02/05/2026
KUJITOLEA NI MOYO WA SADAKA! β€οΈπ
Labda umekuwa ukijiuliza, tunafanyaje majukumu ya kila siku k**a taasisi isiyoendeshwa kwa faida? Jibu ni rahisi: Kila hatua ya Cheza Foundation inapigwa na mashujaa wanaojitolea bila malipo, k**a sadaka yao kwa ajili ya watoto wenye ulemavu.
Leo, kwa heshima kubwa, tunamsikia rasmi mshindi wa tuzo ya Volunteer Hodari wa Mwezi wa 4: William Noya! π
William si mlezi tu pale Uhuru Mchanganyiko, bali ni kielelezo cha upendo. Hatutasahau namna alivyomsaidia Juma Omar kwenye mbio za na kuhakikisha anafika nyumbani salama baada ya ushindi ule. William hatoi tu nguvu zake, anatoa moyo wake wote.
Tusaidie kumpongeza William kwa kuandika neno βHeshimaβ hapa chini! π