12/06/2026
Tumetoa elimu ya kwa Mama Lishe wa Mtaa wa Kagemu, Kata ya Kitendaguro , ili kuwaongezea maarifa yatakayowasaidia kuandaa na kutoa chakula salama, chenye ubora na virutubisho vinavyohitajika. Kuwawezesha Mama Lishe ni kuwekeza katika afya ya jamii kwani ni wadau muhimu katika kuhamasisha na kuimarisha lishe bora ngazi ya jamii kupitia huduma wanazozitoa kila siku.