Kitabu Initiative

Kitabu Initiative Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kitabu Initiative, Nonprofit Organization, Tabata, Segerea, Dar es Salaam.

WAJENGEE UWEZO WA KUSOMA📚Huenda wewe ni msomaji ama siyo msomaji wa vitabu. Je, jamii yako wanasoma vitabu?Wanapenda vit...
02/11/2024

WAJENGEE UWEZO WA KUSOMA

📚Huenda wewe ni msomaji ama siyo msomaji wa vitabu. Je, jamii yako wanasoma vitabu?
Wanapenda vitabu gani?
Wanapata wapi vitabu?
Una mchango wowote kwa wao kusoma kitabu?

📚Unaweza kuwawezesha watu wa mahali fulani kwa kusoma vitabu.
Zaidi vitabu vya riwaya fupifupi na Stadi za maisha. K**a kuhusu kilimo, ufugaji, malezi, imani n.k
1. Nunua kitabu peleka shule katika hilo eneo
2. Nunua kitabu peleka serikali ya mtaa/kijiji waambie unataka kisomwe na kiwafikie
3. Nunua kitabu peleka zahanati ya Kijijini

📚Kunaweza kuwa na meza ndogo ya vitabu hata 10 tu ambavyo wanaohitaji huduma watajisomea wanapokua hapo kusubiri huduma. Inapunguza hata ile kero ya foleni.
Pia kuna wagonjwa ambao hawana starehe yoyote zaidi ya kusoma lakini hata hicho kitabu hawana.

📚Unaweza pia kuanzisha klabu ya usomaji kijijini ama mtaani kwako ambapo watu watakutana mahali kusoma vitabu.

📚Vitabu vipo na wasomaji wapo ila namna ya kuwafikia.

📚Mwaka 2022 Tulivifikia vijiji vya mbali sana kutoka Dar, Katesh, Ngudu, kuna kijiji kipo Mtwara, tulipeleka vitabu vilisomwa na tulipata simu nyingi za mrejesho.
Wanunulie hata kitabu kimoja tu, ni sadaka pia.

Madam CEO
Kitabu Initiative
02112024

KITABU KIPYA. Sh. 1500 tu nakala tepe (softcopy)

Address

Tabata, Segerea
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 10:30 - 16:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kitabu Initiative posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Kitabu Initiative:

Share