20/03/2026
GGO inalaani vikali tukio la ukatili lililotokea Chanika ! kijana Athumani Nyanza kuuliwa na kufukiwa nyuma ya nyumba yake! Jamii inapaswa kutambua Kila mtu ana haki ya kuishi, hivyo ni vyema kujiepusha na tamaa ,wivu na visasi mara nyingi huwa chanzo kikubwa Cha ukatili...Pumzika kwa Amani Athumani π π