahak**a ilikuwa wazi
Lakini history hiyo hiyo Zanzibar kule Karume alikuwa anafanya mambo anayotaka, na watu waliotuhumiwa kwamba ni wahaini walipotezwa mpaka leo haijulikani walifanywa nini na hakuna anayeuliza
Wakati huo Samia alikuwa mdogo, amekulia kwenye mazingira hayo ambayo Rais akiongea wewe mhaini unakufa, hakuzoea haya mambo ya mahak**a kundeshwa na kufanya mambo kwa uwazi au kwenda tofauti na mtazamo wa Rais
Yeye alitegemea Lisu awe amekufa mpaka sasa baada ya kusemwa ni mhaini
LIVE :
’s Space · 214 listening · Where live audio conversations happen