27/11/2025
Ni vyema kuanzishwa mpango maalumu wa kitaifa "Strategic Police Citizens Dialogue Meetings" kwa lengo la kusikiliza malalamiko ya wananchi hadharani na kutoa elimu ya uzalendo na amani na hii inaweza kusaidia kurejesha imani kati ya wananchi na vyombo vya dola na kutengeneza maridhiano ya kweli yenye umoja na mshik**ano.
Asema, Dr. Khamis Masoud, Mkurugenzi wa Everlasting Legal Aid Foundation.