Chama Cha Wafanyakazi

Chama Cha Wafanyakazi Tunapigania haki za wafanyakazi wa nyumbani Tanzania. Akina dada wa nyumbani, madereva, walinzi, n.k

17/01/2026
Tunawatakia heri ya mwaka mpya
06/01/2026

Tunawatakia heri ya mwaka mpya

Tupo Pamoja!
22/12/2025

Tupo Pamoja!

Kujiunga na timu yetu au k**a umenyimwa haki kazini- tuandikie barua pepe ili tuangalie namna ya kushirikiana: haki@cham...
01/10/2024

Kujiunga na timu yetu au k**a umenyimwa haki kazini- tuandikie barua pepe ili tuangalie namna ya kushirikiana: [email protected]

https://chamachawafanyakazi.com/nafasi-za-kaziKujiunga na Timu:Je, umemaliza chuo kikuu na upo unatafuta ajira?Je, ungep...
11/05/2024

https://chamachawafanyakazi.com/nafasi-za-kazi

Kujiunga na Timu:

Je, umemaliza chuo kikuu na upo unatafuta ajira?
Je, ungependa kupata uzoefu katika soko la ajira?
Je, ungependa kushirikiana pamoja katika kujenga taifa?
Tuandikie barua pepe au tuma ujumbe katika Facebook,
ili tuone ni namna gani tunaweza ungana pamoja katika kuendeleza taifa letu Tanzania.

Tunapigania haki za wafanyakazi wa nyumbani Tanzania. Akina dada wa nyumbani, madereva, walinzi, wapishi, na wahudumu, n.k

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chama Cha Wafanyakazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share