AFYA BORA KWETU

AFYA BORA KWETU Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA BORA KWETU, Community Organization, Mlimani city, Dar es Salaam.

PATA HUDUMA ZA KIAFYA, USHAULI NA ELIMU JUU YA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA, KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE ASILIA VILIVYOZIBITISHWA KWA UBORA WA HALI YA JUU KUTOKA BFSUMA.

21/03/2025

*UGONJWA WA FANGASI UKENI (VAGINAL CANDIDIASIS)*
✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
Fangasi ukeni ni miongoni mwa magonjwa ambayo hutesa wanawake kwa namna mbalimbali. Husababisha miwasho, harufu mbaya, maumivu, majimaji, homa nk kiasi cha kuingilia ratiba na ufanyaji kazi wa kila siku wa mtu. Huweza kuwakumba wanawake wa aina zote, ila wanawake wenye ujauzito huwa kwenye hatari zaidi. Ukikosa matibabu mazuri unawezaukahangaika nao kwa muda mrefu sana, lakini ukipata matibabu mazuri basi ndani ya muda mfupi tu unapona kabisa na kuweza kuwa vizuri

👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
*DALILI ZA FANGASI UKENI*
Dalili zake huwa ni za kuogopesha k**a maambukizi yatakua yametokea kipindi cha
ujauzito, ugonjwa wa VVU, ugonjwa wa sukari nk
⏩kuwashwa sehem za siri
⏩kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana *(superficial dysapareunia)*
⏩kuhisi kuwaka moto sehemu za siri Mara baada ya kutoka kufanya tendo la ndoa
au kutoka kukojoa *(burning sensation)*
⏩kupata vidonda ukeni *(soreness)*
⏩kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke *(l***a minora)*
⏩kupata maumivu wakati wa kukojoa
⏩kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa MWEPESI au
MZITO, uchafu huu unakua k**a maziwa yaliyoganda na hauna harufu kali
⏩Kutokwa na harufu kali baada ya kushiriki tendo la ndoa
⏩Kuchafua chupi mara kwa mara n.k

*kupata ushauri na tiba zetu wasiliana nasi kupitia simu number*

0745149985 au 0620156487



Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA BORA KWETU posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to AFYA BORA KWETU:

Share