12/08/2026
🎊🎉🎈LEO, tarehe 1️⃣2️⃣-0️⃣8️⃣-2️⃣0️⃣2️⃣6️⃣ — WANAHARMONY WA JUMUIYA YA TUKO SAWA TUNAKUTAKIA MLEZI WETU MPENDWA, HERI YA MIAKA 6️⃣6️⃣ YA KUZALIWA.
Tunakushukuru kwa kuishi na kudumisha upendo wa kindugu alioturithisha Profesa wetu wa Harmony, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Umetuonyesha kwa vitendo maana halisi ya undugu!
Wanaharmony wa Gen Z wanakuita Babu,
Millennials wanakuita Baba,
na wengine wanakuita Kaka.
Kutoka kwako tumejifunza kwamba:
“Haijalishi wewe ni mtoto wa nani au una mamlaka gani — tunapokuja kwenye jamii tunaongea lugha moja!”
Asante kwa kutembea pamoja nasi k**a jamii iliyodhamiria kurejesha upendo wa kindugu.
Tunakuombea FURAHA • AFYA • MAISHA MAREFU.
Heri ya siku yako ya kuzaliwa, Mlezi wetu Mpendwa.🎊🎉🎈