Ruge Mutahaba Foundation

Ruge Mutahaba Foundation |Creativity|Innovation|Excellence|Perseverance|Empathy|

Wakati dunia ikisherehekea   siku ya wafanyakazi; familia na marafiki wa   walikuwa na sababu moja ya zaida kukutana kwa...
01/05/2026

Wakati dunia ikisherehekea siku ya wafanyakazi; familia na marafiki wa walikuwa na sababu moja ya zaida kukutana kwa ajili ya ibada ya kushukuru zawadi ya maisha ya Ruge, kazi aliyoifanya na matunda ya kazi yake.

Ibada ya shukrani ya Birthday ya ilifanyika katika kanisa la KKKT Kijitonyama.

“Pambana kuwa jua ukifeli utakuwa kipande cha nyota kilichoshindikana” Ruge Mutahaba

**ataFursaYwenzetu

Applications za   zinaendelea kupokelewa. Application na Course hii ni BURE, unatakiwa tu kuwa mwanafunzi wa elimu ya ju...
24/02/2026

Applications za zinaendelea kupokelewa. Application na Course hii ni BURE, unatakiwa tu kuwa mwanafunzi wa elimu ya juu unaesoma ndaki za Afya uliyepo mwaka wa pili na kuendelea na mwenye passion ya ‘Public Health storytelling’ kwenye focus areas zilizotajwa.

Kwa maelezo zaidi tembelea https://shinesokoni.tz/application/medical_communication_program au bonye za link kwenye bio yetu.

**ataFursaTwenzetu

K**a ulikuwa umemark your calendar, unajua kuwa leo rasmi application za   Program Cohort 01 ya 2026 imefunguliwa rasmi....
06/02/2026

K**a ulikuwa umemark your calendar, unajua kuwa leo rasmi application za Program Cohort 01 ya 2026 imefunguliwa rasmi.

Tuma maombi kwa kuscan QR Code au bonyeza https://shinesokoni.tz/application/medical_communication_program iliyopo kwenye bio yetu.

MUHIMU: Ni kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu wanaosoma Ndaki za Afya pekee.

**aFursaTwenzetu

Heri ya Mwaka mpya mmanta!Tunaamini tayari umeweka mipango yako ya mwaka 2026, na uko tayari kuipambania ikusogeze mahal...
02/01/2026

Heri ya Mwaka mpya mmanta!

Tunaamini tayari umeweka mipango yako ya mwaka 2026, na uko tayari kuipambania ikusogeze mahali bora zaidi kiuchumi na kijamii. iko hapa k**a ‘chaja’ ya ndoto zako kwa kukupa ‘manta’ (au skills) na ‘Fursa’ unazohitaji kusogea mbele.

Hizi ndio tarehe muhimu unazotakiwa kuzizingatia kwenye kalenda yako ya robo ya kwanza ya Mwaka 2026.

Ukihitaji ufafanuzi kuhusu chochote kati ya kivi, tuandikie kwenye comment na tutakufafanulia.

Endelea kubaki hapa kupata taarifa zaidi.

**ataFursaTwenzetu

Shindano la uwekezaji kwenye SOKO LA HISA la DSE  lijulikanalo k**a   linalowalenga wanafunzi wa vyuo vikuu limezinduliw...
29/12/2025

Shindano la uwekezaji kwenye SOKO LA HISA la DSE lijulikanalo k**a linalowalenga wanafunzi wa vyuo vikuu limezinduliwa rasmi Tar 20 Disemba 2025 katika chuo kikuu cha .university

Shindano hili linawalenga wanafunzi kutoka fani zote (hata zile za nje ya biashara na uwekezaji). ikiamini kwenye usawa wa taarifa na maarifa katika kuzipambania fursa na kukuza uchumi wa vijana, kupitia jukwaa la elimu mtandao limekusudia kuwanoa washiriki wa shindano hili na kuongeza ushindani huku wakijiandaa kuwa wawekezaji bora.

Huenda hii ni nafasi yako kuibuka mshindi, au kuanza safari ya uwekezaji kupitia kununua na kuuza HISA na HATI FUNGANI ndani ya SOKO LA HISA LA DSE. Baki kwenye kurasa zetu kupata updates zaidi za jinsi ya kulielewa SOKO LA HISA, kushiriki na kushinda.

**ataFursaTwenzetu

Heri ya Msimu wa Sikukuu na Mwaka 2026.Unapoendelea na mipango yako ya jinsi ya kuwa bora zaidi na kuvunja rekodi zako m...
25/12/2025

Heri ya Msimu wa Sikukuu na Mwaka 2026.

Unapoendelea na mipango yako ya jinsi ya kuwa bora zaidi na kuvunja rekodi zako mwenyewe; zingatia mambo yetu matano

1. Weka nguvu kwenye kila unachokiaminia na unataka kikupe matokeo
2. Focus na hicho hicho, kila unachokifanya au kujifunza kikuongezee nguvu na thamani kwenye unachokiaminia.
3. Jitofautishe! Kataa kuwa copy ya wengine, siri ya kuwa kinara ndani ya soko ipo kwenye namna soko linauona upekee wako.
4. Jenga Mahusiano ya kukukuza. Network, mingle, explore.
5. Linda vitu vinavyoonekana vidogo lakini vina athari kubwa kwenye Maisha na ndoto yako k**a vile nidhamu ya muda, fedha nk.

Komaa na tukutane mwakani kuendelea kujinoa zaidi.

**ataFursaTwenzetu

Mwezi Septemba ni mwezi maalumu wa kukuza uelewa kuhusu Mambo ya  . Usikose kufuatilia elimu kuhusu   na k**a una seali ...
02/09/2025

Mwezi Septemba ni mwezi maalumu wa kukuza uelewa kuhusu Mambo ya . Usikose kufuatilia elimu kuhusu na k**a una seali lolote, tunaamini tutapata wasaa wa kulijibu.

Tutapata uzoefu wa (wagonjwa wa Sikoseli), wazazi wenye watoto wagonjwa na jamii kwa ujumla kwa namna gani wanaamini tunaweza kuishinda .


28/08/2025

Nchi na biashara nyingi zilizopoga hatua kuwa za ukuaji wa kiuchumi na uendelevu zimewekeza kwenye sayansi na takwimu kuamua maamuzi yako na kujenga kutoka kwenye kazi ya vizazi vilivyotangulia.

MoU ya Ruge Mutahaba Foundation na ResearchCOM inalenga kuwajengea uwezo na kuwashirikisha vijana, ambao ni takribani 33% ya watanzania wote na nguvu kazi muhimu ya taifa letu kuelekea utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya 2050 na kubadili maisha yao.

Baadhi ya Miradi inayokuja na mkataba huu wa ushirikiano ni pamoja na

ambayo ni kampeni ya mabadiliko ya tabia (BCC) itakayowasaidia vijana kuziaminia takwimu na kuzitumia kwa maendeleo yao.
“Vijana waweze kujivunia kuzijua takwimu na kuziambatanisha na shughuli na maamuzi yao; waweze kuanzisha biashara sio kwa sababu wamejisikia ila takwimu ziwe zimesema hili ndo eneo lenye Fursa zaidi,” alisema Elias Tryphone , CEO wa Ruge Mutahaba Foundation.

Mradi mwingine ni Medical Communication & Journalism ambao umejikita kukawezesha wanafunzi wa fani za afya kushiriki kwenye kuelimisha jamii kwa kuwajengea skills za ziada k**a photography, videography, 3D animation na copywriting.
“Public Health ni muhimu, ndio sababu tumeamua kuwatengezea platform ya wanafunzi wa Afya kushiriki kuelimisha jamii na kuepusha magonjwa yanayozuilika kwa kubadili tabia na mtindo wa maisha,” aliongeza Elias Tryphone.

“Mradi huu utatumia vijana, vipaji na ubunifu,” alihitimisha.


**ataFursaTwenzetu

Maarifa hayana maana k**a hayafikii na kuleta athari chanya kwa wale waliokusudiwa.Sayansi na utafiti mara nyingi vinaon...
27/08/2025

Maarifa hayana maana k**a hayafikii na kuleta athari chanya kwa wale waliokusudiwa.

Sayansi na utafiti mara nyingi vinaonekana “vigumu” sana; lakini siri iliyopo kati ya wale walioendelea na ambao hawajaendelea ipo kwenye thamani ya takwimu, utafiti na kujenga kwenye kile kilianzishwa na vizazi zilivyotangulia.

Leo, Ruge Mutahaba Foundation na ResearchCOM tumesaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) kuhakikisha sayansi, takwimu na tafiki zinawafikia vijana na vijana wanafikisha na kuwa chachu kwa jamii nzima.

Programu zetu zitahusisha:
🩺 Medical Journalism and Communication
😂 Science Comedy
📊 Tamba Na Data
🛍️ Anzia Sokoni (Taarifa za Masoko kwa wajasiriamali)
💡 Fikra Mpya (jukwaa la wanasayansi na vijana wabunifu)

Pamoja tunabadilisha maarifa kuwa vitendo, na utafiti kuwa suluhu za changamoto zetu! 🌍✨


**ataFursaTwenzetu

27/08/2025

Knowledge only matters when it reaches the people it was intended for.

Science and research are often seen as too complex—but their true value lies in how they change lives.

Today, the Ruge Mutahaba Foundation and ResearchCOM signed an MoU to make science communication more seamless, engaging, and impactful especially for the youth.

Dr. Syriacus Buguzi , CEO of ResearchCOM, put it best: “Youth are the ones who can come up with revolutionary ideas that can unlock science and turn it into actionable science communication products for public engagement. This MoU gives that platform.”

Through the PTS framework (Publish, Tell, Show), this partnership will help researchers and institutions translate their data into solutions that matter.

Initiatives include:
🩺 Medical Communication and Journalism
🎭 Science Comedy
📊 Tamba Na Data BCC
🛍️ Anzia Sokoni – Market Intelligence for Entrepreneurs
💡 Fikra Mpya – A stage for brilliant ideas

Together, we’re turning knowledge into action, and research into impact. 🌍


**ataFursaTwenzetu

Address

#1436 Block C Mikocheni B
Dar Es Salaam
34202

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ruge Mutahaba Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Ruge Mutahaba Foundation:

Share