AYEIT Foundation Tanzania 2021

AYEIT Foundation Tanzania 2021 Elimu bora ni bora kwa vizazi vilivyopo na vile vijavyo.

18/10/2024

Ee Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na nchi, uzisike Sala zangu na Dua zangu, Kila wakati ninapo kutafakari wewe, na ninapokumbuka gharama kubwa ya kumtoa Yesu akafa msalabani kwa ajili ya WANADAMU wote na Mimi nikiwamo. Ninakushukuri pia kwa ajili ya watumishi wako waliojenga msingi wa Imani yangu kwako. Kwa ujumla ninakushukuru wewe Mungu wangu kwa watumishi wafuatao:

David Magoke ANGLICAN CHURCH PARISHI YA MASWA

Mch.Timanywa ANGLICAN CHURCH PARISHI YA MASWA

Mch.JOHN MPOGOMI ANGLICAN CHURCH PARISHI YA MASWA

Mch Mkosa ANGLICAN CHURCH PARISHI YA MASWA

Mch. Selususi byalugolola EAGT MASWA NYALIKUNGU SHULENI

Mch. John Masinga FILADEFIA MASWA SIDO

Mch. Kinasa FILADEFIA SIDO MASWA na EAGT UNYANYEMBE

Mch chopa/ chamdoma EAGT (Funika)MASWA

Mch.Saimoni EAGT (funika) MASWA

Mch. Chaha EAGT UNYANYEMBE MASWA

Mch. Francis Shimiye KLPT TABATA DAR ES SALAM

Mch Mlihano KLPT TABATA DAR ES SALAM

Mch. John Shusho KLPT TABATA DAR ES SALAM

Mch. Emanuel EAGT KILOSA.

Mch Mwandongole TAG UBENAZOMOZI CHALINZE.

Mch. Munisi TAG PANDE BAGAMOYO.

Mch. Mvimba EAGT MBEGANI BAGAMOYO

Mch. Kadimieli FPCT ZINGA BAGAMOYO

Ninauona uwekezaji mkubwa ambao Mungu uliingia gharama kutuma watumishi wote hawa kunifundisha.
Ee. Mungu kwa waliohai nakuomba uwabariki Hadi washangae. Waliokufa naomba uwarehemu waendelee kupumzika kwa amani.......amen.

25/05/2024
08/04/2024

[4/7, 1:15 PM] Robert: (hapa ana maanisha matendo ya kundirika.)
[4/7, 1:19 PM] Robert: Umri wa kiakili:
[4/7, 1:22 PM] Robert: Umri wa kiakili ni yale matendo anayoweza kutenda ukihusianisha na umri wake, kisha kutafuta wastani wake.
[4/7, 1:36 PM] Robert: Kwahiyo: Hisa ya Akili ni kipimo cha maendeleo ya kitaaluma kwa kuwianisha umri wa kuzaliwa wa mtoto na umri wa akili. Mwalimu unajua Hisa za Akili za wanafunzi wako? Fanya jaribio la kubaini matendo ya mtoto, fuatilia Umri wake Kisha tumia kanuni ya Hilgard na wenzake ili ujue Hisa ya Akili ya Mwanafunzi wako.
[4/7, 1:38 PM] Robert: Hisa ya Akili (H.A)= Umri wa Akili (U.A) ×100 ÷ Umri wa Kuzaliwa (U.K)

H.A =U.A X100 ÷ U.K

07/04/2024

[4/7, 12:02 PM] Robert: MEWAKA Mwezi wa tatu 2024.
Somo: upimaji na Tathmini ya kielimu.
Umahiri: JINSI YA KUMTAMBUA MTOTO NA MAKUZI YAKE.
[4/7, 12:04 PM] Robert: Mwezeshaji (Psychologist)
[4/7, 12:05 PM] Robert: Walengwa walimu wote wanaofundisha shule za Awali, msingi na sekondari Tanzania.
[4/7, 12:06 PM] Robert: Muda Dakika 40
[4/7, 12:08 PM] Robert: Umahiri mahususi: Dhana ya Hisa Ya Akili.
[4/7, 12:12 PM] Robert: Shughuli: i) kueleza maana ya Hisa ya Akili.
ii) kutofautisha Umri wa kuzaliwa na Umri wa akili.
iii ) kubainisha kanuni ya Hisa ya Akili.
iv) kufanya vitendo vya kukokotoa Hisa ya Akili.
[4/7, 12:16 PM] Robert: Mwalimu wa SAIKOLOJIA YA ELIMU (WALIMU WA UALIMU SINGACHINI T.C)
[4/7, 12:18 PM] Robert: HISA YA AKILI (INTELLIGENCE QUOTIENT)
[4/7, 12:20 PM] Robert: Maana ya Hisa ya Akili.
[4/7, 12:21 PM] Robert: Hisa ya Akili ni kipimo cha maendeleo ya kitaaluma kwa kuwianisha umri wa kuzaliwa wa mtoto na umri wa akili.
[4/7, 12:43 PM] Robert: K**a walimu wa watoto tunapaswa kupima Umri, na matendo ya mtoto na kuwianisha Makuzi yake na makuzi ya kundirika la mtoto huyo. Hivyo tunahitaji kujua maana halisi ya Hisa ya Akili.
[4/7, 12:51 PM] Robert: Kipimo hiki kilianzishwa na Mfaransa aitwaye Alfred Banet 1904 kwa mujibu wa mbinu ya kukokotolea maendeleo haya ya kitaaluma kwa kulinganisha na umri wa kiakili;
[4/7, 12:52 PM] Robert: Pale wastani wa umri wa kiakili unapokuwa juu ya umri wa kuzaliwa mtoto huyu huitwa mtoto mwenye akili.
[4/7, 12:59 PM] Robert: Je watoto wetu tunaowafundisha wanatenda kwa kiwango gani. Na wastani wa Umri wao wa akili ukoje? K**a upo juu Hawa ni watoto wenye akili.
[4/7, 1:08 PM] Robert: Kinyume chake mtoto anapokuwa na wastani mdogo wa Umri wa Akili chini ya umri wa kuzaliwa mtoto huyo huitwa mtoto duni kiakili
[4/7, 1:13 PM] Robert: Umri wa kuzaliwa:
[4/7, 1:14 PM] Robert: Kimsingi Umri wa kuzaliwa humaanisha uwezo wa mtoto kutenda mambo mbalimbali kitaaluma ambayo mtoto wa mtu wa umri huo anategemewa kuweza kutenda.
[4/7, 1:

06/12/2023

Ni wachache sana wanaojua thamani ya watu wengine k**a hawakulelewa katika kipindi cha ujamaa.
Kizazi hiki hakijui tulipotoka. Tulikuwa na maduka ya ushirika. Mashamba ya vijiji, na duka Moja tu la viatu Bora shoes ltd.

06/12/2023

Kuna watu wanakuhujumu. Unaweza ukadhani kuwa watu hao niwema katika nafasi zao ulizowapa lakini! Chunguza vizuri....

25/10/2023
Trying to make the best futere shade.
25/10/2023

Trying to make the best futere shade.

Address

Kondo
Bunju
83

Telephone

+255763962310

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AYEIT Foundation Tanzania 2021 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to AYEIT Foundation Tanzania 2021:

Share