Wafugaji Tanzania

Wafugaji Tanzania ni kikundi/page inayowapa wafugaji wote waTanzania Fursa sawa katika kupata masoko ya mifugo yao, kuwaelimisha, muwaleta karibu n.k

Wafugaji tuwe na imani Mungu akipanga kukuinua hata ufugaji unaweza kukufanya kuwa bilionea
27/12/2025

Wafugaji tuwe na imani Mungu akipanga kukuinua hata ufugaji unaweza kukufanya kuwa bilionea

Breaking News 🚨🚨

Nabii wa Ghana Ebo Noah, ambaye awali alisema dunia itaisha tarehe 25 Desemba na baadaye akamuomba Mungu aiahirishe, sasa ameanza kutoza shilingi milioni 10 kwa ajili ya show zake.

Ameonekana kwenye tamasha la Sarkodie, na hata kuingia kwenye masafina (arks) yake sasa kunalipiwa.
Kwa sasa, jamaa huyo ameanza ujenzi wa jumba kubwa la kifahari mjini Accra.

Huyu huyu ndiye aliyekuwa akisema dunia itaisha hivi karibuni 😃!

Funzo la Maisha:Kwa kweli lawama zinarudi kwa baadhi yenu ambao hamkuweza kuona au kutambua kwamba alikuwa anatengeneza tu maudhui (content).

Mudumoh ✍️

09/02/2025

Hili pepo gani au ni upako?

09/02/2025

Umalaya ni sanaa na ubunifu

28/10/2024

Dai chako uonekane mbaya

28/10/2024

Usimwamini wanadamu wa sasa wanapenda vya bure

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wafugaji Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Wafugaji Tanzania:

Share