Cheza Foundation

Cheza Foundation We support disabled community to reach greater heights in sports and fitness at National and International level

Jana ilikuwa siku ya baraka kwenye Uzinduzi wa Jezi wa Cheza Foundation! Tulifurahi, tulikula, tukaimba na kudance na wa...
31/05/2026

Jana ilikuwa siku ya baraka kwenye Uzinduzi wa Jezi wa Cheza Foundation! Tulifurahi, tulikula, tukaimba na kudance na watoto wetu mashujaa.

Shukrani kwa wadau, jana tumegawa:
πŸ‘• Jezi 16
πŸ‘Ÿ Viatu pairs 21
🧦 Soksi pairs 16
πŸ›‘οΈ Vilinda ugoko pairs 20

Pamoja tunasonga mbele! βš½οΈπŸ†

29/05/2026

🟒 UZINDUZI WA JEZI MPYA ZA CHEZA FOUNDATION! ⚽✨

Muda umewadia! Tunafurahi kuwakaribisha katika hafla rasmi ya kuzindua jezi zetu mpya, tukio litakalofanyika hapa nyumbani, Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko.

Itakuwa siku ya kipekee iliyojaa furaha, vicheko, na burudani kwa watoto wetu mashujaa.

πŸ“… Tarehe: Jumamosi, 30 Mei 2026
⏰ Muda: Saa 6 Mchana mpaka Jioni (Sunset)
πŸ“ Mahali: Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko

🎈Shughuli: Kula 🍽️ | Kucheza ⚽ | Kudance πŸ•Ί

Njoo tusherehekee pamoja na kuunga mkono vipaji vya watoto wetu wenye ulemavu. Tukutane uwanjani! πŸ™ŒπŸ’š

πŸ“ž Mawasiliano: 0689621429
πŸ“§ Barua Pepe: [email protected]

UzinduziWaJezi UhuruMchanganyiko

Eid Mubarak to you and your lovely family πŸ”₯πŸ™πŸΎ    ❀️  πŸŒ™πŸ•Œβ€οΈ πŸŒ™πŸ•Œβ€οΈ
27/05/2026

Eid Mubarak to you and your lovely family πŸ”₯πŸ™πŸΎ ❀️ πŸŒ™πŸ•Œβ€οΈ πŸŒ™πŸ•Œβ€οΈ

23/05/2026

πŸ₯‡ **JUMA OMAR ANAONDOKA NA MEDALI! TBS VIWANGO MARATHON 2026!** 🏁πŸ”₯

Hakuna kikwazo kinachoweza kusimamisha nia thabiti! Mkimbiaji wetu shujaa, **Juma Omar**, amekamilisha mbio za Kilomita 5 na kujinyakulia medali leo kwenye .
Ushindi huu umewezekana kwa ushirikiano mkubwa, uaminifu, na kazi nzuri kutoka kwa kiongozi wake (Guide Runner) **William Noya**, ambaye amekuwa macho yake kuanzia mstari wa mwanzo hadi mwisho wa Ushindi ! πŸ”—πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

Pongezi nyingi kwa mabingwa hawa! Angusha neno la β€œHongera” kwenye comments kuwapongeza! πŸ‘‡πŸŽ‰

The Secret to Attracting International Volunteers! 🌍🀝Listen, k**a unafikiri kuvutia volunteers wa kimataifa ni lazima uw...
15/05/2026

The Secret to Attracting International Volunteers! 🌍🀝

Listen, k**a unafikiri kuvutia volunteers wa kimataifa ni lazima uwe na website kubwa au expensive ads, you’re wrong. It’s not what you think! ❌

Tuchukulie mfano wa volunteers wetu kutoka Norway πŸ‡³πŸ‡΄. They didn’t come because of a fancy brochure. Walikuja kwa sababu waliona real impact tunayofanya kwa watoto wenye ulemavu kila siku hapa Cheza Foundation.

Wazungu wanapenda to be part of a story that is already moving. Kumbuka:

✨ Volunteers don’t look for comfort; they look for a mission.
✨ Ukionyesha β€˜the process’, the right people will find you.

✨ Stop selling the words, start sharing the process.
Wewe unatumia mbinu gani ku-attract volunteers kwenye harakati zako? Drop a comment below! πŸ‘‡

See you in Part 2, let’s build Cheza Foundation together! πŸ‡ΉπŸ‡Ώβœ¨

02/05/2026

KUJITOLEA NI MOYO WA SADAKA! β€οΈπŸ™

Labda umekuwa ukijiuliza, tunafanyaje majukumu ya kila siku k**a taasisi isiyoendeshwa kwa faida? Jibu ni rahisi: Kila hatua ya Cheza Foundation inapigwa na mashujaa wanaojitolea bila malipo, k**a sadaka yao kwa ajili ya watoto wenye ulemavu.

Leo, kwa heshima kubwa, tunamsikia rasmi mshindi wa tuzo ya Volunteer Hodari wa Mwezi wa 4: William Noya! πŸ†

William si mlezi tu pale Uhuru Mchanganyiko, bali ni kielelezo cha upendo. Hatutasahau namna alivyomsaidia Juma Omar kwenye mbio za na kuhakikisha anafika nyumbani salama baada ya ushindi ule. William hatoi tu nguvu zake, anatoa moyo wake wote.

Tusaidie kumpongeza William kwa kuandika neno β€œHeshima” hapa chini! πŸ‘‡

Jumamosi ya tarehe 25 tuliendesha mafunzo ya soka wa watoto wenye ulemavu wa macho tukishirikiana na wanafunzi wa darasa...
27/04/2026

Jumamosi ya tarehe 25 tuliendesha mafunzo ya soka wa watoto wenye ulemavu wa macho tukishirikiana na wanafunzi wa darasa la 4 wasio na ulemavu shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko.

22/04/2026

To our incredible Norway Volunteers Team β€”

Thank you β€” truly.

Your donations and time have brought smiles, confidence, and belonging to children with disabilities through Cheza Foundation's football programs. You didn't just give resources β€” you gave hope.

We are deeply grateful for your heart and your partnership. You are part of this family.

22/04/2026

PONGEZI KWA KAZI ILIYOTUKUKA: WILLIAM NOYA πŸ₯‡πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Tunafuraha kumtangaza William Noya k**a mshindi wa tuzo ya mwezi huu ndani ya familia ya Cheza Foundation.

Katika taasisi isiyoendeshwa kwa faida, injini ya maendeleo ni watu wenye moyo wa kujitolea k**a William. Kujitolea kwake kumesaidia kufanikisha malengo mengi, ikiwemo ushiriki wa kihistoria wa Juma Omar katika pale shule ya msingi oysterbay.

Tunakupongeza William kwa kuwa nguzo imara Uhuru Mchanganyiko. Pamoja, tunabadilisha maisha kupitia michezo! ⚽️✨

20/04/2026

*KUCHEZA KWA STAHA, KUSHINDA KWA HESHIMA! ⚽️*

Tumepokea zawadi ya Pedi kwa ajili ya wachezaji wetu wa k**e wa *Blind Football* na Maigizo na michezo mingine hapa Uhuru Mchanganyiko.

Tunamshukuru sana mdau aliyetoa zawadi hii muhimu inayomuwezesha binti mwenye ulemavu kuhudhuria mazoezi na masomo bila kikwazo.

Huu ndio uungwana tunaojenga ndani ya Cheza Foundationβ€”kuhakikisha kila mtoto anapata hitaji lake ili afikie ndoto zake.

*Gusa β€œLike” kuandika ASANTE kwa mdau huyu! πŸ‘‡*

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam
14110

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:00
Tuesday 08:30 - 17:00
Wednesday 08:30 - 17:00
Thursday 08:30 - 17:00
Friday 08:30 - 17:00
Saturday 08:30 - 12:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cheza Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Cheza Foundation:

Share