Chafus Foundation

Chafus Foundation We lead to change the community and makes development for lives because we have a new hope. CHAFUS

Najua nimepita katika mikono mingi mpaka kufika hapa" eh mwenyezi mungu warehemu na kuwapakila jema maana wewe pekee ndi...
02/01/2024

Najua nimepita katika mikono mingi mpaka kufika hapa" eh mwenyezi mungu warehemu na kuwapakila jema maana wewe pekee ndiye uwezae kuwagusa na kuwalipa Kwa kile walicho fanya hakika walifanya jambo kubwa sana Kwa uwezo wako." Najua tumepotezana ni muda lakini haiondoi wema ulio tendeka nawakumbuka na kuwapenda.

Ukweli ni kwamba" k**a wewe kipato chako ni kidogo na hakikutoshi basi wewe ni mtu wa kwanza unaepaswa kuweka akiba"K**a...
04/12/2023

Ukweli ni kwamba" k**a wewe kipato chako ni kidogo na hakikutoshi basi wewe ni mtu wa kwanza unaepaswa kuweka akiba"

K**a unaona ni shida na huwezi kabisa kumbuka kuwa suala sio akiba ni kubwa kiasi gani ila chamsingi kuwa na huo msingi kwanza.

K**a nao ni tatizo kwako ninayo kanuni naweza itumia na ikaleta matokeo niamini Mimi!!

Surpoted by; chafus foundation na Loko envent

Nina wimbo wa mashujaa wa nyakati dhahania usio mkomboa yeyote kati ya wale walio ukataa ushajaa wa asili na kuwa shujaa...
02/10/2023

Nina wimbo wa mashujaa wa nyakati dhahania usio mkomboa yeyote kati ya wale walio ukataa ushajaa wa asili na kuwa shujaa kibaraka

Sina picha nzuri ya kuwakumbusha nyakati za watu WA ulaya walipokuwa wakija afrika na kubeba Vito vya thamani na kujitia wagunduzi kwao palikuwaje, lakini naamini bila sisi wao wasingekuwa kitu.

Chaajabu ni kwamba mpaka Leo hatulijui Hilo Bado wanaendelea kuchukua kilicho chetu Kwa namna ya kistaarabu na tunaikubali ila Hilo kwangu siwezi lizuia ila nashangaa hata tunao wategemea kwasababu tumewapa dhamana na tumewaamini hawashtuku tunapofanywa kuwa sehemu ya masoko ya Mali zetu watumwa wa Teknolojia zao na mifumo Yao.
Sijui sisi wanatuonaje hata ukisema watamtumia uliyekuwa unamwambia kukunyamazisha.

"Tubadilike" za+show

Sina picha nzuri ya kuwakumbusha nyakati za watu WA ulaya walipokuwa wakija afrika na kubeba Vito vya thamani na kujitia...
02/10/2023

Sina picha nzuri ya kuwakumbusha nyakati za watu WA ulaya walipokuwa wakija afrika na kubeba Vito vya thamani na kujitia wagunduzi kwao palikuwaje, lakini naamini bila sisi wao wasingekuwa kitu.

Chaajabu ni kwamba mpaka Leo hatulijui Hilo Bado wanaendelea kuchukua kilicho chetu Kwa namna ya kistaarabu na tunaikubali ila Hilo kwangu siwezi lizuia ila nashangaa hata tunao wategemea kwasababu tumewapa dhamana na tumewaamini hawashtuku tunapofanywa kuwa sehemu ya masoko ya Mali zetu watumwa wa Teknolojia zao na mifumo Yao.
Sijui sisi wanatuonaje hata ukisema watamtumia uliyekuwa unamwambia kukunyamazisha.

"Tubadilike" za+show

12/07/2023

ipo tofauti ya kuwa bosi na kuwa kiongozi,bosi muda wote huamrisha bila kujali anao waamrisha Wanaweza kujadiliana na kuwa na mchango + katika kazi zao, wanahitaji utekelezaji zaidi, hayupo tayari kubadisha chochote Kwa wazo mfanyakazi wake,anaamini yeye anamzidi Kila aliyemzodi cheo,dharau,anastahi na nimkamilifu,mkikaa nao wanahitaji wakutawale na uwasikilize,huficha anacho amini ndio misingi badala ya kuweka wazi Ili kuikuza, haami katika kile alicho kiandika kumuongoza aliye chini yake(sheria) na mengi lakini tumtazame kiongozi haina maana ya dhamana tu Bali Huwa mstari wa mbele katika mashauriano na watu wake kuimarisha matokeo au kubadilisha matokeo,hujiridhisha k**a k**a Kuna maandalizi ya kutosha kuanza au kuendelea na utekelezaji,huwachukulia Kwa usawa watu wake lakini hutembea katika njia Yao,huthamini Kila mtu Kwa nafasi yake na kuchangiana mawazo,anasikiliza zaidi na kujadiliana anaamini kinachomjenga kinahitaji kuimarishwa na mawazo ya wengine,huamini Kila mtu anao uwezo mkubwa na tofauti Kwa nafasi yako,maslahi ya Kila mtu anayaheshimu

01/07/2023

Tunajaribu kwenda na wakati lakini mifumo haikutuandaa kuwa na Kasi kiasi hicho.
Ni kijana wa kitanzani ambae hanufaiki na alicho nacho na mazingira yaliyopo
Nataka uniambie changamoto zako Kisha tujadili na vijana wengine ambao wao wametoka katika mtego ulio andaliwa na tukanasa wanayo majibu Miamini Mimi.

Lengo ni kukuunganisha na kile usichokitegemea

[email protected]

Address

Ochafus@gmail. Com
Bukombe

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 15:00
Wednesday 08:00 - 15:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 15:00
Sunday 08:00 - 15:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chafus Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share