Asma Mwinyi Foundation

Asma Mwinyi Foundation Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Asma Mwinyi Foundation, Non-Governmental Organization (NGO), Plot 17, Mwai Kibaki Road, Mikocheni, Dar es Salaam.

The AMF is an NGO that focuses on helping and supporting the vulnerable and underprivileged women and girls generally in improving their livelihoods by providing them with food, shelter, clothing, sanitation, education, medical and spiritual care.

02/06/2026

AUTISM (USONJI) NA DOWN SYNDROME (USO MFANANO) SI MARADHI YA AKILI

Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF) Mhe amesema yafwatao akiwa .tanzania kuwa Autism (Usonji) na Down Syndrome (Uso Mfanano) si maradhi ya akili. Jamii zenye hali hii wana ndoto, uwezo na haki ya kuishi kwa heshima k**a binadamu wote. Hizi ni hali za maendeleo na ukuaji wa mtu zinazohitaji uelewa, upendo, heshima na ujumuishi katika jamii.

Ni wajibu wetu sote kuondoa unyanyapaa, ubaguzi na vitendo vyote vya ukatili dhidi ya watoto, vijana na watu wanaoishi na hali hizi.

Tunaendelea kusisitiza kuwa:
Ukatili si utamaduni wetu.
Tulinde utu wa kila mmoja wetu na tuendelee kuimarisha amani, upendo, mshik**ano na maridhiano katika jamii yetu. Kwa pamoja, tujenge mazingira salama na yenye heshima kwa kila mtu bila ubaguzi.

Kila mmoja anastahili kuheshimiwa, kuthaminiwa na kupewa nafasi ya kuishi kwa usawa na heshima.




**anoNaMaridhiano

02/06/2026

USONJI NA DOWN SYNDROME SI MARADHI YA AKILI

Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF) Mhe akiongea katika .tanzania kuwa Autism (Usonji) na Down Syndrome (Uso Mfanano) si maradhi ya akili. Ni hali za maendeleo na ukuaji wa mtu zinazohitaji uelewa, upendo, heshima na ujumuishi katika jamii.

Ni wajibu wetu sote kuondoa unyanyapaa, ubaguzi na vitendo vyote vya ukatili dhidi ya watoto, vijana na watu wanaoishi na hali hizi.

Tunaendelea kusisitiza kuwa:
Ukatili si utamaduni wetu.
Tulinde utu wa kila mmoja wetu na tuendelee kuimarisha amani, upendo, mshik**ano na maridhiano katika jamii yetu. Kwa pamoja, tujenge mazingira salama na yenye heshima kwa kila mtu bila ubaguzi.

*Kila mmoja anastahili kuheshimiwa, kuthaminiwa na kupewa nafasi ya kuishi kwa usawa na heshima.*





πŸ’ͺ🏽

01/06/2026

WATOTO WETU NI DHAMANA YA TAIFA (OUR CHILDREN ARE A NATIONAL TREASURE)

Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF) leo akiwakilisha hoja .tanzania ameomba Serekali yafuatayo: Wanaowafanyia watoto wa k**e na wa kiume ukatili wa kingono wanapaswa kuwajibishwa kikamilifu kwa mujibu wa sheria.

Tunaendelea kusisitiza kuwa:

Ukatili si utamaduni wetu.

Tulinde utu wa watoto wetu, tuimarishe amani, upendo, mshik**ano na maridhiano katika jamii yetu. Kwa pamoja, tuchukue hatua dhidi ya vitendo vyote vya ukatili na tuwape watoto mazingira salama ya kukua na kutimiza ndoto zao.

################################################x

Those who commit sexual violence against girls and boys must be held fully accountable under the law.

We continue to emphasize that:

Violence is not our culture.

Let us protect the dignity of our children and strengthen peace, love, unity, and reconciliation within our communities. Together, we must stand against all forms of violence and ensure that every child grows up in a safe and nurturing environment.




**anoNaMaridhiano

01/06/2026

ALHAMDULILLAH – KHAIRAT YA ZULIA IMEFIKA ZAIDI YA TULIVYOTARAJIA

Jazakumullahu Khayran kwa wote walioshiriki na kuchangia katika Khairat ya kuweka zulia katika siku tukufu ya Arafa. Mwenyezi Mungu awalipe kwa malipo mema, azidishe riziki zenu, akubali sadaka zenu na azijaalie kuwa sababu ya kupata radhi Zake hapa duniani na Akhera. Aamiin.

Habari njema ni kwamba, kwa Baraka za Allah (SWT), sadaka hii imeweza kutosheleza misikiti miwili (2) badala ya msikiti mmoja (1) tuliokuwa tumekusudia awali. Alhamdulillah! In Shaa Allah, nitawaletea pia video ya msikiti wa pili ili muweze kushuhudia matunda ya mchango wenu.

Tunaendelea kusisitiza kuwa:
Ukatili si utamaduni wetu.
Tulinde utu, tuimarishe amani, upendo, mshik**ano na maridhiano katika jamii yetu.

Mwenyezi Mungu azikubali ibada zetu, awasamehe waliotutangulia mbele ya haki, awajaalie kheri na baraka wote waliochangia, na aibariki Zanzibar pamoja na Taifa letu kwa amani, umoja na maendeleo endelevu. Aamiin Ya Rabbal β€˜Alamiin.


πŸ’ͺ🏽

**anoNaMaridhiano

28/05/2026

🌸 MAADHIMISHO YA HEADHI SALAMA DUNIANI | 28 MEI 2026 🌸

Menstrual Leave Policy nchini Tanzania inawezekana ✨
Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF), Mhe. pia Mbunge wa Jimbo la Welezo, ameendelea kutetea haki, afya na ustawi wa wanawake akiwa .

Katika siku hii muhimu ya Maadhimisho ya Hedhi Salama Duniani, tunaendelea kuhimiza jamii kujenga mazingira yenye heshima, usawa na uelewa bila unyanyapaa kwa kila binti na mwanamke 🌸

Shukrani za dhati kwa kwa kuibeba na kuijadili hoja hii muhimu iliyowasilishwa Bungeni.

Tunaendelea kusisitiza kuwa:
Ukatili si utamaduni wetu.
Tulinde utu, tuimarishe amani, upendo, mshik**ano na maridhiano katika jamii yetu πŸ‡ΉπŸ‡Ώβœ¨
Kila binti na mwanamke anastahili mazingira salama, yenye heshima na usawa πŸ’–




23/05/2026

π—¨π—žπ—”π—•π—œπ——π—›π—œ π—ͺ𝗔 π—§π—”π—‘π—ž π—Ÿπ—” π— π—”π—π—œ π—žπ—”π—§π—œπ—žπ—” π— π—”π—¦π—π—œπ—— π— π—¨π—Ÿπ—ž π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—Ÿπ—”π—›

Jana tarehe 22 Mei 2026, kupitia Asma Mwinyi Foundation (AMF), Alhamdulillah tumepata fursa ya kukabidhi tank la maji katika MASJID MULK LILLAH k**a sehemu ya kuendelea kuhudumia jamii na kusaidia mahitaji muhimu ya wananchi.

Tunatoa shukurani za dhati kwa wote mliochangia, kushirikiana nasi na kuonesha mshik**ano katika kufanikisha hatua hii yenye manufaa kwa jamii. Allah Barik.

AMF tunaendelea kusisitiza kuwa ukatili si utamaduni wetu. Ni wajibu wetu sote kulinda utu wa kila mmoja, kuimarisha amani, na kujenga jamii yenye upendo, mshik**ano na heshima.


πŸ’ͺ🏽



ZanzibarNiNjemaNaAtakaeAje

19/05/2026

MENSTRUAL HYGIENE DAY 2026

Maadhimisho ya Siku ya Hedhi Salama Duniani 2026.

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Afya ya Hedhi (MH Day) 2026 yenye kaulimbiu β€œTogether for a ”, tunaungana kuleta mabadiliko chanya kwa wasichana wetu na kuhakikisha wanapata haki ya kuishi kwa heshima, afya na kujiamini.

Kupitia Asma Mwinyi Foundation (AMF), tunaendelea kuwawezesha wanafunzi wa k**e kwa kuwapatia taulo za k**e rafiki kwa mazingira za chapa yetu ya STARA, kupitia mradi wetu wa:
|

Lengo la mradi huu ni kuhakikisha msichana anabaki shuleni kwa kupunguza utoro unaosababishwa na hedhi, huku tukichangia mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia (GBV).

Kwa mafanikio makubwa, tayari tumewafikia zaidi ya wasichana 36,100 katika shule mbalimbali pamoja na magereza yote Tanzania Bara na Zanzibar.

Katika maadhimisho ya mwaka huu, zaidi ya wanafunzi 300 wa Skuli ya John p. Magufuli wamepata STARA biodegradable sanitary pads.

Tunaamini kila msichana anastahili heshima, faraja na uhuru wakati wote β€” ikiwemo kipindi chake cha hedhi. Afya ya hedhi si suala la usafi pekee, bali ni haki ya msingi ya kibinadamu. Kwa pamoja tunaweza kuvunja ukimya, kuondoa unyanyapaa na kujenga dunia salama na yenye heshima kwa kila msichana.

Shukrani za dhati kwa Mhe. Kassim Hassan, Mbunge wa Jimbo la Mwanakwerekwe, kwa ushirikiano wako. πŸ™πŸ½

cc:
Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF)
β€” Mbunge wa Jimbo la Welezo



AsmaMwinyiFoundation
StarayaYanguHeshimaYangu
NistiriNisifedheheke
MaintainMyDignity
AsmaAliHassanMwinyi
BintiRukhsa

16/05/2026

MENSTRUAL HYGIENE DAY 2026

Maadhimisho ya Siku ya Hedhi Salama Duniani 2026.

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Afya ya Hedhi (MH Day) 2026 yenye kaulimbiu β€œTogether for a ”, tunaungana kuleta mabadiliko chanya kwa wasichana wetu na kuhakikisha wanapata haki ya kuishi kwa heshima, afya na kujiamini.

Kupitia Asma Mwinyi Foundation (AMF), tunaendelea kuwawezesha wanafunzi wa k**e kwa kuwapatia taulo za k**e rafiki kwa mazingira za chapa yetu ya STARA, kupitia mradi wetu wa:
|

Lengo la mradi huu ni kuhakikisha msichana anabaki shuleni kwa kupunguza utoro unaosababishwa na hedhi, huku tukichangia mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia (GBV).

Kwa mafanikio makubwa, tayari tumewafikia zaidi ya wasichana 35,800 katika shule mbalimbali pamoja na magereza yote Tanzania Bara na Zanzibar.

Katika maadhimisho ya mwaka huu, zaidi ya wanafunzi 300 wa Skuli ya Mwanakwerekwe A wamepata STARA biodegradable sanitary pads.

Tunaamini kila msichana anastahili heshima, faraja na uhuru wakati wote β€” ikiwemo kipindi chake cha hedhi. Afya ya hedhi si suala la usafi pekee, bali ni haki ya msingi ya kibinadamu. Kwa pamoja tunaweza kuvunja ukimya, kuondoa unyanyapaa na kujenga dunia salama na yenye heshima kwa kila msichana.

Shukrani za dhati kwa Mhe. Kassim Hassan, Mbunge wa Jimbo la Mwanakwerekwe, kwa ushirikiano wako. πŸ™πŸ½

cc:
Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF)
β€” Mbunge wa Jimbo la Welezo


16/05/2026

MENSTRUAL HYGIENE DAY 2026

Maadhimisho ya Siku ya Hedhi Salama Duniani 2026.

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Afya ya Hedhi (MH Day) 2026 yenye kaulimbiu β€œTogether for a ”, tunaungana kuleta mabadiliko chanya kwa wasichana wetu na kuhakikisha wanapata haki ya kuishi kwa heshima, afya na kujiamini.

Kupitia Asma Mwinyi Foundation (AMF), tunaendelea kuwawezesha wanafunzi wa k**e kwa kuwapatia taulo za k**e rafiki kwa mazingira za chapa yetu ya STARA, kupitia mradi wetu wa
| .

Lengo la mradi huu ni kuhakikisha msichana anabaki shuleni kwa kupunguza utoro unaosababishwa na hedhi, huku tukichangia pia mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia (GBV).

Kwa mafanikio makubwa, tayari tumewafikia zaidi ya wasichana 35,000 katika shule mbalimbali pamoja na magereza yote Tanzania Bara na Zanzibar.

Tunaamini kila msichana anastahili heshima, faraja na uhuru wakati wote β€” ikiwemo kipindi chake cha hedhi.

Afya ya hedhi si suala la usafi pekee, bali ni chaki ya msingi ya kibinadamu. Kwa pamoja tunaweza kuvunja ukimya, kuondoa unyanyapaa, na kujenga dunia salama na yenye heshima kwa kila msichana.

Katika maadhimisho haya, zaidi ya wanafunzi 500 watapatiwa STARA biodegradable sanitary pads katika shule za:
1. Bumbwini
2. Kiongwe Kidogo
3. Makopa
4. Mafufuni

Shukrani za dhati kwa kwa ushirikiano na mchango wenu katika kuleta mabadiliko yenye maana kwa jamii yetu.

Pia ahsante sana kwa kuniwakilisha

cc:
Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF)
β€” Mbunge wa Jimbo la Welezo



AsmaAliHassanMwinyi
BintiRukhsa

14/05/2026

SAFARI YA FARAJA NA MSAADA KWA MABINTI WA SKULI YA FIDEL CASTRO – PEMBA

Jumamosi, tarehe 09 Mei 2026, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Asma Mwinyi Foundation (AMF), Mhe. , kwa kushirikiana na ndugu, jamaa na marafiki, alifika Pemba kuwapa faraja na msaada mabinti wa Skuli ya Fidel Castro kufuatia maafa ya moto yaliyowapata hivi karibuni.

Kupitia ziara hii ya upendo na mshik**ano, AMF imefanikiwa kuwapatia wanafunzi hawa mahitaji muhimu ya masomo na matumizi binafsi, ikiwemo:
πŸ–ŠοΈ Peni
✏️ Penseli
πŸŽ’ Vipochi vya vifaa vya shule
πŸ”ͺ Vichongeo
πŸ“ Kompas
πŸŽ’ Mabegi ya shule
🧦 Vijora
πŸ“– Mas-haf
🩷 Taulo za k**e (Pedi) STARA β€” bidhaa maalum ya Asma Mwinyi Foundation inayohifadhi mazingira (biodegradable sanitary pads)

Tunatoa shukrani za dhati kwa wafadhili wetu wakuu pamoja na ndugu, jamaa na marafiki wote walioshirikiana nasi kuhakikisha mabinti hawa wanapata mahitaji muhimu kwa wakati.

AMF tunaendelea kusisitiza kuwa ukatili si sehemu ya utamaduni wetu. Tuendelee kulinda utu wa kila mtoto wetu. Tuendelee kulinda utu wa kila mtoto wa k**e, kuimarisha amani, na kujenga jamii yenye upendo, mshik**ano na heshima kwa wote.

Kwa pamoja tunaweza kurejesha tabasamu na matumaini.





Address

Plot 17, Mwai Kibaki Road, Mikocheni
Dar Es Salaam
14112

Opening Hours

Monday 09:00 - 16:00
Tuesday 09:00 - 16:00
Wednesday 09:00 - 16:00
Thursday 09:00 - 16:00
Friday 09:00 - 12:00

Telephone

+255747600800

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Asma Mwinyi Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Asma Mwinyi Foundation:

Share