Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official.

Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official. Hii ni Taasisi inayopambana na tatizo la uhaba/ukosefu wa ajira nchini Tanzania. Watanzania wote was

KITUO CHA WATOTO YATIMA CHAKUWAMA; SINZA MORI DAR ES SALAAM.Tarehe 30.07.2021, Shirika LA Think of Think of Self-Employm...
05/08/2021

KITUO CHA WATOTO YATIMA CHAKUWAMA; SINZA MORI DAR ES SALAAM.

Tarehe 30.07.2021, Shirika LA Think of Think of Self-Employment Organization Tanzania kwa kushirikia na Mashirika mengine mbalimbali tulitembelea kituo cha watoto YATIMA eneo CHAKUWAMA Sinza Mori mkoa wa Dar es Salaam.

Watoto YATIMA walipokea misaada mbalimbali kutoka kwa wadau walioshiriki katika CHARITY EVENT hiyo.

Uongozi wa Shirika la (TSEOT) unatanguliza shukrani za dhati kwa TAMASHA ambao walikuwa waandaji wa event hiyo.

CHUKUA HATUA; CORONA IPO, INAUWA NA INAZUILIKA.(TSEOT) inakusihi wewe Mtanzania  kuchukua hatua dhidi ya GONJWA hatari l...
26/07/2021

CHUKUA HATUA; CORONA IPO, INAUWA NA INAZUILIKA.

(TSEOT) inakusihi wewe Mtanzania kuchukua hatua dhidi ya GONJWA hatari la UVIKO _19.

Kwa kufanya yafuatayo;

MNkinge ndugu yako, familia yako, marafiki zako na wewe mwenyewe.

TANZANIA BILA CORONA INAWEZEKANA. CHUKUA HATUA.

TWENDE CHAKUWAMA KWENYE TAMASHA KUWASAIDIA YATIMA KWENYE  CHARITY EVENT.Shirika la (TSEOT) likishirikiana na Mashirika m...
23/07/2021

TWENDE CHAKUWAMA KWENYE TAMASHA KUWASAIDIA YATIMA KWENYE CHARITY EVENT.

Shirika la (TSEOT) likishirikiana na Mashirika mengine linapenda kukukaribisha wewe mdau katika tukio muhimu sana la kuwashika mkono Yatima katika eneo la CHAKUWAMA tarehe 30/07/2021, Sinza - Mori Dar es salaam, Tanzania kuanzia saa 9:00Am - 1:00Pm.

Watoto Yatima yaani wahitaji wana umri wa kuanzia miaka 2 hadi 25; Jinsia zote. Hivyo wewe k**a Mtanzania k**a umeguswa na hili unaombwa kufika katika eneo la tukio ili uweze kutoa chochote ulichokuwa nacho kuwasaidia yatima hawa.

Vitu ambavyo unaweza kuchangia au kutoa vikapokelewa ni k**a Nguo za kuvaa zilizo katika hali nzuri, Pedi, Viatu, Sendozi, Vitanda, Vifaa vya shule k**a Madaftari, Kalamu, Rula, Penseli na mabegi ya shule, Vyakula vya aina yoyote ile, Sabuni za kufulia na kuogea, Pesa N.K.

Hivyo wasiliana na uongozi wa shirika la (TSEOT) kusudi uweze kupewa utaratibu wa kushiriki Tamasha hili. Kumbuka watoto hawa hawana Baba, Mama wala Ndugu isipokuwa wanalelewa katika kituo cha CHAKUWAMA.

kARIBU UNGANA NASI, SAIDIA YATIMA, SAIDIA WAHITAJI.

Mawasiliano;

Tel: +2555 783 533 706 (WhatsApp)
+255 627 343 706 (SMS & Calls)
E-Mail: [email protected]
: [email protected]

 UGENI WA 7/1/2021  KATIKA SHIRIKA LA Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official.-Pichani ni Mkurug...
07/01/2021


UGENI WA 7/1/2021 KATIKA SHIRIKA LA Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official.-

Pichani ni Mkurugenzi Mtendaji washirika la TSEOT pamoja na Afsa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Ilala aliyefanya Ziara ya kulitembelea SHIRIKA hilo lililo na makao makuu yake Katika Manispaa yaTemeke jijini Dar es salaam.

LENGO NA MADHUMUNI.

Kutoka ushauri mzuri juu ya njia bora shirika litavyoanza kutekeleza miradiJanuary's yake ya kiuchumi kuanzia January 2021 na pia ni vipi Asasi hiyo yapaswa kushirikiana na serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kusudi kutoa huduma bora katika kufanya maendeleo ya jamii kwa manufaa ya Wanajamii na Taifa kiujumla.

2021... Kwa kishindo Tunatekeleza.

Tunapenda kuwakaribisha wadau wote kujiunga na kutoa support kwa Shirika kusudi tusonge mbele pamoja.

(Tunaanzia tulipoishia.)

MAWASILIANO

+255783533706 / +255764970401
+255658533706 / +255627343706
[email protected]
[email protected]
[email protected]

Barabara ya Mwinyi,
Yombo Kilakala
Nyumba No. 1633 (Chumba No. 4)
Temeke Dar es Salaam.

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA SHIRIKA LA Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official.- (TSEOT). ULIOFANYI...
06/01/2021

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA SHIRIKA LA Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official.- (TSEOT). ULIOFANYIKA MLIMANI CITY CENTRE, UBUNGO DAR ES SALAAM

TAREHE: 3/1/2021.



Uongozi wa Shirika la (TSEOT) unatanguliza shukrani za dhati kwa Waasisi na wanachama wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha mkutano mkuu wa Shirika hilo.

HII NI 2021 YA KAZI KWA VITENDO.
Kwa kishindo, Tunatekeleza.

THINK OF SELF EMPLOYMENT ORGANIZATION TANZANIA (TSEOT)

Ni Shirika la kupambana na kutatua changamoto za uhaba/ukosefu wa ajira na kusaidia wajasiliamali kwa kuwapa elimu bure nchini Tanzania.

Kazi yetu kubwa ni kubadili changamoto zilipo katika jamii na kuwa fursa na Ajira

MAONO YA SHIRIKA.

Kuona jamii ya watu wanaowaza kujiajiri wenyewe na kutengeneza nafasi za ajira kwa wengine kuliko kuwaza kuajiriwa.

DHAMIRA YA SHIRIKA.

Kuwa shirika namba moja nchini kwa kuwawezesha Watanzania wasiokuwa na ajira kujiajiri wenyewe katika miradi miradi mbalimbali ya kiuchumi, kutoa mafunzo na elimu ya ujasiliamali ili kupunguza tatizo la uhaba wa ajira katika Jamii.

MALENGO YA SHIRIKA.

(1.) Kuwezesha uanzishwaji wa miradi ya kiuchumi itakayotoa fursa ya ajira nchini.
(2.) Kubadili mtazamo wa jamii kuhusu kuajiriwa na kuwaza jinsi ya kujiajiri.
(3.) Kuwezesha Jamii kwa kuijengea uwezo wa kujiajiri.
(4.) Kutoa mafunzo na elimu ya ujasiliamali kwa Jamii.
(5.) Kutengeneza fursa na ajira katika jamii na kuwawezesha Watanzania wasiokuwa na ajira kujiajiri wenyewe hasa wasomi wanapokuwa mashuleni na pale wanapohitimu🎓

Tunapenda kuwakaribisha wadau wote kujiunga na kutoa support kwa Shirika kusudi tusonge mbele pamoja.

(Tunaanzia tulipoishia.)

MAWASILIANO

+255783533706 / +255764970401
+255658533706 / +255627343706
[email protected]
[email protected]
[email protected]

Barabara ya Mwinyi,
Yombo Kilakala
Nyumba No. 1633 (Chumba No. 4)
Temeke Dar es Salaam.

17/12/2020
17/05/2020
16/05/2020

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255783533706

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Think of Self-Employment Organization Tanzania - Tseot Official.:

Share