Grow and scale ngo

Grow and scale ngo Helping Nonprofits Grow and Scale their Funding, Impact and Sustainability through Proven Set of Donor Insights, Training Programs, Systems and Tools.

Taasisi nyingi zinapitia changamoto mbalimbali za ukuaji hususani katika masuala ya Resource Mobilization/BD, k**a vile ...
05/10/2024

Taasisi nyingi zinapitia changamoto mbalimbali za ukuaji hususani katika masuala ya Resource Mobilization/BD, k**a vile Fundraising and Proposal Writing, Donor Relations NA mambo mengine k**a Organizational Governance (Management and Leadership), Systems and processes n.k

Usikose FREE WEBINAR Jumapili Hii, 6th October 2024 Saa Tatu Kamili Usiku.

Mada: *Makosa Makuu 7 Yanayogharimu Jitihada za Kutafuta Fedha kwa Asasi za Kijamii*

Platform: *Google Meet*

Kujisajili tafadhari fuata maelekezo kupitia link hii
https://chat.whatsapp.com/GbhGQ92wGI6A9wzsGimGrC

_Usikose, because you will be glad .... you did_

_GNS (Grow & Scale NGO) ni kwa ukuaji wa taasisi yako._

Uhusiano ulopo kati ya Networking na Fundraising (Power of networking in fundraising).Je Networking ina nafasi gani kati...
23/09/2024

Uhusiano ulopo kati ya Networking na Fundraising (Power of networking in fundraising).

Je Networking ina nafasi gani katika Kufanya fundraising?

Katika Business Development kuna vitu k**a:
[1]Fundraising
[2]Partnership
[3]Grant application.

Kuna wakati ambapo Fundraising inaweza kuhusisha Partnership na Grant application.

Fundraising ni mchakato wa kukusanya pesa kutoka kwa wafadhili,mashirika na taasisi za ufadhiri bila kuandika proposal.

Katika Hili Networking inakuwa na nafasi kubwa sana.

Networking- Ni Mchakato wa muunganiko wa kujenga mahusiano na watu wengine ili kuboresha unachokifanya na kutimiza malengo yako.

Watu muhimu ndio wanaoshape falsafa,goals, vision na mission ya organization. Bila watu muhimu hakuna cha maana kitakachotokea.

Unapounganishwa na watu muhimu inakupa fursa ya kupanuka zaidi, na kujulikana kwa watu muhimu wanaoweza kupush mbele visina mission ya asasi yako ya kijamii (Non-profits).

Networking ni muhimubkatika individual level na katika organization level.

Jinsi gani Networking inasaidia katika Asasi zetu za kijamii (Non-profits)?.
[1]Inasaidia kupata Fursa za funding.
Funding opportunities zinapotokea ni rahisi sana kushirikishwa na mtu anayekujua na anajua unachokifanya.

[2] Inakusaidia kufanya Partnership na organization zingine katika Implementation ya mradi. Ambapo hapo Funding inahitajika, maana huwezi kuimplement mradi bila fund.

Network with Purpose, Partner with purpose. mfano katika CSO WEEK (Ambapo NGOs zote walikuwa wamekutanika). Kwa kuwepo pale inakusaidia kukutana na watu muhimu wanaofanya kile unachokifanya katika namna Bora zaidi.

Mfano: Taasisi fulani inaweza kuandaa tamasha kwa ajiri ya kuraise fund inaweza kuandaa Tamasha, Na Kupata Wafadhili wengi katika tamasha hilo kutokana na mahusiano mazuri. Watapata Fedhi toka wa Wafadhiri kwa ajili ya kutangaza Biashara zao na kutoka kwa Watazamaji kwa kuuza Ticketi. Mfano Tamasha k**a FIESTA.

Jinsi gqni mtu anaweza ku-network?
Networking inaweza kutokea katika namna kuu 2
[1] Online Networking.
[2] Offline Networking.

[1]ONLINE NETWORKING.
K**a unahitaji ku-network na organization fulani.
>>>Jambo la kwanza -Follow Their organization page.

>>>Jambo la Pili--Follow na uwe rafiki wa watendaji (Executive) wa ile organization. Mfano: country Director n.k

Zingatia Usemi: "unapswa kuwa findable ili uwe Fundable"

Hakikisha una account muhimu zinazotambulisha uwepo wako. LinkedIn,twitter,Instagram, Facebook na website.

>>> Share Insights. Ukisha follow account za taasisi na watendaji wake. unapaswa kuoffer value, mfano kushare insight na experiences. Inaongeza kujulikana na kunetwork. Tayari utajulikana kumbe mtu fulani anajua kitu fulani, anatoa solution Fulani, hivyo ni rahisi kupartner na wewe.

>>> Fanya interaction ya contents zao. Kulike, kushare,kucomment na kurepost au kufanya Review ya content zao. Hii inakusaidia kutambulika k**a unaejali wanachokifanya na wao watalijua hilo.

[2] OFFLINE NETWORKING
Hapa pia kuna namna mbalimbali.
>>> Event based networking. Hudhuria matamasha na makongamano ujuane na watu muhimu.

>>> Pia unaweza kuandaa Event na kuwaalika Wadau, Katika Event utanetwork nao, maana watapata fursa ya kukujua zaidi na Solutions unazotoa katika huduma yako.

>>> Unaweza kuattend Event waliyoorganize wao. Utapata fursa ya kuoffer value na Mwisho wa siku kuaminika na kutengeneza network kubwa.

Kuhakikisha haupitwi na mada k**a hii, na nyingine nyingi, hasa kuhusiana na jinsi ambavyo unaweza kuongeza uwezo wako na wa asasi yako kupata wafadhili, kuboresha utendaji na kuwa endelevu , jiunge na group letu la whatsapp kupitia link iliyopo kwenye BIO

Makosa Makuu 7 Yanayogharimu Jitihada za Kutafuta Fedha kwa Asasi za Kijamii.Ili asasi ya Kiraia (NGOs) iweze kukua na k...
23/09/2024

Makosa Makuu 7 Yanayogharimu Jitihada za Kutafuta Fedha kwa Asasi za Kijamii.

Ili asasi ya Kiraia (NGOs) iweze kukua na kustqwi zaidi,kuna mambo Muhimu yanapaswa kufanya na pia kuna mambo ambayo hayapaswi kabisa kufanywa...

Hapa kuna makosa 7 ambayo huwa yanazigharimu asasi mbalimbali zisizo za kiserikali katika ukuaji wake.

[1] Kukosa Mpango Mkakati wa Wazo wa Kuongeza mapato. [Clear Fundraising plan & Strategy/Resourcesmobilisation plan].

[2] Kukosa Mpango mkakati wa asasi. [Lack of organization startegic plan].

[3] Kutegemea chanzo Kimoja cha Mapato [Lack of fund diversitation].

[4]. Kukusanya pesa Kwa tukio linaloelekea kuisha [Occasionally Fundraising].

[5]. Kutokuzingatia mahusiano mazuri kati ya asasi na Wahisani. [Poor Donors Relation].

[6]. Kutumia njia zisizo rafiki za Kukusanya pesa [Use of inappropriate Fundraising methods].

[7]. Asasi Kukosa Kujulikana kwa Wahisani.
>> Wafadhiri hawapo tayari kumpatia pesa mtu wasiyemfahamu.

Shiriki katika matukio na makongamano mbalimbali yanayokuhusu. Conferences, talk show, Exhibition n.k

>> Julikana kwa mambo mawili. [1] Huduma unazozitoa [2] Matokeo mazuri yanayotokana na huduma yako unayotoa.

Kuhakikisha haupitwi na mada k**a hii, na nyingine nyingi, hasa kuhusiana na jinsi ambavyo unaweza kuongeza uwezo wako na wa asasi yako kupata wafadhili, kuboresha utendaji na kuwa endelevu , jiunge na group letu la whatsapp kupitia link iliyopo kwenye BIO

Je unajua kuna uhusiano kati ya hatua ya ukuaji wa Asasi yako na Fundraising Efforts?Japokuwa globally  hakuna consensus...
23/09/2024

Je unajua kuna uhusiano kati ya hatua ya ukuaji wa Asasi yako na Fundraising Efforts?

Japokuwa globally hakuna consensus ya namna ipi ni sahaihu katika kukategorize Nonprofits/NGO, generally speaking kuna hatua 3 za ukuaji wa NGO ambazo ni:
[1]Small NGOs
[2]Mid -level/Medium NGOs
[3]Large NGOs.

Katika makala Hii tunaangalia uhusiano kati ya hatua za ukuaji wa Asasi za Kijamii na Fundraising kutoka level ya chini kwenda level ya juu.

Kutokana na sheria za Tanzania, NGOs zinaweza kusajiliwa katika level (ngazi) k**a nne hivi (level za usajili ambazo zinainform ngazi za utendaji kazi kijiografia), yaani kusajiliwakufanya kazi ngazi ya:

[1]Wilaya
[2]Mkoa
[3]Taifa
[4]Kimataifa

Sasa japokuwa hizi bdizo ngazi za usajili wa Asasi hizi, ngazi hizi za usajili SIZO ambazo zinafanya Asasi husika kuwa katika ngazi/hatua ya ukuaji (Small, Medium au Large), la hasha!, sivyo.

Badala yake kuna mambo kadhaa ambayo ndio huwa yanatumika kudetermine/Kusema shirika/Asasi fulani ipo katika level fulani ya ukuaji, na katika mambo hayo, mambo makubwa mawili ndiyo yanatumiaka zaidi kueleza hatua ya ukuaji wa Asasi husika, nayo ni:

[1]Idadi ya waajiriwa (Numbers of employees na level of specialization ).

[2] Kiwango cha budget ya asasi husika kwa mwaka (Funding Level & Budget)

Tuanze na jambo moja , moja.

[1]Idadi ya waajiriwa.
>>> Wajiriwa 1-49 (asasi ndogo (small non profit organization)
>>> Waajiriwa 50-200 (Level ya kati(Medium non profit organization).
>>> Waajiriwa zaidi ya 200 (Asasi kubwa (Large non profit organization).

[2]Ukubwa Bajeti ya mwaka
>>> Chini ya Dola $100,000 sawa na Tshs 272,571,900 kwa mwaka (asasi Ndogo).
>>> Zaidi ya Dola $100,000 mpaka dola Million mia tisa na tisini na tisa ($999,000,000)-- Level ya kati (Medium Non Profit)
>>> Zaidi ya Dola milioni kumi [$ 10, 000,000] Level kubwa (Large non profit).

Mambo haya mawili yanachangia kwa kiasi kikubwa kudetermine level ya ukuaji wa Asasi

Mambo mengine ambayo pia yanaweza kuangaliwa ni

[3]Matumizi ya Teknolojia na mifuo (Level of softifications.)
>>> Asasi ndogo--Kazi nyingi kutekelezwa kwa njia ya makaratasi (Paper based).
>>> Asasi za level ya kati--Kazi nyingi kutekelezwa kwa kutumia Digitalized system, karatasi kidogo sana.
>>> Asasi za level ya juu(kubwa) unakuta Kazi karibu zote kutekelezwa kwa njia ya mifumo ya kisasa (digitalized system).

[4] viwango vya Ubobevu wa wafanyakazi (level of employee specialization)
>>>Mara Nyingi kwa small Nonprofits/NGO utakuta mtu mmoja anafanya majukumu mengi kwa sababu unakuta pia wafanyakazi ni wachache, na hata idara au vitengo bado ni vichache ukilinganisha na Medium na Large Nonprofits/NGOs

Sasa Uhusiano wa Hatua ya Ukuaji na Fundraising ni Upi?

Wakati wa kuomba Fund kutoka kwa Donors huwa wanaonesha Kigezo cha kiwango cha pesa ambazo asasi wanayoihitaji kufanya nayo kazi iwe imekifikia (uwezo wa kumanage Fund kiasi kadhaa) kwa hiyo kutokana na mchanganuo huu unaweza kuona moja kwa moja kuwa level yako inaendana na matakwa hayo au la....

Kuhakikisha haupitwi na mada k**a hii, na nyingine nyingi, hasa kuhusiana na jinsi ambavyo unaweza kuongeza uwezo wako na wa asasi yako kupata wafadhili, kuboresha utendaji na kuwa endelevu , jiunge na group letu la whatsapp kupitia link iliyopo kwenye BIO
[23/09, 06:25] Afya Maridhawa: Je unajua kuna uhusiano kati ya hatua ya ukuaji wa Asasi yako na Fundraising Efforts?

Japokuwa globally hakuna consensus ya namna ipi ni sahaihu katika kukategorize Nonprofits/NGO, generally speaking kuna hatua 3 za ukuaji wa NGO ambazo ni:
[1]Small NGOs
[2]Mid -level/Medium NGOs
[3]Large NGOs.

Katika makala Hii tunaangalia uhusiano kati ya hatua za ukuaji wa Asasi za Kijamii na Fundraising kutoka level ya chini kwenda level ya juu.

Kutokana na sheria za Tanzania, NGOs zinaweza kusajiliwa katika level (ngazi) k**a nne hivi (level za usajili ambazo zinainform ngazi za utendaji kazi kijiografia), yaani kusajiliwakufanya kazi ngazi ya:

[1]Wilaya
[2]Mkoa
[3]Taifa
[4]Kimataifa

Sasa japokuwa hizi bdizo ngazi za usajili wa Asasi hizi, ngazi hizi za usajili SIZO ambazo zinafanya Asasi husika kuwa katika ngazi/hatua ya ukuaji (Small, Medium au Large), la hasha!, sivyo.

Badala yake kuna mambo kadhaa ambayo ndio huwa yanatumika kudetermine/Kusema shirika/Asasi fulani ipo katika level fulani ya ukuaji, na katika mambo hayo, mambo makubwa mawili ndiyo yanatumiaka zaidi kueleza hatua ya ukuaji wa Asasi husika, nayo ni:

[1]Idadi ya waajiriwa (Numbers of employees na level of specialization ).

[2] Kiwango cha budget ya asasi husika kwa mwaka (Funding Level & Budget)

Tuanze na jambo moja , moja.

[1]Idadi ya waajiriwa.
>>> Wajiriwa 1-49 (asasi ndogo (small non profit organization)
>>> Waajiriwa 50-200 (Level ya kati(Medium non profit organization).
>>> Waajiriwa zaidi ya 200 (Asasi kubwa (Large non profit organization).

[2]Ukubwa Bajeti ya mwaka
>>> Chini ya Dola $100,000 sawa na Tshs 272,571,900 kwa mwaka (asasi Ndogo).
>>> Zaidi ya Dola $100,000 mpaka dola Million mia tisa na tisini na tisa ($999,000,000)-- Level ya kati (Medium Non Profit)
>>> Zaidi ya Dola milioni kumi [$ 10, 000,000] Level kubwa (Large non profit).

Mambo haya mawili yanachangia kwa kiasi kikubwa kudetermine level ya ukuaji wa Asasi

Mambo mengine ambayo pia yanaweza kuangaliwa ni

[3]Matumizi ya Teknolojia na mifuo (Level of softifications.)
>>> Asasi ndogo--Kazi nyingi kutekelezwa kwa njia ya makaratasi (Paper based).
>>> Asasi za level ya kati--Kazi nyingi kutekelezwa kwa kutumia Digitalized system, karatasi kidogo sana.
>>> Asasi za level ya juu(kubwa) unakuta Kazi karibu zote kutekelezwa kwa njia ya mifumo ya kisasa (digitalized system).

[4] viwango vya Ubobevu wa wafanyakazi (level of employee specialization)
>>>Mara Nyingi kwa small Nonprofits/NGO utakuta mtu mmoja anafanya majukumu mengi kwa sababu unakuta pia wafanyakazi ni wachache, na hata idara au vitengo bado ni vichache ukilinganisha na Medium na Large Nonprofits/NGOs

Sasa Uhusiano wa Hatua ya Ukuaji na Fundraising ni Upi?

Wakati wa kuomba Fund kutoka kwa Donors huwa wanaonesha Kigezo cha kiwango cha pesa ambazo asasi wanayoihitaji kufanya nayo kazi iwe imekifikia (uwezo wa kumanage Fund kiasi kadhaa) kwa hiyo kutokana na mchanganuo huu unaweza kuona moja kwa moja kuwa level yako inaendana na matakwa hayo au la....

Kuhakikisha haupitwi na mada k**a hii, na nyingine nyingi, hasa kuhusiana na jinsi ambavyo unaweza kuongeza uwezo wako na wa asasi yako kupata wafadhili, kuboresha utendaji na kuwa endelevu , jiunge na group letu la whatsapp kupitia link iliyopo kwenye BIO

_Why Nonprofits Need to think and Prioritize Business Development (BD)_While BD encompasses more than just funding, ther...
23/09/2024

_Why Nonprofits Need to think and Prioritize Business Development (BD)_

While BD encompasses more than just funding, there is no doubt that funding occupies a bigger share of BD, to the extent that BD has been used to denote fundraising(including grant application).

Why Funding?, because Funding is at the very core of Nonprofits survival, but while this is the fact that no one can waterdown, there is more to why organization need to priorities BD ,

To ensure you don't miss out on insights like this one and many more, especially on how Nonprofits can Increase their Funding, Impact, and Sustainability, join our WhatsApp group today using the link in our bio or right here below!

https://chat.whatsapp.com/FBAX6l13IMaI0MrsWbdEpo

*Kutoka CSO Week**Utafiti*Asilimia 90% ya NGOs Tanzania sio “sustainable”kuna haja kubwa ya kujua namna ya kuzifanya NGO...
23/09/2024

*Kutoka CSO Week*

*Utafiti*

Asilimia 90% ya NGOs Tanzania sio “sustainable”

kuna haja kubwa ya kujua namna ya kuzifanya NGOs kuwa stahimilivu na kuwa na uwezo wa kujitegemea k**a msaada wa “donors” ukiondoka. Kwa NGOs Nyingi Bila Wahisani (Donors), haziwezi kabisa kusimama.

*Hali ya sasa ya NGOs Tanzania*

[1]>> Mwaka 2023, takribani NGOs 1,368 zilipata fedha kiasi cha TZS 2.6 trillion

[2]>> Kati ya hizo, 96% ilitokana na wahisani (donors),
>>> 0.32% kutoka kwenye uwekezaji,
>>> 0.27% ada ya wanachama, n.k

[3]. Hii hali tafsiri yake ni kwamba, k**a hakuna fedha za msaada, zaidi ya 90% ya NGOs zinafunga ofisi, k**a hazitapa fedha kutoka sehemu nyingine.

Kuhakikisha haupitwi na mada k**a hii, na nyingine nyingi, hasa kuhusiana na jinsi ambavyo unaweza kuongeza uwezo wako na wa asasi yako kupata wafadhili, kuboresha utendaji na kuwa endelevu , jiunge na group letu la whatsapp kupitia link iliyopo kwenye BIO

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:30
Tuesday 08:30 - 17:30
Wednesday 08:30 - 05:30
Thursday 08:30 - 17:30
Friday 07:30 - 14:00
Sunday 09:00 - 15:00

Telephone

+255620686442

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Grow and scale ngo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Grow and scale ngo:

Share